💨Rais Alpha Conde (Guinea) alipinduliwa kwa msaada wa USA & Ufaransa, lkn kwa ASSIMI GOÏTA (Mali) alisaidiwa na Urusi.Pia mauaji ya IDRIS DÉBY (Chad) yalifanywa na URUSI
👩💻𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐌𝐚𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐓𝐮𝐬𝐢𝐲𝐨𝐲𝐚𝐣𝐮𝐚👇
Mnamo Aprili 20, 2021 majira ya jioni zilianza sherehe huko La Brasserie Kiss, umbali wa 100M kutoka ktkt ya mji wa Bangui (Afrika ya Kati). Kila aliyepita huo mtaa aliona magari kadhaa yamepaki mbele ya nyumba moja ya Ghorofa 3, jumba ambalo ni kivutio kikubwa sana ktk jiji hilo
Jengo hili lipo nje kidogo ya mtaa maarufu wa DU COLONEL CONUS na ikifika usiku hupendeza sana kutokana na mng'ao wa taa ulioizunguka. Kulingana na saa kule ilikuwa mida ya saa 2 usiku hivi na kwa wenyeji wa mji huo, ni muda ambao amri ya kutotembea usiku huanza kutumika.
Siku hiyo watu fulani hawakutaka kuondoka ili wahudumu wafunge.
Siku hiyo watu fulani hawakutaka kuondoka ili wahudumu wafunge.
Kanali VASSILI, mutu ya pamba kali, Mzee wa kuwaka na mvuvi wa watoto wazuri mjini kama @BarakaSaimon3, basi naye alialikwa ktk sherehe hiyo na alikuwa ametupia nguo za kiraia ukimuona huwezi kumjua.
KANALI VASSILI NI NANI?
#Inshort:Ni kijana mdogo raia wa Urusi, anapenda sana raha, pombe kwake ni kama maji tu.Unaambiwa pia mara nyingi akiwa na gari lake la kivita ndani ya mitaa ya jiji hilo, hujiona km yupo Moscow
Yaani huwa hajali sana vizuizi vya traffic akiwa barabarani
Akiwa na wine yake aligonga glasi kadhaa kufurahia kifo cha Rais IDRISS DÉBY ITNO wa Chad, ambaye alikuwa amefariki siku 02 zilizopita. Wenzake hawakufurahia hali hiyo ingawa hawakuhusika na mauaji yake. Walifadhaika sana na ilionekana ni kukosa heshima kusherehekea kifo chake.
Licha ya kuwa Kanali huyu alikuwa akifurahia hafla hiyo akiwa na marafiki zake, Lkn alikuwa kazini na simu yake ilimkumbusha km mara 02 hivi
Mtu wa kwanza aliyewasiliana naye usiku huo alikuwa Rais FAUSTIN-ARCHANGE TOUADÉRA wa Afrika ya Kati na alitaka kufahamishwa habari fulani
Rais TOUADÉRA alitaka kujua vikosi vya Urusi vilikuwa vimefikia hatua gani kwenye operation zao dhidi ya kikundi cha Coalition of Patriots for Change/Coalition des Patriotes pour le Changement (CPC).
Kikundi hiki cha CPC ni muungano wa vikundi kadhaa vinavyojiita vya wazalendo!!
#CPC ni kikundi cha waasi na kinaongozwa na FRANÇOIS BOZIZÉ YANGOUVONDA, aliyekuwa rais wa nchi hiyo miaka 10 iliyopita (2003/2013).
#BOZIZÉ alimpindua rais wa zamani ANGE-FÉLIX PATASSÉ akiwa ameenda Niger. Mnamo 2013, naye alipinduliwa na waziri mkuu TOUADÉRA aliye madarakani.
Kikundi cha CPC kiliundwa mwaka jana 2020 na kuvuruga uchaguzi mkuu wa 2020/21 nchini humo.
Kanali Vassili ambaye jina lake kamili halijulikani kabisa, ndiye amepewa kazi ya kupambana na CPC na ni mmoja wa viongozi wa kampuni ya WAGNER yenye Mercenaries na makomando wa kivita.
Kikundi cha CPC nitakielezea baadae kuanzia
📡Kuanzishwa
📡Uongozi
📡Operation n.k
Pia kampuni ya #Wagner nitaichambua kwa undani zaidi kadri tunavyoenda na huu Uzi, #muhimu ni kufahamu kuwa inaendeshwa na Tajiri wa Urusi rafiki na swahiba #01 wa Rais VLADIMIR PUTIN wa URUSI
Kanali VASSILI alikuwa amezoea kuzungumza na TOUADÉRA na haraka alimjibu na kumhakikishia kuwa kikosi chake bado kina nguvu
Aliongezea kuwa, Jeshi la nchi hiyo ambalo mara nyingi ndio huwekwa mbele karibun litasonga zaidi na punde litadhibiti maeneo yanayoshikiliwa na waasi hao
Kisha baada ya mazungumzo hayo alikata simu na kurudi kunywa wine 🍷 yake
🎼Sherehe ziliendelea ingawa kulikuwa na amri ya kutotoka nje usiku. Yote kwasababu kiongozi huyo wa kijeshi toka Urusi alikuwa maarufu sana kiasi kwamba uwepo wake tu Club hiyo iliruhusiwa kuvunja sheria.
Lkn unaweza ukajiuliza KIJANA huyu ni nani?🤔
💨MTU ambaye anaogopeka kwa karibu watu wote Jijini Bangui mpk sheria zinavunjwa!!
📡Kijana ambaye ana mawasiliano ya moja kwa moja na rais, na ni kiongozi wa ngazi ya juu wa Kampuni ya WAGNER huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.!!
📡Je, ndiye BOSS wa WAGNER huko Afrika ya Kati? kampuni ambayo kwa mujibu wa vielelezo inaonekana haina LEGAL STATUS huko Urusi!
Bro kama unayo M15-18 usikimbilie kununua gari huku unaishi nyumba ya kupanga. Jenga Block yako (vyumba 2, sebule, jiko, choo) na hakikisha unapiga hatua kuelekea kwenye Jumba la ndoto yako.
Kila ndoto inaanzia kwenye hatua ndogo. Nakupa mchanganuo mfupi utoke nyumba ya kupanga.
1. MSINGI Tshs (3 - 4)M
Msingi ni sehemu muhimu inayobeba uzito wa nyumba, lakini unaweza kupunguza gharama kwa kutumia njia za kawaida.
🔹 Gharama za vifaa:
Mchanga: Lori 2-3 = Tsh 500k
Kokoto: Lori 1 = Tsh 400K
Saruji: Mifuko 20-25 (Elfu20 kwa mfuko) =400/500K
Nondo: 800K
✅ Mbinu za kupunguza gharama:
Kama ardhi ni imara, badala ya msingi mzito, unaweza kutumia strip foundation badala ya raft foundation.
Unapochimba msingi, usichimbe sana kupita mahitaji ili usitumie tofali na saruji nyingi.
Fundi mpe 1M mwambie afanye afanyavyo msingi usimame
🔲Mnamo April 12, 1984 ilikuwa ni siku mbaya sana ktk Taifa letu na haitosahaulika kwa Watanzania. Siku hiyo tulimpoteza kijana makini aliyekuwa Waziri Mkuu EDWARD MORINGE SOKOINE, aliyefariki kwa ajali mbaya ya gari eneo la Wami-Dakawa (Morogoro).
🔲SOKOINE mmoja wa viongozi bora nchini amefariki miaka 37 iliyopita akiwa na miaka 46. Ikiwa ulizaliwa kpnd hicho sasahv ushakuwa na watoto na pengine unaelekea wajukuu.
🔲Ingawa historia tumesoma ndio, ILA #chanzo cha kifo chake bado kuna utata kuna maswali YasiYo na majibu.
🔲ILIKUWAJE AKAGONGWA NA GARI La "Private" #KATIKATI Ya MSAFARA na kupelekea kifo chake (Tujuavyo msafara wa VIP unakuwaga na ulinzi wa usalama, hakuna gari linaruhusiwa kutembea hadi upite)
Mnamo Sept 19, 1960, Mkuu wa CIA huko Leopoldville (sasa Kinshasa) alipokea SMS kupitia chombo cha siri kutoka wakuu wake huko Washington. Mtu aliyejiita 'Joe from Paris' ndiye aliyepiga simu na ..
kumwambia angefika Congo kwa ajili ya Operation maalum.
Hakuna maelezo zaidi yaliyotolewa. Baadae mkuu huyo alionywa kutozungumzia ujumbe huo na mtu yeyote. Wiki 01 baadae 'Joe' aliwasili nchini humo.
Leo nikiwa nasoma kitabu cha 𝐖𝐡𝐢𝐭𝐞 𝐌𝐚𝐥𝐢𝐜𝐞 (Author: SUZAN WILLIAMS)
kilichotoka Agosti 20, 2021, nimejikuta nikiumia sana nafsi baada ya kufahamu jinsi Marekani ilivyomuua Waziri Mkuu wa kwanza wa DR-Congo, mzalendo wa kweli, kijana mdogo mrefu, mwembamba miaka 36, kwasababu tu USA iliogopa Umoja wa Kisovieti (USSR) ikaamua kumuua.
Baada ya TALIBAN nchin Afghanistan, habari sasa ni MAMADY DOUMBOUYA kiongozi wa kijeshi huko Guinea, kumpindua rais na kuchukua madaraka #Unadhani kikosi kidogo cha SFG kiliwezaje kudhibiti kambi za kijeshi na kumkamata rais?👇
Yes, mwanajeshi wa zamani wa Ufaransa (French Legionnaire) aliyerudi nyumbani miaka 03 iliyopita na kuaminiwa na Rais ALPHA CONDÉ, ndiye aliyemsaliti na kumuondoa madarakani baada ya kutaka kuongoza nchi kwa muhula wa 03
MAMADY DOUMBOUYA ambaye ana cheo cha Kanali alionekana..
kwenye kituo cha Radio-Télévision Guinéenne(RTG), mnamo 5 Septemba majira ya saa 2 usiku, akiwa amevalia kofia nyekundu (Red Beret) ameweka bendera ya taifa hilo begani mwake, na kuzungukwa na wanajeshi wanane, akatangaza kuwa jeshi limechukua madaraka ya nchi.
Ilianza kama utani Mzee Condé hakuamini kijana wake mwenyewe aliyemlea, mwenye masters ya vita na cheo akampatia alipomwambia "simama juu hlf ukae chini" Unadhani ilikuwa rahisi kumpindua? Naam It's #Guinea:1958-Present👇
Sikuweza kuandika Uzi yalipotokea mapinduzi ktk nchi nyingine mbalimbali, lkn kwa yaliyotokea jumapili nchini Guinea nimeona niandike ili Watanzania tuone km kuna lolote la kujifunza. Nitaangazia upande wa kisiasa tu. Nitachambua kila kitu kuanzia uhuru hadi kutokea mapinduzi.
Maswali nayotaka kukujibu km ulijiuliza ni haya:👇
💨Historia ya Guinea ikoje?
💨Kwnn mpk mapinduzi?
💨Col. Doumbouya ana nguvu gani
💨Kwann wananchi wamefurahia?
History repeats itself, 1st as Tragedy, second as Farce.
Just retweet 🔄 huenda siku
Uzi huu ukakukumbusha kitu
#𝕿𝖍𝖗𝖊𝖆𝖉:
Ifahamike, walikuwa yatima ktk kambi za wakimbizi Pakistan.
Je, wana uhusiano na AL-QAEDA? #Tragedy:UINGEREZA & URUSI kuchezea kipigo cha Mbwakoko.
✴️Chimbuko
📡Walio nyuma yao?
📋Tofauti yao na MUJAHIDINA..
Vita vya Marekani nchini Afghanistan vimedumu kwa takribani miaka 20. Nimeona watu wengi wakitoa maoni juu ya Jeshi la TALIBANI kuchukua nchi Lkn wengi hawana historia juu yake. Wengine wanasema Rais wa Marekani @JoeBiden mefanya 'makosa' kuondoa majeshi yake.
BIG NO __Hapana.
Wengi tusichojua ni kwamba, huu ulikuwa ni uhalifu wa kivita na DICK CHENEY, aliyekuwa Vice President wa G. W BUSH na DONALD RUMSFELD, Kiongozi Mkuu wa Ulinzi kipindi cha Vita ya IRAQ (alishafariki), ndio walioiingiza Marekani kwenye shida hii unaiona Leo, kisa wanamtafuta OSAMA