Joe Profile picture
10 Jun, 6 tweets, 3 min read
Jinsi ya Kusurf DarkWeb
#Uzi

1. Download VPN.
Virtual private Network itasaidia kunye kuhide identity yako kwa zaidi ya 20%

2. Download TOR browser
Hii ni special browser inayotumia TOR (The Onion Router)

Ni special kwa ajili ya Kusurf darkweb na Deepweb. Inafanya
kazi katika layers kama Kitunguu inasaidia kwenye kuhide identity kupitia relays (relays)

3. Tumia search Engine kama Duckduckgo au Startpage

5. Search for Hiddenwiki au bookmark link ya hiddenwiki ambayo ni latest

6. Ingia katika Tovuti unayotaka kuna Tovuti za kutosha
Link zake utapata Hidden wiki

Njia ya pili:

Download Firefox browser.

Download Orbot kwa wale wanaotumia Android,

Fanya connection ya Orbot

Fungua Firefox na type
"about:config"

Type "network.dns.blockDotOnion" kwenye Search bar then toggle it iwe False

Then search
"Netwok.proxy.http" Weka iwe 127.0.1.1 na Port iwe 8118

Save Changes sasa unaweza surf deepweb/Darkweb kwa Firefox

Njia ya 3:
Kama unatumia protonvpn

Washa VPN yako kisha connect kwemye TOR server

Fungua firefox kisha search about:config

Search "network.dns.Blockdotonion"
Toggle it iwe False

SASA unaweza Surf Darkwen/ Deepweb

HiddenWiki link

zqktlwi4fecvo6ri.onion/wiki/index.php…

Remember to Bookmark it

Ukitumia Tor na Vpn unahide your Fat ass kwa zaidi ya 70% sababu isp wako hatajua kama umeconnect kwenye Tor Relay

Mbwa Flan tu Kaandaa uzi
I'm Out

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Joe

Joe Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @tzniceguy

11 Jun
Startup in Hacking

#UZI

Hacking ni kitendo cha Kufatuta Madhaifu katika system.

Hacker - Mtu anaetafuta Madhaifu kwenye System

Aina za Hackers

White Hat : Hackers wanaotafuta madhaifu kwenye system na Kutoa report kwa System administrators ili Madhaifu yaweze kukarabatiwa
BlackHat - Aina ya Hackers Ambao wanatafuta madhaifu kwenye System na kuyatumia kwa Maslahi yao Binafsi

GreyHat- Aina ya Hackers ambao huwa na sifa za BlackHat na WhiteHat hackers

Note: hacking sio illegal, ila Kuhack bila ridhaa ya individual ni illegal
Unaanzaje kuingia kwenye Careear ya Hacking???

1. Anza kujifunza Network.
Hii inasaidia kuwa mtaalamu kwenye maswala ya Networking na Internet ili uweze kuexploit madhaifu katila network.

Unaweza jifunza networking online au kuenroll katika Vyuo kwa Online nashauri CISCO
Read 9 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(