JAPHET MATARRA Profile picture
Father l Husband | Human Right Activist | Mineral Processing Engineer @JSPLcorporate |#Paralegal | Member @ChademaTz | #ManUTD |~Boss Himself | ๐Ÿ’จStoryTeller๐Ÿ’ฃ
Hangi ๐Ÿ“ฟ Profile picture peter August Profile picture 2 subscribed
Oct 19, 2021 โ€ข 111 tweets โ€ข 40 min read
NANI ALIYEMUUA SOKOINE?

#UZI

๐Ÿ”ฒMnamo April 12, 1984 ilikuwa ni siku mbaya sana ktk Taifa letu na haitosahaulika kwa Watanzania. Siku hiyo tulimpoteza kijana makini aliyekuwa Waziri Mkuu EDWARD MORINGE SOKOINE, aliyefariki kwa ajali mbaya ya gari eneo la Wami-Dakawa (Morogoro). ImageImageImage ๐Ÿ”ฒSOKOINE mmoja wa viongozi bora nchini amefariki miaka 37 iliyopita akiwa na miaka 46. Ikiwa ulizaliwa kpnd hicho sasahv ushakuwa na watoto na pengine unaelekea wajukuu.

๐Ÿ”ฒIngawa historia tumesoma ndio, ILA #chanzo cha kifo chake bado kuna utata kuna maswali YasiYo na majibu. Image
Sep 26, 2021 โ€ข 17 tweets โ€ข 14 min read
PUTIN ANAVYOPINDUA VIONGOZI WA AFRIKA KUJIIMARISHA

#UZI:

๐Ÿ’จRais Alpha Conde (Guinea) alipinduliwa kwa msaada wa USA & Ufaransa, lkn kwa ASSIMI GOรTA (Mali) alisaidiwa na Urusi.Pia mauaji ya IDRIS Dร‰BY (Chad) yalifanywa na URUSI
๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ’ป๐Œ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐Œ๐š๐ณ๐ข๐ญ๐จ ๐“๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ฒ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐Ÿ‘‡ Mnamo Aprili 20, 2021 majira ya jioni zilianza sherehe huko La Brasserie Kiss, umbali wa 100M kutoka ktkt ya mji wa Bangui (Afrika ya Kati). Kila aliyepita huo mtaa aliona magari kadhaa yamepaki mbele ya nyumba moja ya Ghorofa 3, jumba ambalo ni kivutio kikubwa sana ktk jiji hilo
Sep 18, 2021 โ€ข 120 tweets โ€ข 60 min read
๐‚๐ˆ๐€ ILIVYOTUMIA MWANAMUZIKI ARMSTRONG KUMUUA PATRICE LUMUMBA (Congo)

#Thread

Mnamo Sept 19, 1960, Mkuu wa CIA huko Leopoldville (sasa Kinshasa) alipokea SMS kupitia chombo cha siri kutoka wakuu wake huko Washington. Mtu aliyejiita 'Joe from Paris' ndiye aliyepiga simu na .. kumwambia angefika Congo kwa ajili ya Operation maalum.

Hakuna maelezo zaidi yaliyotolewa. Baadae mkuu huyo alionywa kutozungumzia ujumbe huo na mtu yeyote. Wiki 01 baadae 'Joe' aliwasili nchini humo.

Leo nikiwa nasoma kitabu cha ๐–๐ก๐ข๐ญ๐ž ๐Œ๐š๐ฅ๐ข๐œ๐ž (Author: SUZAN WILLIAMS)
Sep 13, 2021 โ€ข 147 tweets โ€ข 82 min read
FULL OPERATION MAPINDUZI YA RAIS (GUINEA)

#Thread

Baada ya TALIBAN nchin Afghanistan, habari sasa ni MAMADY DOUMBOUYA kiongozi wa kijeshi huko Guinea, kumpindua rais na kuchukua madaraka #Unadhani kikosi kidogo cha SFG kiliwezaje kudhibiti kambi za kijeshi na kumkamata rais?๐Ÿ‘‡ Yes, mwanajeshi wa zamani wa Ufaransa (French Legionnaire) aliyerudi nyumbani miaka 03 iliyopita na kuaminiwa na Rais ALPHA CONDร‰, ndiye aliyemsaliti na kumuondoa madarakani baada ya kutaka kuongoza nchi kwa muhula wa 03

MAMADY DOUMBOUYA ambaye ana cheo cha Kanali alionekana..
Sep 9, 2021 โ€ข 211 tweets โ€ข >60 min read
MAPINDUZI YA GUINEA TZ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ YA SAMIA INACHAKUJIFUNZA

#UZI

Ilianza kama utani Mzee Condรฉ hakuamini kijana wake mwenyewe aliyemlea, mwenye masters ya vita na cheo akampatia alipomwambia "simama juu hlf ukae chini" Unadhani ilikuwa rahisi kumpindua? Naam It's #Guinea:1958-Present๐Ÿ‘‡ Sikuweza kuandika Uzi yalipotokea mapinduzi ktk nchi nyingine mbalimbali, lkn kwa yaliyotokea jumapili nchini Guinea nimeona niandike ili Watanzania tuone km kuna lolote la kujifunza. Nitaangazia upande wa kisiasa tu. Nitachambua kila kitu kuanzia uhuru hadi kutokea mapinduzi.
Aug 18, 2021 โ€ข 114 tweets โ€ข 46 min read
WHO is '๐“๐€๐‹๐ˆ๐๐€๐'? WANATAKA NINI HASA AFGHANISTAN?

#๐•ฟ๐–๐–—๐–Š๐–†๐–‰:
Ifahamike, walikuwa yatima ktk kambi za wakimbizi Pakistan.
Je, wana uhusiano na AL-QAEDA? #Tragedy:UINGEREZA & URUSI kuchezea kipigo cha Mbwakoko.
โœด๏ธChimbuko
๐Ÿ“กWalio nyuma yao?
๐Ÿ“‹Tofauti yao na MUJAHIDINA.. Vita vya Marekani nchini Afghanistan vimedumu kwa takribani miaka 20. Nimeona watu wengi wakitoa maoni juu ya Jeshi la TALIBANI kuchukua nchi Lkn wengi hawana historia juu yake. Wengine wanasema Rais wa Marekani @JoeBiden mefanya 'makosa' kuondoa majeshi yake.
BIG NO __Hapana.
Aug 11, 2021 โ€ข 158 tweets โ€ข 76 min read
๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐€๐’๐ˆ๐‹๐ˆ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐‰๐ˆ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐Š๐Ž๐€๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

#๐•ฟ๐–๐–—๐–Š๐–†๐–‰:
Tanzania ni nchi iliyoko Africa
Jina "๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š" lilipatikana kwa mashindano yaliyotangazwa mwaka 1964 na ๐Œ๐จ๐ก๐š๐ฆ๐ž๐ ๐ˆ๐ช๐›๐š๐ฅ ๐ƒ๐š๐ซ ndiye aliyelibun.Hivi unafaham asili ya jina la mkoa wako? Ktk kipind cha ๐”๐ค๐จ๐ฅ๐จ๐ง๐ข Tanzania ilikuwa na utawala wa majimbo 8, Lkn baada ya #๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ mikoa ilianzishwa kwa miaka tofauti na mpk Leo hii ninavyoandika #Uzi huu ๐Œ๐ข๐ค๐จ๐š 31 imeanzishwa kutoka pande zote Visiwani na Tz Bara.Najua ulishawahi kujiuliza asili ya Mkoa wako
Jul 29, 2021 โ€ข 96 tweets โ€ข 59 min read
FAHAMU MADINI YA ALMAS ๐Ÿ’Ž UTAJIRI & VITA YAKE

#Uzi:
๐Ÿ“‹Asili yake
๐Ÿ“‹Historia yake
๐Ÿ“‹Mgunduzi wake
๐Ÿ“‹Aina & Thamani yake
๐Ÿ“‹Vita yake duniani na Tanzania
๐Ÿ“‹๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ iligunduliwa lini na nani, wapi
๐Ÿ“‹DE BEERS & Msukuma wa Williamson DIAMONDS, aliyeipenda Mwadui hakuna wa mfano wake!!
๐Ÿ”„๐Ÿ‘‡ Leo nimechagua kuzungumzia Maliasili za Taifa๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

#Maliasili ni vitu vinavyotokana na maumbile. MFANO:Wanyama, Misitu, Madini n.k kama ulikuwa hufahamu maliasili za nchi huchangia ktk utajiri wa nchi husika.Mojawapo ni South Africa, imenawiri kiuchumi kutokana na utajiri wa madini
Jul 27, 2021 โ€ข 37 tweets โ€ข 25 min read
FAHAMU MVUMBUZI WA TELEVISION (๐Ÿ“บ)

#Yes_____&&
#Thread|story๐Ÿ•
Any sufficiently Advanced Technology is indistinguishable from MAGIC!! Binafsi huwa nasema Technology Is the Great ant๐Ÿ’‰dote to the Poison of Enthusiasm and Superstition๐Ÿ’ฃ
๐Ÿ“‹Asili ya TV
๐Ÿ“‹Historia yake
๐Ÿ“‹Uvumbuzi n.k Televisheni (TV) au Runinga ni kifaa chenye kioo ambacho kinapokea mawasiliano kutoka kituo cha televisheni na kuyabadilisha kuwa picha na sauti.

Neno "Televisheni" linatokana na maneno mawili:
(i)Tele (Kigiriki)-kwa mbali sana na
(ii)Visio (Kilatini)-mwono.

RT @omari_manyama
Jul 19, 2021 โ€ข 322 tweets โ€ข >60 min read
MAUAJI YA RAIS WA HAITI

#OnJuly07, 2020 ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡น

#Story ina part A na B

๐Ÿ“‹Historia ya Haiti

๐Ÿ“‹Mauaji ya Rais @moisejovenel

๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ’ปUnajua tangu ipate uhuru imeongozwa zaidi ya marais 49, kati yao 9 ndio walimaliza vipndi vyao bila kupinduliwa/kuuawa wakiwa madarakani?
#Thread|Story๐Ÿ•’๐Ÿ‘‡ ImageImageImage Usiku Julai 7 watu wenye silaha walivamia makazi binafsi Rais @moisejovenel wa Haiti na kumuuawa. N MAUAJI yaliyoshtua Haiti, ingawa bado haijulikani nani aliyeajiri wauaji na kwanini, lkn mercenaries wa Colombia na Marekani walikamatwa kufuatia mauaji yale.
RT iwafikie wengi๐Ÿ‘‡
Jul 17, 2021 โ€ข 24 tweets โ€ข 15 min read
On This Day

TWA FLIGHT 800 ๐Ÿ˜ญ
#RIP !!
#The aviation disaster, a Europe-bound Boeing 747, Exploded and Crashed off Long Island,NY

#Thread|StoryTime
#AllpeopleDied
๐Ÿ“œGaddafi, SADDAM HUSEIN wahusishwa | kwa upande wa USA ulikuwa usiku usiosahaulika.

RT @omari_manyama let's go๐Ÿ‘‡ ImageImageImage #Ikiwa ni dakika 12 tu baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa John F. Kennedy (JFKIA) uliopo mjini New York, ndege [TWA FLIGHT 800] iliyokuwa ikielekea Italia kupitia Paris ililipuka ghafla juu ya Bahari ya Atlantiki na kuua watu wote 230 waliokuwemo ndani ya ndege Image
Jun 13, 2021 โ€ข 35 tweets โ€ข 15 min read
"YOU ARE UNDER ARREST"

#Uzi

๐Ÿ“ŒJe, wajua Leo ilikuwa siku ambayo sheria inayomlinda mhumiwa [Miranda rights/Warnings] anapokamatwa na vyombo ulinzi ilipitishwa huko marekani?

๐Ÿ’จYES it's Miranda Vs Arizona case

๐Ÿ“Œ Historia yake

๐Ÿ“Œ Chanzo chake

๐Ÿ“ŒMaamuzi ya kihistoria.

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ImageImage Mnamo Juni 13, 1966 Mahakama Kuu ya Juu (Supreme Court) nchini Marekani ilitoa uamuzi wa kihistoria juu ya taratib za uendeshaji kesi za jinai mahakamani.Uamuzi huo ulitokana na kesi ya Miranda Vs Arizona kwamba watuhumiwa wa kesi wanazo haki zao kabla ya kuhojiwa wawapo kizuizin Image
Sep 8, 2020 โ€ข 30 tweets โ€ข 10 min read
FAHAMU KUHUSU JAPHET KIRILO

#Uzi

โœด๏ธMtanzania wa Kwanza kuachia Ubunge kisa mashamba ya kahawa 1990's

โœด๏ธAkiwa 31yrs alikwenda mpk UN kutetea wakulima
โœด๏ธHuyu ndiye alisomesha Wameru wengi akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Gen. SARAKIKYA pamoja na Babaake @CarolNdosi๐Ÿ‘‡ Kwanz kabisa ktk HISTORIA ya Ukombozi wa Tanganyika kutoka kwa Mkoloni Haiwezi KUMTENGA Kirilo Japhet

Tukiwa tunaendelea hapo juu Pichani ni Japhet Kirilo (kulia), akizungumza na mmoja wa viongozi wa serikali ya kikoloni Ralph Bunche..

Tuendeleeee๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Sep 6, 2020 โ€ข 29 tweets โ€ข 16 min read
FAHAMU MAANA NA ASILI YA MAJINA YA MAJIMBO YA MAREKANI

#Uzi mfupi.

Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776 na kuwa Jamhuri rasmi mwaka 1789, ina jumla ya majimbo 50 na jimbo la mwisho kujiunga kwenye muungano wa Marekani ni jimbo la Hawaii. Hawaii iliingizwa kwenye shirikisho rasmi mwaka 1960 baada ya marekebisho ya 15 ya katiba ya nchi hiyo (15th ammendment) na ni zao la sheria mpya iliyoitwa Hawaii Adimision Act, yaliyofanyika mwaka 1959, ili kuingiza jimbo la Hawaii katika shilikisho la muungano wa Marekani.โ €
Aug 21, 2020 โ€ข 58 tweets โ€ข 20 min read
VISA VYA MADINI YA TANZANITE

#Thread

โœด๏ธManuel De' Souza Fundi Cherehani na mgunduzi halisi ila hakupewa heshima,

โœด๏ธMzee Ngoma atangazwa mgunduzi ilihali sio

Twende chap...

๐Ÿ’จAsili ya Tanzanite
๐Ÿ’จHistoria yake
๐Ÿ’จVisa ktk ugunduzi wake
๐Ÿ’จThamani yake
๐Ÿ’จSababu ya kuitwa hivyo๐Ÿ‘‡ Kila mwaka July 07 huwa ni siku maalum na ukumbusho muhimu sana, na huwa ninafanya sherehe ya Birthday kwa ajili ya Mimi na Baba yangu (sisi wawili tulizaliwa siku hii), Lakini pia siku hii ndio madini ya Tanzanite yaligunduliwa.

Mwaka huu pia nilifanya..

Turudi ktk uzi๐Ÿ‘‡