My Authors
Read all threads
NDOA NDOA NDOA

Dhana ya ndoa kati mtu asiyekuwa makini anayefikiri ndoa ni sherehe

Its a thread ๐Ÿงต
Min Uzi

Kama unafikri ndoa ni sherehe unakosea wewe bado mtoto.๐Ÿ˜

Kama unafikiri jinsi utakavyo tokelezea na kushine na mke/mme siku ya harusi wewe bado mdogo, waachie wakubwa
Ikiwa wafikri jinsi ukumbi utavyojaa na watu kucheza kwa madaha na furaha wewe u bado kinda, ndoa waachie wakubwa ..๐Ÿ˜

Ikiwa bado wafikri na kuwaza namna mtavyokula keki, vyakula na kunywa kwa shangwe, u mtoto wewe ndoa walio waachie wakubwa waliojianda๐Ÿ˜
Ikiwa bado unafikri zawadi, pesa na vitu vya thamani utakavyo pewa hujakua siku ya harusi wewe u mtoto, waachie wakubwa.๐Ÿ˜

Ikiwa unafikri ndoa ni jinsi marafiki watakavyo jaa na kukupongeza na kukusifu tambua bado hujakua kabisa na hujui nini maan ya ndoa , tulia waachie wakubwa
Ikiwa bado wawaza jinsi mama baba kaka dada na ndugu watakavyokusifu kuwa umechagua, hb au beautiful spouse jiweke kwenye kundi la watoto, ndoa waachie wakubwa๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
Ndoa inaanza baada ya kubaki wawili, wakisha ondoka wengine wote ...mnabaki wawili mume na mke,hapo ndio ndoa inaanza..ndio maisha yanaanza, ndiyo dhana ya ndoa inaanza..๐Ÿ‘ซ๐Ÿ’‘
Sherehe ya ndoa ni siku moja tu..ni masaa machache tu na ni furaha ya masaa tu. Yakiisha haya masaa yanafuata maisha, maisha ya ndoa. Maisha ya ndoa yana ugumu wake, yana raha yake...๐Ÿ™…๐Ÿ™…
Ndoa hailazimishwi, ndoa haifungwi kisa umeona umekaa uchumba muda mrefu! Ndoa haifungwi sababu wenzako wote wamefunga, haifungwi sababu marafiki zako wote wamefunga! Ndoa sio ushindani, ndoa sio kuwahi km vila unaogopa kuchelewa! Ndoa huja kwa wakati! Acha muda sahihi ufika
Ndoa ni maisha ya kudumu, ndoa sio sherehe ya harusi! Harusi huisha ila ndoa haiishi! Ndoa ni maisha endelevu! Ndoa ni jukumu la kudumu na kuwa committed na mtu wako ili kufikia malengo ya pamoja siku zote!
Ndoa sio contract ya kuivunja unavyojiskia hivyo usisaini km hauko tayari
Ndoa inahitaji utayari wa kiakili, kisaikolojia na kimajukumu! Ili ulee watoto, mke na mme unahitaji utimamu wa hayo yote! Ogopa kuingia kwenye ndoa km haupo tayari! Machungu yake mfanowe hakuna kabisa! Utatamani siku zirudi nyuma ila ndio haiwezekan kabisa
Ndoa ni kuvumiliana, kuheshimiana, kusameheana na kuchukuliana katika madhaifu yetu! Hakuna asiye mkosefu! Na hatakaa atokee, ila tunatengeneza ukamilifu katika madhaifu yetu!
Tambua kuwa km umekosea kuna samahan! Km amekukosea kuna kusamehe na hiyo ndio misingi ya ndoa
Unahitaji kujua thamani ya maisha iliyo katika ndoa.
Thamani ya kuvumiliana
Thamani ya msamaha
Thamani ya kupendana
Thamani ya kushirikiana na kushirikishana
Thamani ya kuwa mwili mmoja, mtu mmoja
Thamani ya kukubali kuacha anasa zote na kuishi maisha ya ndoa.
folo @IamFranco92
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Sultan M N Y A L U ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!