Ukiachilia mbali kua ni Rapper wa miaka ya 90 mwenye ushawishi muda wote

Pia Tupac ni most quotable rapper of all time kupitia nyimbo & interviews zake...

Kwa kukuthitishia hilo, nimekuandalia quotes zake 10 bora za muda wote..👇🏽

#THREAD

#KiddyMusicBrief
🔟. "Currency means nothing if you still ain't free"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "HOLD YA HEAD" kutoka kwenye album ya "The Don Killuminati The 7 Day Theory"

Akiwa na maana Pesa haina maana kama hautakua huru.
9️⃣. "They Got money for wars, but they can't feed the poor"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "KEEP YA HEAD UP" kutoka kwenye album yake ya "Strictly 4 My N.I.G.G.A.Z"

Album hii ilitoka mnamo February 16, 1993. Na huo ni moja ya wimbo bora wa album hii
8️⃣. "Money bring b!tches, B!tches bring lies"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake wa "All Eyez On Me" kutoka kwenye album ya "ALL EYEZ ON ME"

Ni Thug Quote yake inayokumbukwa wakati wote

Album ilitoka February 13, 1996. Ni album ya mwisho kutoka Tupac akiwa hai
7️⃣. "Don't believe everything you hear. Real eyes, Realize, real lies."

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake wa "CAN'T C ME" all the way from "All Eyez On Me" album

For the record: Hii ndio album pekee iliyopeleka hits nyingi kwenye Hot 200 Billboard

Ilipekea nyimbo 4
6️⃣. "I Love my people DO or DIE, but I wonder why, we scared to let each other fly"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "KRAZY" kutoka kwenye album ya "The Don Killuminati The 7 Day Theory"
5️⃣. "Tell the babes how I love 'em, Precious boys and girls. Born Black in this white mans world"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "WHITE MANZ WORLD" kutoka kwenye album ya "The Don Killuminati The 7 Day Theory"
4️⃣. "Ain't a WOMAN alive that could take my Momma's place"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "DEAR MAMA" kutoka kwenye "Me Against The World" album

For the record: Huu ndio ulikua wimbo bora wa album

Album ilitoka March 14, 1995. Ni album ya 90s bora ya wakati wote
3️⃣. "Real N!ggaz do what they wanna do, b!tch N!ggaz do what they can"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake unaoitwa "Starin' Though My Rear View" kutoka kwenye album ya "Tupac Resurrection"

Moja ya Thug Quote zake zinakumbukwa zaidi
2️⃣. "I know it seems hard sometimes but remember one thing. Though every dark of night, there's a bright day after that. So no matter how hard you get, stick your chest out, keep ya head up and HANDLE IT"

Nukuu hii inatoka kwenye wimbo wake wa "Me Against The World"
Kutoka kwenye album ya "ME AGAINST THE WORLD"

Hii ni nukuu na motivational yake inayokumbukwa zaidi muda wote.
1️⃣. "I'm not saying I'm gonna change the world, but I guarantee that I will spark the brain that will change the world."

Nukuu hii inatoka kwenye interview yake ya mwaka 1994.

Tupac aliongea mambo mengi siku hii, ila hii ni Iconic line aliyotema na inakumbukwa wakati wote
Kwa heshima, nukuu hii imeandikwa kwenye Sanamu yake iliyopo huko Las Vegas
MWISHO..

Until next time...🤝🏽

Yeah, I see you tryna leave without Retweeting Thread. But just know is not fair...😐

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with 𝐊𝐢𝐧𝐠 69⚡

𝐊𝐢𝐧𝐠 69⚡ Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @iampopkiddy

Oct 8, 2022
- Ni moja ya washkaji wanaojua ile kitu tunaita "Hardcore hip hop"

- Licha ya kua media zimemfumbia macho lakini hii haijafanya aache kuifanyia kazi talanta yake

- Leo nimekuandalia story ya maisha yake ya kimuziki, RT kisha shuka Nayo

#KiddyMusicBrief

- #Uzi 👇🏾
- Kwa majina kamili anaitwa Daniel Nwosu Jr., Maarufu kama "DAX"

- Ni msanii, muandishi na mtunzi wa nyimbo (song writer) ambapo alishtua industry ya hip hop kwa track yake ya "Dear God" na kujizolea Kijiji
- Alizaliwa March 22, 1994 Nigeria na kisha kulelewa huko sehemu moja inaitwa Ottawana, Canada

- Baadae akahamia Wichita, Marekani kuhudhuria masomo ya chuo kikuu, baadaye akahamia Los Angeles, California.

- Alihudhuria chuo kikuu cha Newman, ambako aliwahi kuchezea timu
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(