How to get URL link on X (Twitter) App
2. Nani atatakatisha pesa?
2. SULTAN SHOES ( by Idris Sultan)
Stori kamili iko hivi…
Namna wimbo wa Sona wa Diamond Platnumz ft Adekule ulizaliwa, yani bila Zuchu kufanya hii kolabo ya Lobe na Adenkule basi Diamond asingefakisha Sona kwa urahisi Sona.
Kama nilivyoeleza hapo juu hizi ni tetesi si habari ya uhakika hadi pale wenyewe watakapo thibitisha, naomba kwasasa ichukulie kama tetesi.
Sehemu nyengine yani back to back, kwa mujibu wa meneja wake anadai jamaa aliwai kataa show ya milioni 16 😳.
RASI SIMBA wakumfundisha kinge.
Keki kubwa zaidi ya mwengine kupelekea chuki,uongo,fitna na kurogana ila bahati nzuri bado hawajafikia kuuwana 😂.
Jamaa aliamua kuacha kazi na ku deal na muziki kama full time job(mchizi alianza kutumia unga zamani sana) akiwa Club Moja iliyochangamka inayowakutanisha watoto wa Masaki,Kinondoni,Mikocheni,Upanga na Msasani binti mmoja kwa jina la Vero(sio jina lake halisi) alizimika na 👇
Baada ya kutumiwa Gugugaga mzee mbuzi alikubali kiulaini sababu alizimika na mdundo na idea ya ngoma.
December nakufanya kupigwa mvua ya miaka kadhaa ila baada ya miezi 11 aliachiwa na kupewa adhabu kifungo cha nje cha miezi 2 akitakiwa kufanya huduma za kijamii ila kurekebisha tabia ila jamaa akatoroka na kurudi Nigeria ambapo alisainiwa na record label ya Aristokrat Records .

Nyuma yake nikiwa na maana kwamba ukiachana na Jembe ni Jembe ambae ni mfanya biashara zaidi hakuna manager menye uzoefu na mwenye sauti juu ya Harmonize
Akibaki yule yule Director Kenny?

Wa kampuni kubwa ya mawakili Mkono & Co. Advocates ambayo iliwai kuwa washauri wa kampuni ya umeme ya Tanzania tangu mwaka 1995 na inakadiriwa kuwa ililipwa takribani bilioni 18. Japo inasemekana pia sio baba yake mzazi bali baba yake mkubwa. 
Kulizungumzia hili sababu zao binafsi huku WCB kama taasisi inalinda siri za kibiashara huku Harmonize akilinda heshima yake asije kuonekana mbaya kwa mashabiki lundo wa WCB(public sympath)
Watanzania tunakupenda sababu unaiwakilisha Taifa nikiwa namaana kuwa hata @LusakoWaKwanza angekuwa anacheza Aston Villa leo kama wewe tungempa love yote tunayokupa wewe

Imefanyiwa kichupa na Adam Juma .