How to get URL link on X (Twitter) App
far from home. Where one builds their house to call home is not where they live. So, you have this group of people who have spent most of their lives away from home for years and suddenly they have to build a home and make it work with those within it and around it.
Nilipoenda akamchukua mwanae akanikabidhi mkononi akasema, “shogaangu hebu niangalizie mwanangu, maana mie sijielewi”
I tried to be calm, but I could hear my heart pounding in my ears. It felt like someone ripped out my heart and put it in speaker right next to my ears. I felt dizzy, so I sat down. I can’t tell if I was dizzy because of blood loss or the fear of becoming a statistic.
Ilianza kama utani hivi, nikafahamishwa nimepata nafasi ya kufanya mafunzo Morogoro ambayo yaliandaliwa na @sikika1 na @tacaidsinfo 


Hii ilikuwa ni ada kila jioni kwani taa hizo zilikuwa ndio chanzo cha mwanga usiku pale hospitali. Umeme ulikuwa haujafika bado.
3. JE, NIKIPATA CHANJO YA COVID19 KUTANIFANYA NIWE NA SUMAKU (MAGENTIC)?
kitu ambacho sikutegemea, ni upotoshwaji mkubwa zaidi uliokuja na chanjo.
know..work!
https://twitter.com/bintibena/status/1377661097499590656I mean, there were cases the other year of divorces and DV because the wives voted for someone that their husbands didn't like. Actually, statistics show that DOMSTIC VIOLENCE cases go up during elections because of these incidents.
Dhumuni la barua hii, ni kusema na wewe Binti. Natamani barua hii ningeiremba kwa maua, lakini naamini maneno nitakayoandika ni mbegu tosha.
Sikuwaza kitu zaidi ya kucheza, kusoma, kwenda Dolphine, Mafia Lodge na Mnarani kuchezea maji na kuenjoy na familia. Tulikuwa tunafuga kuku, nilikuwa nawapenda sana. Nakumbuka tulivyokuwa tunasherekea sana Birthday, marafiki, mapambo, bustani zetu zilipendeza.


Nikabandua kwa uchungu, nikaangalia ile damu iliyotapakaa kwenye mashuka. Nikayatoa, nikaweka kwenye nguo chafu, nitafua nikitoka darasani.
https://twitter.com/FestoNgadaya/status/1308029451691753473everything women are taught to do.
Ni siku nyingine tulivu, baada ya purukushani za daladala kuwahi hospitali, nilimsalimu nesi wa zamu huku nikivaa koti langu tayari kuandaa meza kwa ajili ya kliniki ya kina mama wajawazito.



Karibuni 💙🔥


1. Maneno matamu-