How to get URL link on X (Twitter) App
➡️Saratani ya titi ni kati ya saratani zinazowaathiri zaidi wanawake. (Namba 2 chini ya saratani ya shingo ya kizazi)
➡️Ebola ni ugonjwa unaotokana na maambukizi vya virusi.
#KISUKARI NI NINI?
➡️KIHARUSI hutokea pale seli za ubongo 🧠 zinapokufa kutokana kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kwenye ubongo hivyo kukosa hewa ya oksijeni na virutubisho.
Matumizi holela ya dawa aina ya antibiotiki huchangia usugu wa dawa kutokea.
➡️Kwa mwaka 2019, takribani vifo millioni 1.5 Duniani vilichangiwa moja kwa moja na tatizo hili la kisukari.
DALILI HUTOFAUTIANA KULINGANA UKALI WA UGONJWA?
Tabia ya kutembea au kuongea usingizini ikianza kwa mtu mzima inahusishwa na msongo mkubwa wa mawazo muda mwingine aina ya kifafa
Mtu mwenye vidonda vya tumbo hupata shida kama: