DONDOO KUHUSU UGONJWA WA MONKEYPOX
1️⃣ Virusi wa Ugonjwa huu huishi kwa wanyama jamii ya nyani 🐒,panya 🐀 na kindi 🐿
2️⃣ Kuenea kwa ugonjwa
✅ Ugonjwa huenezwa kwa kugusa mnyama aliethirika na ugonjwa huu🐒➡️ 🚶‍♂️
✅au kwa njia ya hewa, kugusana, kupitia pua, macho na mdomo 🧍‍♀️➡️🚶‍♂️ Image
3️⃣DALILI ZA UGONJWA
✅Homa 🤒
✅Vipele vinavyoweza kuwa na majimaji hasa usoni, viganjani na nyayoni
✅Uchovu 😰
✅Maumivu ya kichwa
Kawaida ugonjwa si mkali na hufanana na tetekuwanga japo kwa watoto wachanga na watu wenye magonjwa sugu huweza kuwa mkali na kusababisha kifo Image
⚠️TAHADHARI
Hakuna mgonjwa wa Monkeypox aliyewahi kugundulika #Tanzania
🛑Hatua za kujikinga;
✅Kutogusa au kula mzoga au mnyama anaeumwa au masalia yake
✅Nyama inashauriwa ipikwe na iive vyema.
🎗UNAKUMBUSHWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA NA YA MLIPUKO Image

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with ELIMU YA AFYA KWA UMMA

ELIMU YA AFYA KWA UMMA Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @elimuyaafya

Jun 20
DONDOO MUHIMU ZA KULINDA AFYA KATIKA MSIMU WA BARIDI KALI

Mamlaka ya Hali ya hewa nchini @tma_services imetangaza kuongezeka kwa vipindi vya baridi katika saa 24 zijazo.

Mathalani mkoani Mbeya jotoridi 🌡 linakadiriwa kushuka mpaka nyuzi joto 4°C 🥶.

#thread 1/7 ImageImage
Kutokana na taarifa hiyo, @wizara_afyatz inawatahadharisha wananchi kujikinga na madhara ya kiafya yanayoweza kusababishwa na hali hii.

Hizi ni dondoo 5️⃣ za kulinda afya yako katika kipindi cha baridi kali.

2/7 Image
1️⃣ Hakikisha unasitiri mwili wako dhidi ya baridi. Vaa nguo zinazkhifadhi joto vizuri, watoto wadogo wasaidie kujisitiri vizuri ikiwa na kupata uangalizi wa mara kwa mara nyakati za usiku kuhakikisha wamejifunika vizuri.

3/7 Image
Read 7 tweets
Jun 19
EPUKA KUCHANGANYA MATUMIZI YA POMBE NA DAWA.
.

Je, ni kwanini haishauriwi kuchanganya matumizi ya pombe na dawa?!

#thread Shuka nayo ⏬ 1/5

swahilitimes.co.tz/2022/06/afarik…
Tunatoa pole kwa familia iliyopoteza uhai wa mpendwa wao kutokana na kunywa pombe wakati akiwa kwenye dozi ya dawa kwa ajili ya matibabu.

#SafetyFirst #alcohol #medication

2/5 Image
1️⃣ Pombe huzuia (inhibit) enzymes (vimeng’enya) wanaopunguza ukali wa dawa inapoingia mwilini kufanya kazi yake. Hii hupelekea kiwango cha dawa kuendelea kuwa kikubwa mwilini na kuleta athari katika viungo muhimu kama ini na figo.

3/5 Image
Read 5 tweets
Jun 2
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI KUWAKINGA WATOTO DHIDI YA MAJERAHA NA AJALI
#Thread
📸 Hisani ya Mtandao Image
1️⃣ AJALI NYUMBANI 🏠

Ajali nyingi nyumbani zinazuilika kwa wazazi na walezi kuwasimamia watoto na kuwa waangalifu na kuyaweka mazingira katika hali ya usalama. 1/8 Image
2️⃣ AJALI ZA BARABARANI 🚗🚴‍♂️
Watoto walindwe maeneo ya barabarani 🛣🚦na wafundishwe kutocheza karibu na barabara au kuwa na mtu mzima 🚸 muda wote wakiwa karibu na au wanapovuka barabara. 2/8 Image
Read 12 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(