MWALIMU ADAIWA KUMPA MIMBA MTOTO WA MWALIMU MWENZAKE HUKO SAME.
Oyaaa Kichwa Ya Habari a.k.a Heading Mumeiona🤓🤓ila #DUNIA
Tushukee Waku Elewa Ni Suala La Kweli.
Same. Mwalimu wa shule ya Sekondari Lugulu iliyopo Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro,.
Anadaiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu, mwenye umri wa miaka 17 na kisha kutokomea kusikojulikana.
Mei 27 mwaka huu shule hiyo iliwapima wanafunzi wote wa kike ujauzito na mwanafunzi huyo alibainika kuwa na ujauzito wa miezi wa sita.
Akizungumza na Mwananchi juzi, Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Nduga Makenji ...
alisema baada ya mwanafunzi huyo kubainika kuwa na ujauzito walimhoji na alimtaja mwalimu kuhusika na ujauzito huo.
“Mei 27 kama ilivyo kawaida ya kupima wanafunzi ujauzito wakati wa kufunga shule, mwanafunzi huyu alibainika kuwa
na ujauzito wa miezi sita, tulimhoji aliyehusika na ujauzito wake ambapo alimtaja mwalimu (jina linahifadhiwa) kuhusika na Uja Uzito huo.
“Wazee au mnataka Jina lake pia 😂Tulia hii ni Battle ya walim yaani..Tushuke na habar yetu.
“Tulimweleza mzazi wake ambaye tulikuwa tukishirikiana naye, baada ya mwalimu anayetajwa kuhusika na ujauzito kupata taarifa hizi alikimbia na mpaka sasa hatujampata.
"Oya Ata kama ni Ww Unge Baki..!?😅lazma usepe eeh.
Sema Nn Wakuu adi Leo Jombaa Ajulikan amesepea wap yaani.
Oyaa @funjojr 😂😂uangalie bana sket izii unaona mnyamwez ukuu kasepa.
Anyway Tuishie apo ww unasemaje juu ya Hili.
Mwanamfunz ana makosa kumuachia Mwalim Utelez au Mwalimu Ndo ana Makosa kumlaghai Mwanamfunzi..!?
SAFARI YANGU YA KUTO KUMWANI MWANAMKE KTK MAHUSIANO ILIPOANZIA.
Baada ya mahusiano ya miaka minne ya uaminifu na upendo kwa binti mmoja hivi jina kapuni, ndipo safari yangu ya kuto mwamini tena mwanamke katika mahusiano ilipoanzia kutokana na kile alichonifanyia.
Katika maisha yangu ya mahusino na huyo binti, nilikuwa mwaminifu sana pia nilimwamini kupita kiasi, siwezi sema labda sikuwa na uzoefu katika mapenzi laahasha,
nilikuwa na uzoefu kuliko hata binti mwenyewe yaani..🙌🏾
Kutokana na mazingira aliyokuwa ameyajenga kwangu ndio kilikuwa kichocheo kikubwa kilicho changia kumwamini kupita kiasi,
Kwa uaminifu niliokuwa nao hata kama ungempiga picha akiwa nyumba ya kulala wageni(guest)..