Kuduishe Kisowile Profile picture
Aug 31, 2020 12 tweets 5 min read Read on X
Akasimama Mama Victor, kila mtu alikuwa akisubiria maneno yake. Ni mama wa makamo, alipendeza sana. Akasema yeye ana funzo dogo, AINA TANO ZA MANENO.
Nimeona nisiwe mchoyo, niwashirikishe niliyojifunza jana kwenye #SisterhoodTeaParty by DinaMarious #UZI (MFUPI)
#DaktariMwandishi Image
1. Maneno matamu-
Yapo ya aina mbili
a)maneno ya faraja (maneno ya kutia moyo, maneno ya kuinua nafsi ya mtu)
b)maneno ya mapenzi (yamejaa huba, yanakufanya utekenyeke kabla hata hujaguswa, haya ni maneno ya kumpa umpendaye, maneno ya kutia hamasa)
#SisterhoodTeaParty
2. Maneno ya Raia- hautakuwa na maadui wala marafiki, unakuwa ni mtu wa salamu na watu lakini hujengi mahusiano zaidi. Unakuwa na mipaka, unajenga ukuta kukuzunguka hivyo unakuwa huna adui wala rafiki, huna mwandani, huna mtu wa kukuegemea wala wa kumuegemea.
#SisterhoodTeaParty
3. Maneno makali- tumepewa kukemea, usiache kukemea lakini usiwe na maneno makali. Yatakuzeesha. (Uso na maneno vinaendana). Mwanadamu yoyote anahitaji kupendwa.
Maneno haya hukujengea maadui wengi. Unakuwa unafokea watu, wafanyakazi na watoto wako wanakuogopa
#SisterhoodTeaParty
4. Maneno ya uchungu-
a)maneno ya matusi
b)maneno ya masimango
Maneno yanaumba uchungu. (je, ni kwa kufilisika maneno?) weka kaa mdomoni, mwambie Mungu usitoe maneno ya kumfanya mtu ajisikie vibaya. Unapopanda maneno ya uchungu, utavuna uchungu.
HAPA NASEMA
#SisterhoodTeaParty
Leo, kisima cha kijiji nakiwekea uzio. Humu ndani wengi mna maneno ya uchungu, kutwa kucha matusi na masimango. Sio TL, sio DM. Mtu umemkalia kooni mwana wa mwenzio kama unamdai? We ukiamka unashinda kwenye page za watu kazi kutukana, kukosoa, oooh miguu yake imefanyaje, ooh hana
ndevu, mwili kabati, ooh anajidai, maneno mengi kama mpigadebe. Maneno ya shombo yamewajaa sana. Sijui ni uchungu wa maisha yenu au vipi, ila kutwa wewe kuongelea ya watu. Haya ukishamsema, ukamtengenezea magroup DM au whatsapp, mkakaa na mlojaa uchungu wenzio, mkamchamba
mmepata nini? Kamomonyoka?
Tena kwa hawa celebrities, viongozi, watu maarufu na wenye followers wengi, ndo mnahisi kama vile hawana mioyo. Kila kukicha mtu umepiga kambi kwenye page zao, unatukana, unasimanga unahisi hawana mioyo? Hivi mnajisikiaje mtu anawaza kujiua sababu yako
Yakimkuta ya kumkuta, wewe wewe waja "jamani, tuwe kind to each other, hujui mtu anapitia nini"
Ooh, "muwe na thick skin"
Mnasahau hujui mtu anapitia yapi unamuongezea uchungu halafu unashangaa mambo yako hayaendi, hao followers wa kiki unaowataka hawaji, kujitaftia milaana tu!
5. Maneno Dhaifu - maneno ya mizaha, mropokaji, maneno yasiyo na mfupa, unaongea bila kufikiri.
Haya ndo maneno ya wengi pia. Kuna utani, na kuna mizaha. Unakuta watu wanataniana, na wewe unadandia tu. Jamani, utani wa watu uache kama ulivyo. Mizaha mingi alafu unawaza kwanini
mtu anakublock au watu hawakushirikishi mambo yao ya ndani. We kila jambo la mtu unaropoka, binadamu huna kifua, huna la sirini jamani. Khaa! Umefanya mapenzi na mtu, ushaenda kutangaza, limekuwa tangazo la DUME condom hilo hadi kila mtu ajue? Muwe na haya.
#SisterhoodTeaParty
Kila mtu, hata mimi katika nafasi moja au nyingine inawezekana tumeyaongea ain zote za maneno.
Basi tujitathmini. Tujifunze kuwa na upendo. Kuwa na kiasi. Kuyaangalia maisha ya wenzetu. Kuwa na mipaka. Kuwa na breki jamani.
Kusambaza upendo.
#SisterhoodTeaParty
#DaktariMwandishi Image

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Kuduishe Kisowile

Kuduishe Kisowile Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Kudu_ze_Kudu

Jan 4
I woke up today with so much in my mind, and that Sylvia Plath quote pierced right through me and I felt every inch of it.
This made me think about the life cycle of a butterfly and how much it resonates with our lives. Female butterflies lay many eggs because not all will (1/?)
survive. Apparently, we are the eggs that survived long enough to become caterpillars. Oh the fun stage, probably the school years where we ate and ate and ate and ate again to grow and run around exploring everything. Then comes the pupa stage, the very uncomfortable (2/?)
one especially because hidden inside the coccoon is us knowing what we are cooking but outside it looks like we are stuck in a box for weeks, months and even years. This is a stage of patience and resilience. Depending on the species, the pupa may be suspended under a (3/?)
Read 9 tweets
Apr 23, 2023
A lot of people spend most of their lives away from their families and homes that they barely build a community around them. They become visitors of their own homes. Things that used to hold people who live around together don’t do that much anymore. Weddings, funerals conducted Image
far from home. Where one builds their house to call home is not where they live. So, you have this group of people who have spent most of their lives away from home for years and suddenly they have to build a home and make it work with those within it and around it.
Kids spend years in boarding schools away from home and holidays are for visiting relatives again away from home. For years & suddenly they get to university and have the new found freedom in their hostels and home becomes somewhere they visit when they can; again AWAY FROM HOME
Read 15 tweets
Mar 3, 2023
Mjadala uliofanyika leo katika mkutano mkuu wa MEWATA kuhusu afya ya akili baada ya kujifungua, umenikumbusha mbali.
Siku moja napita round wodi ya watoto wachanga nawahimiza kina mama kunyonyesha watoto, mama mmoja aliniita “dokta ukimaliza njoo” #UZI #MEWATA2023
Nilipoenda akamchukua mwanae akanikabidhi mkononi akasema, “shogaangu hebu niangalizie mwanangu, maana mie sijielewi”
Nikamuuliza, “unajiskiaje” nikidhani labda ana shida ya mwili ili tuwaite watu wa wodi ya kina mama waje kumhudumia. Akasema, “yani nikimbeba hivi mtoto kumpa
maziwa, kuna sauti zinaniambia kabisa nimnyonge. Yani nawaza nimzibe pumzi afe. Sasa mi sitaki kumdhuru mwanangu, naomba unilelee tu”

Unajua hivi vitu ukivisoma kwenye vitabu vinaonekanaga kama utani fulani hivi hadi siku unakutana navyo. Nikawasiliana na in charge tukatoa
Read 13 tweets
Oct 3, 2022
When I saw a stream of blood down my leg, I knew right there and then; it’s happening! My worst nightmare was coming true and I couldn’t believe it because it was already days after delivery. I have NEVER been that terrified ALL MY LIFE.
This is my story: SURVIVING PPH #Thread 🧵
I tried to be calm, but I could hear my heart pounding in my ears. It felt like someone ripped out my heart and put it in speaker right next to my ears. I felt dizzy, so I sat down. I can’t tell if I was dizzy because of blood loss or the fear of becoming a statistic.
As we prepared to go back to the hospital, I tried so hard to appear calm; a big smile on my face but in my heart I was terrified. I knew it very well, PostPartum Hemorrhage is no joke. In a matter of seconds EVERYTHING COULD GO WRONG.
I asked for ONE thing: my rozary ring.
Read 24 tweets
Sep 26, 2022
Kuna safari hata ziwe fupi vipi, hazisahauliki. Hazisahauliki kwa mengi; watu uliosafiri nao, watu uliokutana nao, experience ya safari na mengine mengi.
Mimi safari hii pichani sitaisahau.
Nilipata wasaa wa kushare na @buguzi @NormanJonasMD @DrArabiFrank na @JuliethSebbaMD #UZI Image
Ilianza kama utani hivi, nikafahamishwa nimepata nafasi ya kufanya mafunzo Morogoro ambayo yaliandaliwa na @sikika1 na @tacaidsinfo
Na mimi mpenda safari na mpenda afya, naanzaje kukosa? Nikafungasha kibegi changu uelekeo mji kasoro bahari.
Moro bwana! Moro PAZURI NYIE! Basi tu. ImageImageImageImage
Katika mengi nilojifunza siku hizo mbili, kuna kitu kimoja kilichonivutia zaidi ya mandhari nzuri ya Morogoro, maana mara ya mwisho nilikuwa hapa ilikuwa ni trip ya Udzungwa na Mto Mawe.
Kitu hicho ni Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti UKIMWI Tanzania (ATF). Leo naomba niwashirikishe Image
Read 16 tweets
Jul 28, 2021
SEHEMU YA PILI #IjueChanjoNaDaktariMwandishi
Leo, saa 3 asubuhi, Rais SSH atazindua chanjo pale ikulu kwa kupata chanjo hiyo.
Wakati huo, tuendelee kujifunza kuhusu chanjo za COVID19 haswa aina ya Johnson&Johnson ambayo ndio imepokelewa. #UZI FUATILIA
#DaktariMwandishi
3. JE, NIKIPATA CHANJO YA COVID19 KUTANIFANYA NIWE NA SUMAKU (MAGENTIC)?

Hapana. Chanjo za COVID19 hazina uwezo wa kutengeneza "electromagnetic field" (uwezo wa wewe kuwa sumaku) na chanjo zote hazina metals.
Unaweza kuangalia nini kimo kwenye chanjo katika ukurasa wa CDC.
4. KWANINI BAADHI YA TAARIFA ZINASEMA TUMEPOKEA CHANJO YA JOHNSON&JOHNSON NA NYINGINE ZINASEMA "JANSSEN"?
Jina kamili la chanjo iliyopokelewa Tanzania kupitia mpango wa COVAX ni "Johnson&Johnson's Janssen(J&J/Janssen) COVID19 Vaccine" kwahiyo ni kitu kimoja wala si chanjo tofauti
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(