How to get URL link on X (Twitter) App
🔷Maamuzi ya Rais Samia leo Dis. 4 yamefuatia uchunguzi wa kina uliofanywa na timu maalumu aliyoiunda kuchunguza uhalali wa kampuni ya Uturuki, YÜTEK iliyoshinda tenda kujenga meli tano za abiria na mizigo za kampuni ya Meli nchini.
Prof Shemdoe amesema Kupitia Marekebisho ya Sheria ya Elimu ya Mwaka 1978,zilitungwa kanuni za Elimu za mwaka 2002.

Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali,Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu,Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
na athari za kuenea kwake. Mkutano huo uliandaliwa na Kituo Cha Mafunzo cha Kimataifa (TaGLC) kwa kushirikiana na GDLN, Korea leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Kituo.Bw. Brown Hasunga