Fortunatus Buyobe Profile picture
Jan 24 14 tweets 4 min read
THIS CASE IS VERY COMPLICATED

Kwenye kesi za mauaji, ili kufikia hukumu ya haki, mahakama hutaka kujiridhisha kama elements mbili zimethibitishwa bila kuacha shaka.

1. Actus reus/ Tendo ovu (lazima liwe limetendeka)

2. Mens rea /dhamira ovu. Image
Dhamira ovu inaangaliwa kwenye angle mbalimbali...

Kwenye kesi hii naangazia matendo ya mshtakiwa kabla na baada ya kitendo kiovu.

Utetezi wake ungekuwa na nguvu sana, lakini matendo yake yalitia shaka.

Hapa namuongelea DAUDI KAPEJA.

Fatilia mkasa huu,

👇 Image
19/04/2014 UYUI, TABORA

Majira ya saa 4 usiku, BARESA RASHID aliambatana na DAUDI KAPEJA nyumbani kwake ambapo alichukua jacket na kumuaga mkewe kuwa wanakwenda kumuona jamaa aitwaye JUMA BUSEGA ili kufanya biashara ya tumbaku.

Wanatumia pikipiki mali ya BARESA RASHID Image
BARESA RASHID tena hakurudi nyumbani kwake usiku ule,

Baadae, mkewe ZAMDA ISSA akapewa taarifa za mwili wa mmewe kuokotwa pamoja na mwili wa mke wa JUMA BUSEGA yule yule ambaye marehemu mumewe na DAUD KAPEJA walisema wanaenda kufanya nae biashara ya tumbaku. Image
Maiti za watu hawa wawili zilikutwa kwenye vichaka katikati ya vijiji vya UFULUMA na MABAMA

Pikipiki ya BARESA RASHID ilikuwa pembeni yao huku miili yao ikiwa na majeraha sehemu mbalimbali.

Taarifa ile ikawafikia polisi

Usiku ule ule ikaanza nusa nusa
Ikiwa sasa siku imeshapinduka, tarehe 20/04/2014 ikafika pale timu ya makachero watatu waliotumwa na OC-CID msaidizi wa Uyui

Hawakuwa peke yao bali waliambatana na daktari kwa ajili ya uchunguzi wa kitaalamu.

Jumla ya watu hawa wanne, kila mtu alikuwa na majukumu yake
1.Askari G.348 Detective Corporal OMARY MATESA ndiye alikuwa mpelelezi wa shauri hili.

2. G. 4876 Detective Corporal MATIKU alienda kuchora ramani ya eneo la tukio. Image
3. G.2269 D/Corporal RAJAB alikuwa na jukumu la kuimarisha ulinzi.

4. Dr. SINDABAKILA SEREJIO ailenda kufanya uchunguzi wa kitaalamu wa chanzo cha kifo akitokea hospitali ya wilaya ya Uyui. Image
Kwa mujibu wa daktari, ripoti yake ilisema maiti ya mwanaume ilikuwa na “fracture” kichwani ambapo mfupa wa “parietal” ulikuwa umevunjika kutokana na kupigwa na kitu kizito na kuvuja kwa damu.

Ripoti hii ilipelekwa kwa District Medical Officer Image
Lakini ripoti ilikuwa kimya juu ya maiti ya mwanamke.

Kwa nini?

Tutaona mbele ya safari....

.................................................

Katika nusanusa makachero wakabaini yafuatayo juu ya maisha ya nyuma ya marehemu BARESA baada ya kumuhoji mkewe,
BARESA alikuwa na mke mwingine mkubwa ambaye walikuwa na ugomvi naye.

Chanzo cha ugomvi ni kwamba marehemu alishamfumania mkewe akifanya “horizontal Engineering”na mtu aitwaye NDEBILE

Mwanamke huyu alishaondoka muda mrefu na hajulikani aliko.

Don’t you smell something? Image
Mtu pekee ambaye makachero walielekeza kwake vidole vya tuhuma ni alikuwa ni DAUD KAPEJA

Kwa sababu ndiye alikuwa the only last person known to be seen with the deceased.

Yes! Alikuwa ndiye mtu pekee aliyeonekana kwa mara ya mwisho na marehemu.

Msako dhidi yake ukaanza. Image
Hakuonekana eneo la tukio wala msibani

Baadae zikaja taarifa mpya kutoka kwa kichomi zikisaga kunguni.

Kichomi huyu ni JUMA BUSEGA yule yule ambaye marehemu na DAUDI walisema wanaenda kwake on the fateful night.

Infomer huyu unamwamini ndugu msomaji? Image
Sogelea telegram link 👇

t.me/fbuyobe

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Fortunatus Buyobe

Fortunatus Buyobe Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @fbuyobe

Jan 26
Mwaka jana tuliona jinsi kijana HAMZA alivyoamshaamsha pale nje ya ubalozi wa marekani.

Sababu za amsha amsha ilidaiwa ni ugaidi lakini pia ilidaiwa ni kudhulumiwa madini yake na Askari.

Katika mazingira haya ni uchunguzi huru tu ndio ungetoa utata.

UZI👇 Image
Kuunda tume huru wala sio jambo jipya.

Rais Kikwete alishawahi kuunda tume ya Jaji KIPENKA kuchunguza utata wa mauaji ya wafanya biashara ya madini kutoka mahenge.

Tume hii ilizaa kesi maarufu kama KESI YA ZOMBE

Jambo hili limejirudia tena Mtwara. Image
Safari hii pia likihusisha mfanyabiashara ya madini MUSA HAMISI HAMISI mkazi wa kijiji cha RUPONDA NACHINGWEA

Polisi walimuua MUSA tarehe 5 January 2022 na kuutupa mwili wake kijiji cha HIYARI wilayani Mtwara.

And in fact wahusika ni BIG FISHES

And a BIG SUM as well Image
Read 6 tweets
Jan 23
Una umri gani?
Umewahi kuwasikia watu hawa?
1. Bokoman Mkongoman
2. Limonga Justin Limonga
3. Chidi chidi Chitenda
3. Wajadi Fundi
4. Mwalimu Mashaka Sabuni
5. Alafa Kapilima
6. Thomas Mushi Kimboka
Na Zakaria Ndemfoo wakiwa safarini kuelekea Mahuta Newala? Image
Nazungumzia enzi zileee za post kadi kipindi cha Jambo, Mchana Mwema, Salam za mchana, Shambani, na pole kwa kazi...
Story kidogo kuhusu hawa jamaa ni siku walipomchezee mtu mzima Charles Hilary akiwa redio one
Alipiga simu Muhiru Obare na kuweka kikorombwezo Niambriiiiiiieeeee
Charles Hilary akakasirika sana akamkandia kiaina na akaweka wazi kuwa hapendi hiyo tabia ya watu kutamka hivyo (Niambriiiieee!). Akapiga simu Mkaudi Mkaudo Tingisha naye akaweka vikorombwezo hivyo hivyo Charles akamkatia cm akachukia sana .👇
Read 10 tweets
Jan 23
MAKONDA RASMI MAHAKAMANI

Mahakama ya Kinondoni imemwandikia Christian Makonda kufika mahakamani tarehe 3 February 2022 kujibu Miscellaneous Criminal Application Na. 1 ya mwaka 2022 na imepangwa kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Aron Lyamuya.
👇 Image
Makonda anashitakiwa kwa kuvamia kituo cha clouds tarehe 17 March 2017 saa nne usiku.

Siku ya tukio alifika akiendesha gari yake mwenyewe yenye usajili T 553 BFM akiwa na Askari wanne waliovaa sare za majeshi mbalimbali.

👇 Image
Lengo lilikuwa ni kushinikiza watangazaji warushe kwenye kipindi video ya mwanamke aliyefahamika kwa jina la GRACE ATHUMANI akifanya tendo la ndoa na Askofu Gwajima.

Muaandaaji wa video ile hakuwa anafahamika.👇 Image
Read 5 tweets
Jan 8
Hii ilikuwa ni miaka ya '90 mwanzoni, tukitokea pembezoni mwa mgodi wa Mwadui, tulifahamika kwa jina la "Wabeshi". Image
Zana zetu za kazi ilikuwa ni sululu, chepe na majembe yaliyonolewa sana, tulikabiliana na jeshi la polisi la mgodi wa Mwadui waliokuwa na kikosi cha farasi na mbwa wenye uweredi mkubwa sana na mafunzo ya hali ya juu. Image
Nakumbuka siku rafiki zangu wawili walivyouwawa kwa kuumwa na mbwa sehemu za siri na jirani yangu Jilingumika Masufulia alivyopigwa risasi ya kichwa akivuka fensi ya mgodi wa Mwadui. Image
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(