IT WAS JUS A DINNER DATE

okey mabumunda, si tuchape tu ka story flan ka uongo na kweli kabla hatujaenda kupiga kura trh 28??

Been a while in here๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, i missed u too

Okey chap chap kiwake, waambie wenzio ni Kaka Bumunda tena

Tujaghe lolo

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
SEKONDARI SCHOOL- miaka 22 iliyopita

Natoka zangu bwenini, ni Ijumaa moja hivi, hakunaga kusoma sana siku za Ijumaa hapa shuleni kwetu, kama watu wengine tu, tunaanza weekend na hakuna kitu mtu atatufanya.

Najiimbia zangu Zuwena, ni kibao kilichorudiwa na mkali wa sauti
MR PAUL, achana na Benham, Mr Pole mwenyewe, mkali wa masauti, najiimbia kwa sauti kidogo

Hatufanyi mambo ambayo hayana maana, naimba Zuwena nikiwa nina sababu zangu za maana tu.

Well, ni kama week tatu zilizopita, tumetoka kwenye school academic trip kutoka kwenye shule flan
ya wadada, jina kapuni, na huko kipindi tunadebate, kabla tuende kwenye match na shule jirani na hiyo wa wadada, nikapata mchongo mmoja wa kijanja sana

Ilikuwaje, tulikuwa tuna oppose motion, THE COMING OF WHITES IS A CURSE TO OUR AFRICAN CONTINENT, kipindi hiki nikiwa nawaza
kwenda kuishi mambele, so mapoints shazi ya kuaminisha umma kwamba mabeberu hawana nouma wala nini

Ile tunamaliza zetu debate, majudge wamejudge suluhu, hakuna mshindi na nini, tukawa tunasalimia pale na wale wadada katika kubadilishana mawazo, si mnajua hizi au hamkusoma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Basi kaka yenu kama kawaida yangu, kwenye debate huwa natafuta sifa huko- kila mtu anapenda sifa uongo, na hii ilikuwa shule ya wadada, naomba niwaambie kwamba nilitafuta sifa kinyama siku hii, kizungu flan kama Obama ndo anabonga, nasema kama nnae mafua, macho ya walimbwende
yote kwangu, nashusha point moja baada ya nyingine, watoto woote wanataka kuwa wangu tukaishi zetu London huko, naonekana mjafanja mbaya, mna get??๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Basi naongea pale na Head Girl wa shule, mara akaja Maria Carey wa ile shule, mtoto anaitwa Zuwena

Ungemuona Zuwena kwa mara
ya kwanza ungehisi ni Mnyarwanda, tulia bumunda ntakuambia kwa nini, mtoto kajaaliwa uso kama kachorwa na Piccaso, a perfect face placed over a shingo that is pingilidi kama shingo ya dear Coco๐Ÿ˜‚

Achana na umbo lake la Kinywarandwa, mtoto alikuwa anaye umbo flan, nadhani
Mungu alimuumba siku ya uchaguzi, ya mapumziko nadhani, i mean God took his precious time putting into being such a masterpiece, aina flan ya mabinti ukiwaona unajisemea 'Mungu fundi'

Anaye rangi moja kama anaogea mchanganyiko wa maziwa, icecream na asali, mtoto ananukia kama
katoka kulewekwa kwenye uturi uliojaa kwenye diaba

Huyu sasa ndo alikuwa malaika wa hii shule, hakuongea na mtu, alikuwa mwanafunzi mgeni, kahamia kutoka Singapore alipokua akiishi na wazazi wake kabla hawajaamia BONGO sasa

Utasoma hadithi ama utahisi nakudanganya sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mbwa
So she came, straight to where i was standing chitchatting to their head girl, at first i thought the HG was the cutest pisi at the school, so i put my whole focus to her

Lahaulah!!i saw the shock on head girl's face our of curiousity i asked

Me- any wrong?
HG- nah, see that girl coming over here, she the most taken care student in here, i think she's having a problem, lemme check on her then i will come see u Marley

Okey okey, i nodded, ready to join my boys, who have been waiting for me for like sometime now, so we prepare for
a football match

Zuwena- im not here for u ur highness, who is that gentleman u were talking with?

I overheard Zuwena telling her HG when i me and my boys were leaving

So the headgirl took the trouble running and calling me

HG- Marley, Marley, its u needed, please wait

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Natulia, jamaa wapo

'oyaa marley inatakiwa tuka warm up mzee wangu, dogo wa olevel hajaja, wewe ndo goalie pekee, malizana na mademu zako basi chap'

Hii ni kabla hawajamuona Zuwena, ila baada ya kumuona, jamaa mmoja alinifuata na kuninong'oneza

Jamaa: captain kasema malizana..
kwanza na huyo mtoto mzuri, usitungushe, hata hivo uko fit goalie wetu, ukogo fit mwanetu.

Akasepa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Natulia hapo na HG, tukimgonja Zuwena akijivuta na mwendo wake wa madaha kama twigga aliyepo kwenye siku zake

Dakika kadhaa akafika

HG: I wilk leave you guys, catch up wi
you later, please Marley be nice to her

Akasepa kaniacha na mtoto mzuri Zuwena

Zuwena: hi handsome, how re u man?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mabumundaaaa, wivu utawaua, yes she said that, she said 'handsome'

Me: im gud, how re u Zuwena?

Zuwena: Zuwena??so u know my name?

Me: who doesnt?i mean
everybody does, some must be stupid not to, u the queen of this school.

Zuwena: ooh thats so cute

Anataka kunikumbatia, mimi ni nani, napanua mikono yangu, mtoto anajaa kifuani, anatulia hapo kwa muda kama kalala kwenye comfy

Najiimbia kama Hussein Machozi 'lala kifuani kwangu
sinzia kabisa'

Mabumunda, hii scene ikawa imetengeneza makelele mengi kinyama wanafunzi wote wanatuangalia, ishakuwa nouma, walimu wakiwa staff room wanaulizana 'whats happening' mbona kama watu wanashangaa

Basi, Zuwena akasuggest twende mpaka ilipo ofisi ya HG
Tukaongelee huko, so namkamata mtoto mkono tunasonga kwa mwendo wa kinyonga, mtoto asije akachubuka mapaja yake malaini, nyieeeeeeeee!!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hao mpaka ofisini kwa Head Girl wao

Zuwena: have u been in Europe?

Me: why, why re u asking?

Zuwena: i was at the debate, its like
u been there

Me: aang nah, i've never been to any country other than my lovely country Tanzania

Zuwena: i hear ur fellow calling u Marley, is that ur real name?sorry i have like enough to ask

Me: cool, yeah Marley is my real name, and feel free to ask any, we have time
Zuwena: well i like the gentleman in you, see, one thing about me is, i will not like none this quick, but you, man, i've swallowed all my pride and standards, Marley tell u what, everygirl here likes you, and i wanna be ahead of them, please, be my friend

Kidogo nikatae hili
tongozo mamae๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Me: we already are friends Marley,if u like me i like you, so yeah

Zuwena: can i hug u again, i mean, u too addictive, i cant get enough of ur warm hug

Oohooo, mtoto akajaa round hii, haikuwa hug tu peke yake, mtoto anaye yale mavyuma ya kwenye meno
Ya dhahabu, nikawa najisemea nitakuibia haya nikamnunulie mama yangu vitenge, we nizoee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Zuwena: please kiss me, i cant stand you anymore

Mazeeeeeee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ile nagusa lips za huyu mtoto, ni kama miale ya moto imekatiza mgongoni mwangu

Mtoto anae lips laini kama
sponge iliyoloana, si lips tu zilizokuwa spongy, hayo matiti yake jamani, nyiieeee!!!

Nashusha vufungo vya blauzi yake, ndani kavaa kisidiria flan kusupport kifua chake mujarabu

Nawaza wacha nipime oil one time, nashusha vidole virefu kama vya vampire

Zuwena: do u wanna
break my virgnity with ur fingers Marley, aint u having no dick, i can feel it, use that, please

Ile namnyanyua mtoto nimuweke kwenye meza

Makelele nje

Jamaa: Maaaaarley we Marleeeey mpir unakaribia kuanza bhana njoo kwanza, huyo si tupo

Ikadibi niishie hapa,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Namuaga mtoto, anasema atakuja mpirani kuniona

Zuwena: so u aint just a great debator, u play soccer too??will come and see u, usiondoke bila kuniona, nikupe kitu

Anyways mabumunda, someni kwanza hii na mretweet, tutarudi na part 2

Kaka Yenu

Kaka Bumunda

โค๏ธโค๏ธโค๏ธWith love
PART TWO

okey fine mabumunda, tuendelee wanetu ama sio bhana

Kunae mafala hamtaki ku rt huu mchongo sio?haina nouma mbwa ninyi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Okey...

So tukamaliza match ya mpira wa miguu, ambayo tulishinda mbili kwa bila, sifungwagi mimi, ni mzee wa ma clean sheets Olivier Khan๐Ÿ˜Š
Kitu kimoja mnatakiwa mjue, sikumaliza hii match, dakika kama ya sitini tukiongoza, kunae huu mpira umekuja hewani juu juu, naurukia kama ngedere nashuka nao mpaka chini, nazuga nimetua vibaya

Nanyanyuka nikichechema, naupiga nje, nalala chini, anakuja captain
Captain: Marley, vipi unataendelea mzee

Me: nah man, ion think so, i can feel my waist cap

Nafanyiwa sub, huku nje ni vilio tu vya wadada nasikia

Msituuumizieeee jamaniiiiiiii!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚oyaaa

Natoka zangu nje, baada ya kugangwa gangwa kizushi, naelekea kwenye karo moja jirani
Na bweni moja hapo shuleni, ile kama nanawa kizushi

Napata hisia kama kuna hivi vidole laini visivyo na mifupa vinanigusa

And guess what, it was her

Zuwena: im so sorry, u hurt?

Kama anataka kulia hivi

Me: aint even injured Zee, i wanted to hve this moment with you, im okey
Zuwena: come over here

Ananichukua, ananipeleka chumbani kwake, hakuna na roommates yeye, na wanafunzi wote walikuwa uwanjani huko wanaangalia mpira

So we went there, chumbani kwake kama kwa mtoto wa chuo, kunao ma zagazaga, ma nini yale mnaita majitu unachanganya na maziwa
Unakula??hayo hayo sasa, basi kanichanganyia kwenye bakuli niko hapo nakula mtoto ananipigia story zake

Zuwena: so Marley, we jus here in Tanzania for like some time, my pops never wanted to leave me at Singapore to finish school, he's now working on his transfer so we shift to
the US

Namcheki huyu bibie, kwa hizi story ananipa hapa atakuja anipe kesi

Zuwena: i wanted to have u today buh look we dont have time, u will be gone shortly, i wanna my virginity off in a cool environment, some candles, roses, in a dope hotel room, i will arrange of all that
dont stress, yeah

Kimoyo moyo najisemea woooiiiii, candles ya nyoko๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ukimaliza kucheza mpira unakuwaga una mate mazito yale hata hayatemeki, ila ile makitu nilikuwa nakula ilikuwa imesaidia kidogo kufanya nipigike denda๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Zuwena: finish those i wanna hug n kiss u
Mzee namaliza kula yale makitu, namkamata namsogeza karibu, kuna kijasho flan nanuka kisela mtoto hajali wala nini

Yupo

Zuwena: and u smell fresh as new notes, ur breathe Marley kwani wewe ni nini?

Namuambia acha kunichocha, shuleni nakula maharagwe mabovu yananipaga
kiungulia๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Kitu kinakuja kutugutusha ni honi za magari tuliyokuja nayo

Zuwena: come on Marley, go now, buh before u do, here take this

Bro, nikapewa maboksi kama manne ya yala makitu, na maziwa mapiki tatu, leso mmoja mpya, na bahasha moja ya pink, hivi vyote vilikuwa
kwenye bag lake la pink kubwa

Zuwena: take good care of my backpack, i love it

Namuambia asikonde wala nini.

Nachomoka bwenini huyooo, namuacha mtoto hapo fasi akilengwa na machozi kisoro

Zuwena: u such a gentle being Marley, i love you

I was like whaaaaat, love???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nafika shule, nafungua kile kijibag, ndani ya bahasha kuna siku yangu ya kwanza, Motorola moja hivi, haina line, kuingalia vizuri ina namba moja humo ndani, kuipiga inaita, naikata najiambia wacha usiku sana ntaipigia

Simu hii uliweza kuipiga kwa nyenzake tu, kulikuwa na ki note
'Baby, that phone is for us to talk, haiwezi kupiga kwa watu wengine, i hope u like it, and seen 100k USD in there, thats for you, take good care of urself, buy yaself some fancy shits, im sorry it had to be that little, promise to send u more when i get my monthly pocket money
from mom the coming week, with love, Zeeyโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ'

Nyieeeeeee!!!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nasema mambo si ndo haya sasa wajuba, aanh kmmmmmmmk๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kuna huyu braza alikuwa mwanangu sana, anaitwa Herman Kihugu, yuko humu ndani, anaishi SA siku hizi, mtoto wa kishua mmoja hivi, ila alikuwa
kamkubali muhuni so, tulikuwa wana @HermesCornel handle yake hiyo kwa wadada wanaotaka mtu aliyeko nje ya nchi, mwenye hela๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Herman alikuwa alikuwa jamaa flan kwao kunae mavumba na nini, yeye mwenyewe alikuwa na mabwawa ya samaki kama sita, mshua wake alikuwa contractor wa
ujenzi, akila tenda za kujenga barabara na nini, huko SA, wanaye pesa mbwa haruki

So unajua tena mabrazee, i had to pass Herman thru the story, hakwenda yeye, kitu anapenda kucheza ni basket, unajua tena wa kishua hawa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ujinga mmoja wa Herman, mi nampa story, unajua tena
mwamba nikisifia kitu, kumbe bwege akaanza kumpenda huyu binti bhana, msengerema sana huyu mwana, kmmk๐Ÿ˜‚

Anyways long story short, tumemaliza form six, michongo ya kusoma sheria Mzumbeni imekwama ikabidi nidondoke zangu Kilima kusoma nilichosoma

Herman akawa kajoin IFM
Bachelor ya ufaka gani sijui, anajua mwenyewe, na kwa bahati mbaya sijui nzuri na Zuwena pia alisoma IFM finance ugoro gani sijui mi nishasahau, ni zamani hata hivo

Semister ya kwanza ikawa poa, Ijumaa zote mpaka Jumapili nashinda Kigamboni kwenye apartiment anaishi bibie
Huko ni bata tu zinaendelea, ni kula misosi na kula misosi mingine pia, basi kama mwana nikawa namualika na Herman tunainjoy sio

So zile house parties na watoto wa kishua kama zote, mitihani yote walikuwa wanafanyisha weekends wale malecturers wa Kilima nilifanya spesho๐Ÿ˜‚
Bhana bhana, kumbe usenge Herman alishamtamani shemeji yake wahuni, kwahyo akawa ananizinguka mwanae, mi nikitoka kuloweka naye analoweka huyu matako, manija huyu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Imeenda mtoto akashindwa kujizuia, kuna siku moja nashangaa kanifuata Kilimani, sasa nashangaa
kafuata nini huyu hall5, hili hall ni nouka aisee, akaja mpaka ndichi, nilikuwa nakaa floor ya tatu

Simuelewi, kama anatoka kulia hivi, hajala, nikashuka kariakoo nkamchukulia maandazi manne ya Bakhresa na Novida kubwa ya buku, this was me spoiling her, msichukulie poa mbwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Akala pale, alikuwa ana msemo wake kwamba 'im lowering my standards so we can have US Marley, kwahyo angekula kila nilichompa akifurahi kabisa'

Kala moja na Novida robo, mara akaanza kuniuzia hii habari ambayo ilinikata maini wahuni

Women are mbwa and trash combined๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Zuwena: i have decided i will not do my studies in here my love, im going to SA, nikasome huko kuna chuo mama kanitafutia, IFM kuna uswahili mwingi na sipapendi Kigamboni

Maaan!! Mawazo ya kuwa mjane si mnajua, habari zikanikata mbaya, ikawa nouma sana, that was my worst day
Kweli bhana siku namsindikiza mtoto JKNIA akienda zake SA, nafika namkuta na Herman

Me: oya bro, kuna mtu unampokea nini?

Herman: nah bro, nadondoka SA, nahaka chuo, hapa miyeyusho

Me: mbona hujaniambia lakini man, kunae shida?

Herman: nah, all gud bruv, all good, we cool
Bhana we sina cha kufanya, SouthAfrican Airline iko tayari, gudege kubwa kama Bugando yetu, ikang'oa ndani akiwemo mpenzi wangu Zuwena na mwanangu sana wa damu Herman, wanahama Bongo wanaenda kusoka zao SA

Mtoto wa masikini nirudi Kilima nikamalizane na BAEd yangu, kmmmk๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Shit is getting emotional sasa, kinachoendelea huku ni ukweli kabisa

Im in tears,๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Nikirudi hapa tutaendelea na PART THREE

Anh, kwanini nimewasimulia hiki kisa aisee, kitanishinda sasa kumalizia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Someni kwanza hiyo, part three baadae kidogo

With love

Kaka Bumunda
PART THREE

Leo tumalizie story sio, ama mnasemaje?

Basi bhana:

Ikapita miaka mingi sana, kama sita ama saba, hivi, bila kusikia kutoka kwa Zuwena wala mwanangu Herman

Kauli ya 'tafuta hela' ikawa ina make sense sana kwa upande wangu, nikijua ni charanga tu zilizoleta yote
Niko zangu kitaa naendelea na mishe mishe zangu, chuo kishaisha, niko zangu TL nascrol down kucheki spana mbili tatu, mara notification kwenye simu yangu, nacheki juu kuna kibox cha email

Naomba omba kazi sana, nikawaza isije kuwa CEO wa kampuni flan kajibu unyama
Basi chap, nafungua, ila cha kushangaza ni email kutoka kwa Herman, mwana si mnamkumbuka

Herman: yoo bro whats gud man, u cool?been a while since we last talked my G, sikia nakuja nyumbani kuoa, nina kama week mbili, nisaidie kaka, ntakwama

Namuuliza Herman- unamuoa Zuwena
Anajibu- hapana kaka, Zuwena tuliachana zamani kidogo kaka, im so sorry man, we have to talk first thing nikidondoka Bongo, alihama hata hivo na chuo alikwenda kumalizia US

Namjibu- niko busy kaka, wacha nicheki kama naweza kukufix kwenye ratiba yangu

Anasema- ntakulipa man
usiwaze kabisa, kuna dola zako elfu 12 tukifanikisha huu mchongo, nisaidie ndugu yangu

Namjibu poa, natoka Mwanza kuelekea Dar, kwa ajili ya shughuli ya huyu mwana ambayo ingefanyika Kahama, kwao huko.

Sio kesi, kweli siku ikafika, wakafika, hotel walipofikia ndipo nilipofikia
Kaja na mkewe, mtoto mmoja wa kikaburu, binti mdogo namcheki kama ama miaka 24-26, mzungu kabisa unaambiwa ila ana umbo la kikinga kabisa, sema ye mrefu, msiniulize hesabu zilizotumika hapa.

Basi sio kesi, natambulishwa kwa mtoto kwamba anaitwa Lizy, mtoto wa tajiri mmoja
anamiliki machimbo ya madini pande za kwa Madiba.

Kitu kimoja kilitokea, Herman ikibidi awahi kwenda Shinyanga, akashughulikie issues za kanisani na kuwapanga ndugu kadhaa ili mchongo usiwe mchongoma, hawakuchangisha kitu, hivo nduguze wasukuma walikuwa kama wamewazilia hivi.
So sababu alikuwa na umbo kama langu- tulilingana exactly, so ilibidi nibaki town kwa ajili ya kufanya fitting ya nguo yeye pamoja na huyu mkewe.

Boya katoka SA hajanunua hata nguo, u can imagine.

Poa mi sina nouma ikabidi nibaki na huyu dada pamoja na ndugu zake wawili wa kike
Tukimaliza habari za mavazi na kuwasubiri wazazi wake ili waibuke, tudake ndege ya kukodi, niwadondoshe Kahama sababu mimi nilipajua kijijini kwao Herman.

Ikawa poa, so akamuaga mke ake mtarajiwa yeye akasepa akatuacha.

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Sikuwa nimewahi kumkula mzungu before๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
So i was like okeeeeey, Muumba na asaidie haya majaribu

Siku tunampeleka Herman uwanja wa ndege ili apate flight ya Mwanza, kumbukumbu za siku wanaondoka yeye na Zuwena zilirudi, moyo wangu uliuma sana, nikawa namcheki mwana hata simmalizi aisee.

Akapata flight akasepa
Tuko kwenye gari mi na bibie tunageuka hotelini, kimya kimetanda, mara

Lizy: so u this quite Marley?Herms has been telling me that u talk alot

Me: yeah i do, i talk a bit..

Lizy: then we should try get along Marley, its just the two of us, my sis have gonne to Zanzibar
please we must talk

Me: okey okey, no problems

Kula chuma mpaka kwenye hotel tulipokuwa tumekaa, anaingia chumbani kwao, naingia chumbani kwangu, havikuwa mbali sana vyumba vyetu so ikawa poa

Jioni jioni nimetoka kupiga zangu push up hapo chumbani nataka nikaoge mara hodi
Me: hey i havent ordered nothing, check to some other rooms

Lizy: its me Marley, may i come in

Me: ooh so its u, naenda kufungua huku nikiwa naikaza taulo yangu poa

Lizy: wooh, so u work out annh?

Me: yeah, u know!

Lizy: cool, its healthy that way, that keeps u guys in shape
Me: karibu, a drink?

Lizy: i do not drink Marley(anasema baada ya kuona spirits flan mezani) i am a daughter of a priest, my dad apart from being a wealthy businessman he is also a priest, we dont drink at home

Me: u can have water thou, no p

Lizy: yeah sure water will do
Namletea maji pale chupa mbili ya baridi na moto, ajimixie kama anatumia voda.

Kipindi anakunywa naelekea zangu kuoga, narudi namkuta bado anakunywa maji pale

Me: so tell me about how it is like to be from a devoted christian family

Lizy: well its just normal you knoe
Me: i dont know none

Lizy: i meant, anajichekesha, just like anyother family, u be growing know who God truly is and you know, try to make urself a good servant of the Lord and most importantly to make ya body a temple where he can live and have peace.

Me: what do u mean?
Lizy: well like for example u be abstaining from having marital affairs before marriage, sex, u know??

Me: wait, so u mean??!!

Lizy: yeah, that

Hapa ndo nikaja kumuona mwanangu Herman ni kiazi, yaani anataka kuoa na hajala mzigo, ana ufala, niakuchuna
Lizy: and Marley are we not having dinner today?

Me: i will have dinner, ion know none about you

Lizy: thats what i was saying, like we have dinner together

Me: ooh really?

Lizy: yeah, matter of fact i will just call ur bro to tell hik that, this very now

Me: cool, no p
Basi mtoto akampigia simu bwana ake kumueleza kwamba atakuwa anapata dinner na mimi leo

Herman akanicheki kuconfirm, nikamwambia ni kama hivo, au kama anaonaje tu abort mchongo

Herman: no no man, u guys go have some together, take care of my woman man, i trust you

Me: i gatchu
Mtoto kaenda, kajipara mwenyewe, kavaa gauni lake refu la rangi nyekundu, viatu virefu

Ile nampitia chumbani kwao nikamkuta kacomplicate mambo

Me: heeeey, cant u just be normal, not with all that makitu on

Lizy: if u not like this i'll change them, welcome in
Naingia ndani, anatoa gauni lake hapo mbele yangu

Lizy: do u mind?

Me: nah, not at all, im okey

Bhana we, mtoto mweupe kama kitimoto unaambiwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Namcheki kiwizi nasema, dah, chombo kipyaaa, kilometa zero kabisa

Akamaliza, tukatoka, tunafika parking, yupo

Lizy: what hotel?
Me: enough with the hotel things ma, we going somewhere, i hope u will like that place

Lizy: okey, u the boss

Nang'oa kitu naelekea pande za mabiboni, kunae masista wangu flan wa kihaya walikuwa na kihotel chao wanapikaga misosi mikali laana

Naagiza ugali mkubwa samaki wa
kukaanga, mkubwa kuliko matatizo yako bumunda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mtoto anasema atakula matoke

Chap tunafakamia diko letu kiroho sayona, tunamaliza

Me: u enjoyed the meal?

Lizy: absolutely, the meal was okey, thank you Marley, feel like having some wine or some

Me: buh you said...?
Lizy: i know what i said Marley, take me to a place where i can find wine, aint u drinking?

Me: well dont drink and drive, u know the say huh?

Lizy: whatever boss, we live once, lets have some to drink we shall boarder an uber on our way back

Basi ikawa hivo wahuni
Mpeleka chimbo moja, mtoto anakula zake wine huku nakula zangu makitu magumu magumu

Mnasema wines zinatia nyege?mi sijui hata, kitu pekee najua ni huyu binti alinibadilikia mpaka ikawa sio poa, mara kanyanyuka kucheza, mara kanikiss shingoni, ili mradi vurugu
Basi, Lizy akawa kama patwana na mashetani aisee, haelewi kitu hata anafanya

Nikaona isiwe kesi nikamkokota kwenye ndinga turudi zetu hotelini

Humo ndani haishi mahangaiko, mi nikamuacha aisee, nilichoka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kumkataza

Ninyi mngeweza aisee??๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Basi zikapigwa BJ za kushato sana hapo ndichi, kufika hotelini sijabaki na shahawa hata moja unaambiwa

Nampeleka chumbani kwake hataki, anaogopa kulala peke yake anasema Bongo kuna wachawi

Kimoyomoyo nasema hujawahi kuona wachawi wewe, njoo uone huku chumbani kwangu.
Mtoto mpya wana mnaambiwa, mpyaaaaa, mi nikala hili embe bichi kwa chumvi, Herman atajua mwenyewe

Tumemaliza pale asubuhi kila mtu akaelekea chumbani kwake

Baadae kidogo naamshwa na text kutoka kwake

Lizy: marley, thank you, if u want it again, say a word.
Man, fit ins zikaisha, wazazi wake wakaja, tukasepa tukaenda zetu Kahama

Kuna hii siku walikuwa wanacome clean kuhusu maisha yao kabla ya kuoana kesho yake, Lizy akamchana mwamba kwamba yeye sio bikra tena

Jama akajaa upepo anauliza ilikuwaje, demu wake anamuambia
Lizy: ask Marley, i dont know what happened

Nilishakula dolla zangu 12 elfu, aliniongezea na dola elfu tatu zikawa 15

Jamaa anakuja kapanic anauliza

Herman- kwani ilikuwa Marley, mbona mi simuelewi Lizy?

Nkamwambia

Me: IT WAS JUS A DINNER DATE, hakikutokea kitu.
Kila kubwa ina kubwa yake, jamaa akamuoa Lizy hivo hivo, Lizy alianza biashara ya kuuza spicey kutoka Zanzibar, kwahyo akawa anakuja sana Bongo, na kama kawaida mi napona kila time akija

Herman atajua mwenyewe kama alijua ama hakujua

Maisha ni haya haya au ninyi mnasemaje??
Kama una ushauri kuhusu nilichokifanya andika hapo chini, kumbuka kumshauri na Herman kwanza kwa alichokifanya kwangu

Thats all it for today mabumunda

Thank you for taking ur precious time and read this

With Love

Kaka Bumunda
โค๏ธโค๏ธโค๏ธ

โ€ข โ€ข โ€ข

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
ใ€€

Keep Current with Marley๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Marley๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @funjojr

23 May
MAVURUGU YA MAPACHA

nikasema leo ni satoo na mabums hayajapata hata ka uzi, nikasema acha niwape kamoja

Hii sasa ni ukweli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kuwahusu hawa jamaa wawili, wanaitwa FRANK na FRANCIS, hawa majamaa bhana, kubaf zao

Tushuke

Ukitaka kuwa-follow shauri zako

@Franknfrancis1

๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
Anyways
Wanasemaga kuwa mapacha, eenh twins ni swagger, ninyi mabloo mnaweza kukausha kwanza, acha niongee na mabinti

Basi kwa hawa mablaza ilikuwa swagger + kama ni series ya simu, ilikuwa iPhone 11 max Platinumz Duo Pro๐Ÿ˜‚

Walichosoma kiliendana nao, walisoma sanaa huko FPA
kama mzee Lowassa, sanaa ya nn sijui, mi nilikuwa nawaona tu chuoni, mapacha mabishoo ndo jina sisi haters tulikuwa tunawaita๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eenh man, hawa jamaa hata demu wako atawapenda akiwaona, unabisha??muulize uone๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Hawa sasa ndo sukari ya warembo

Wapwa mna makasiriko??๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Read 22 tweets
19 May
KWANI WE HUNITAKI?

Siku nyingine tena, tupige ka story flan ama sio bhana, ka uongo na ukweli

Kipindi hiko kama wapwa, tukiendelea kuinuana, bila kuchoka, mpaka makwapa yajue hayajui

Wakikuuliza ni nani, waambie ni kaka Bumunda tena, jana na leo

๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
VIWANJA VYA VIJANA- Dayosisi ya MUSOMA

Paite DAYO, sisi ndo namna tulipaita, kuokoa muda na nguvu. Hivi vilikuwa viwanja vya michezo, vingi kwenye sehemu moja

Michezo yote, soccer, basketball, volleyball, table tenis, badminton, darasa la muziki na kila kitu
Sijawahi kujua kwann hivi viwanja vilikuwepo, ila tulikutanika vijana wote wa Musoma kipindi hiko, wote karibia, wakaka kwa wadada

Pembeni ya uwanja wa Karume, gate la nyuma la parokia kuu Musoma, ndipo mahala palipatikana hivi viwanja, kama nilivosema tulipaita DAYO.
Read 59 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!