Websites zilizojificha kwenye 60,000,000,000 TB za data kwenye internet.

Internet ni kijiji kimoja kikubwa sana kinachozidi kukua kila sekunde. Kama unavyojua maisha yetu kijijini ni ujamaa.

Kuna hizi website kadhaa ni muhimu sana zinaweza boresha uwepo wako mtandaoni.

🧵
1. Soap2Day

Huwa una bando la kutosha na unaweza vumilia matangazo yasiyo na mpangilio? Tumia hii website ya soap2day kuangalia movies mtandaoni.

Hapa hauna haja ya kumiliki akaunti ya netflix ni mwendo wa ski ads na press and play.

wvw.ssoap2day.to
2. Temp Mail

Kuna huduma unahitaji kujaribu kama inakufaa, lakini hutaki kutumia email yako ya kila siku?

Tempmail ipo kukupa email utakayo tumia kwa muda mfupi kukamilisha zoezi hilo.

Ukiingia kwenye page hii utakuta email ipo tayari kwa ajili yako.

temp-mail.org/en/
3. Virus Total

Zile link huwa zinasambaa magroup ya whatsapp ambazo huwa huziamini unaweza scan mtandaoni bila kuzifungua kujua kama ni salama.

Tumia Virus total website kuscan hizo link. Copy & paste link kwenye website ya virus total.

virustotal.com
4. unDraw

Hii ni website nzuri zaidi kwa designer na developers.

unDraw imebeba collection ya illustrations za bure ambazo unaweza tumia katika projects zako mbali mbali.

undraw.co/illustrations
Unazijua website nyingine zipi muhimu watu kuzijua?

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with HabariTech

HabariTech Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @HabariTech

1 Sep
Afrika Bila Internet kwa muda usiojulikana.

African Network Information Centre (AFRINIC) taasisi ambayo toka mwaka 2005 ilipewa mamlaka ya kusambaza anawani za kimtandao (IP addresses) barani Afrika ipo hatarini kushindwa kuendelea kufanya kazi.

UZI 🧵
#habarinews
Kila kifaa kinachotumia mtandao kina anwani iitwayo IP Address. Anwani hii inakutambulisha wewe mtandaoni.

Anwani hizi ndizo ambazo zinatambulika mtandaoni na si jina la simu, website au PC unayotumia.
website kama ya @RednetCompany unaweza ifikia kwa kutafuta rednet.co.tz lakini computer yako inapoingia mtandaoni itatafuta 162.214.100.22.

Namba hii ni anwani ambayo mtandao inatambua kama ni miliki ya @RednetCompany
Read 20 tweets
1 Sep
Utakubali kuhudumiwa na Muuguzi Roboti Hospitalini?

UVIKO-19 umebadilisha sana mwenendo wa maisha yetu ndani ya miaka 2 iliyopita. Nani aliwaza kwamba leo hii kufanya kazi kutoka nyumbani ingekuwa ni kitu kinachopewa kipaumbele hivi?

🧵
Katika jitihada za kuokoa maisha ya watu wengi zaidi duniani, tumeona uundaji wa roboti ambao wanachukua nafasi za wauguzi katika hospitali.

Kampuni ya Hanson huko Hong Kong imekuja na roboti huyu mwenye muonekano wa kibinadamu.

Amepewa jina la "Grace".
Hanson robotics kwa wale msioifahamu, ni kampuni ile ile ambayo ilimtengeneza Sophia. Roboti mmoja maarufu sana duniani.

Sophia alipewa uraia wa Saudi Arabia. Na sasa Hanson robotics wanatuletea Grace.

Grace atahusika zaidi kutoa huduma kwa wagonjwa wa UVIKO-19 hospitalini.
Read 6 tweets
31 Aug
Kutaka kutupia PC ni ili kuboresha ufanisi wa kazi na kuongeza spidi ya kufanya kazi.

Bahari mbaya Windows huwa si rafiki kwetu siku zote katika hili. Unaweza hitaji kukamilisha kazi haraka, lakini windows ikakufedhehesha.

Somo la leo ni jinsi ya kuongeza spidi ya win10.

UZI Image
Windows 10 imeboreshwa sana ukilinganisha na matoleo ya nyuma ya Windows. Inafanya vizuri sana kwa PC ambazo zimekidhi vigezo, shida huwa kwa PC za kizamani.

PC hizi hazina uwezo mzuri kubeba hii OS, hivyo mara nyingi watumiaji wake huwa wakilalamika kuhusu ubora wa Win10. Image
Twende moja kwa moja kuangalia ni kwa namna gani tunaweza ongeza spidi ya Win10.

MUHIMU: Hacks hizi ni zile anazoweza fanya mtu yeyote.
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(