My Authors
Read all threads
💨 VITA VYA TANZANIA DHIDI YA WADUKUZI

▫️ Unawajua Tanzanian Hackers wewe? achana na suala la ku-hack Dream League.

▫️ Website ya Waziri Mkuu yadukuliwa. Msala wa mbet.

▫️Huko Jamii Forum ni vimbwanga juu ya vimbwanga.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 👇
▫️ Kwa mujibu wa Threat Map, Tanzania moja ya nchi zinazoongoza kufanyiwa Cyber Attack kwa Afrika.

▫️Na hii inasababishwa na ufungufu wa wataalamu wa IT.
Twende Chap Chap
▫️April. 2012, Wadukuzi kutoka America Kusini "LatinHackTeam" walidukua site za Serikali 35+ duniani.

▫️Nchi kama Japan, India, Ufaransa na kwa Afrika Tanzania ilibahatika kupata nafasi hiyo.

▫️go.tz ikapigwa chini. Zaidi ya website 10,352
duniani kote ziliwekwa kimiani. (Via EhackingNews).

▫️April. 2013, Websites za Waziri Mkuu wa Tanzania na Waziri wa Fedha zikadukuliwa.

▫️pmo.go.tz pamoja na websites nyingine 14 zilikua chini ya "Hacked by Lulzpirate".
▫️ Haikufahamika sababu ya Attack iyo. (Via Hack read).

▫️Mwaka huo huo kuna websites kama mkombozibank.com mifugo.go.tz na ya Chuo cha UDSM hii ilikaa kwa masaa machache hadi walipoi restore.

▫️Oct. 2017, Website ya Chuo cha Kikuu Cha Huria ikapigwa chini.
▫️ Report iliyotolewa 2017 ilionyesha kwamba Tanzania imepoteza Tsh. 224 bilioni kupitia wizi wa kimtandaoni. (Via Africa Cyber Security).
▫️Oct. 2018, Polisi wa Tanzania walimkamata Yahya Mohamed raia wa Somalia huko Tanga.

▫️ Inadhaniwa alikua ana link na either Al-Shabab au ISIS. (Via Strategic Intelligence).
▫️Jun. 2019, TANZANIAN HACKERS wakaanza kufanya matusi yao website ya IPP MEDIA ikapigwa chini.

▫️ Website ilikua inasema "Hellow! Administrator!! Kuwa serious na kazi yako!" 😁😁

▫️Wajumbe wakasema washasepa na emails, password, username n.k zitakua dark web na wataziuza.
▫️ Sehemu ambapo niliamini hawa Ma-hackers ni wabongo ni hapa walipoandika "BRACHED" badala ya "BREACHED".

▫️Hii inadhiirisha hawa wadukuzi walisoma shule za kata.
▫️Katika ujimbaji wangu huko Jamii Forum nikagundua kwamba website iliyokua hacked ni ippmedia.co.tz na sio ippmedia.co.tz.
▫️Jul. 2019, Database ya M-bet ikadukuliwa. Zaidi ya accounts za watumiaji 1,824,953 zikawa leaked. (Via Jamii Forum).

▫️2020
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Njiwa FLow 🇹🇿

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!