#Ethiopians cannot find common ground on the future of the country by engaging in half-hearted and exclusionary processes. Crucially, a genuine dialogue cannot unfold while major armed conflicts are ongoing. #EndTigraySiege foreignpolicy.com/2022/01/24/eth…
The government must seek a peaceful end to the conflict with the Tigrayan forces, the Oromo Liberation Army, which has been fighting for self-determination for the Oromo people, and other armed groups in the country.
Federal authorities bear the primary responsibility for building trust and confidence, and creating the conditions necessary for a comprehensive, inclusive, and credible national dialogue.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Goodluck 全能神的僕人

Goodluck 全能神的僕人 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @RealHauleGluck

Jan 23
Katika historia ya uandishi wa Katiba Mpya duniani hakuna nchi yeyote ambayo iliwahi kuandika Katiba Mpya ikakidhi matakwa ya wananchi wote na taifa kwa 100%. Katiba si Msaafu wala si Biblia kwamba haiwezi kufanyiwa maboresho pale yanapohitajika.
Katiba iliyopendekezwa 2014 imetambua haki za makundi mbalimbali kama vile wakulima, wafugaji, wafanyakazi, wasanii, vijana, wanawake na wengine. Ni Bora zaidi ya Katiba ya 1977. Kwa sasa tupate #TumeHuruKwanza ili tuweze kurejesha mchakato wa Katiba kuanzia Katiba Pendekezwa.
Pia Katiba Mpya iliyopendekezwa 2014 imetambua haki bunifu, mgombea, binafsi, maboresho katika muungano wetu sambamba na kuweka mfumo bora wa kusimamia rasirimali za taifa na kudhibiti mianya ya matumizi mabovu ya rasirimali.
Read 7 tweets
Jan 22
#Tanzania: The authorities have started the process of amending the online content and the radio and television broadcasting content regulations of the Electronic and Postal Communications Act.
The current regulations give the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) wide discretionary powers to license blogs, websites, and other online content,…..
……, and prohibit radio and television broadcasters from working with foreign broadcasters unless staff from the communications authority or other government department are physically present. Nothing protects the media and journalists against the executive any more in Tanzania.
Read 5 tweets
Jan 22
#Tanzania: matatizo yanayoikabili nchi yetu ni ‘MFUMO’ wa uendeshaji nchi. Tatizo la pili ni ‘MAADILI’ ya viongozi wa umma. Tatizo la MFUMO linasababishwa na taasisi kutokufanya kazi zinazotakiwa kufanya kwa mujibu wa Sheria na Katiba. Tatizo la MAADILI ni kuanzia kwenye Familia.
Ili kumaliza tatizo la MFUMO ni lazima taasisi kama “Bunge, Mahakama, Ofisi ya DPP, Jeshi la Polisii” zinafanya kazi kwa mujibu wa Katiba, Sheria na kanuni. Ili taasisi zifanye kazi ni lazima kuwa na watumishi wenye maadili, weledi na kusimamia viapo na wazalendo kweli.
Ili kupata watumishi waadilifu wenye mapenzi ya kweli ya nchi yetu (wazalendo) ni kuanzia kwenye familia, jamii mtu anayokulia na taifa kwa ujumla. Tanzania ni wazi swala la uaminifu ni tatizo kubwa sana. Watanzania sio waaminifu kwenye mapenzi, siasa, uchumi, hata dini.
Read 5 tweets
Jan 22
Ni vema Rais Samia akakumbushwa kwamba Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliona mbali kwa kuua makabila ili kujenga taifa. Rais Samia siasa za MACHIFU & WATEMI hazifai, ni kuwagawa watanzania zaidi ya kuwaunganisha.
Kwa asilimia kubwa tamaduni za machifu na watemi zimejikita kwenye Upagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kuabudu mizimu. Ninaheshimu watanzania wanaoamini mambo hayo lakini sio sababu yoyote Rais wa nchi kutumia machifu na watemi kisiasa. Rais ajikite kudumisha tunu za taifa
Takwimu zinaonyesha wazi kwamba tamaduni za machifu na watemi zimezungukwa na mfumo dume. Rais Samia kama kweli anapigania Haki za wanawake na usawa katika taifa hili hapaswi kushabikia tamaduni hizo ambazo tulishaachana nazo siku nyingi kutokana na kutokuwa ba tija kidemokrasia.
Read 4 tweets
Dec 15, 2021
Je, wajua mambo yanayoimaliza CHADEMA?

CHADEMA ninayoijua mimi sio hii inayoendeshwa kimihemko na wanaharakati ambao ni wana CCM wenye mgongano wa kimaslahi na CCM wenzao waliopo madarakani. CHADEMA ingesimamia siasa za tija na kujipanga kimkakati ccm ingekuwa haipo madarakani.
a) CHADEMA wanawaa vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM na kuwapa nafasi za kugombea. Inasikitisha vijana tamaa na mwisho wanatimkia CCM wanapewa nafasi.
b) CHADEMA akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa nafasi CCM wanatimkia CDM kugombea.
Read 10 tweets
Dec 14, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, @SuluhuSamia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa vyama vya siasa pamoja na wadau mbalimbali wa siasa.
Mkutano huo ambao awali ulitakiwa kufanyika Oktoba 21, mwaka huu lakini ukahairishwa, utafanyika Desemba 16 na 17, Dodoma.
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya siasa, Juma Ally Khatib alibainisha kuwa mkutano huo utakuwa na mada 3 zinazohusu masuala ya kisheria, demokrasia, siasa, uchumi na maadili ya kitaifa, yanayohusiana na demokrasia ya vyama vingi vya siasa.
Baraza la vyama vya siasa nchini linatumia fursa hii, kushauri vyama vya siasa vyote vyenye usajili kamili, kuhudhuria mkutano huo, kwani ni fursa adhimu ya kubadiishana mawazo. Siasa ni ushawishi na ushawishi hufanikiwa kapitia njia ya mijadiliano.
Read 7 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(