Kuna..
Aina 350 Tofauti Tofauti Za Mazombi Katika Uwanda Mkubwa Mno! Na Kuna Namna Pekee Inayofanya Zombi Kuwa Walivyo. Basi Hapa Nna Machache Nimekuandalia Kama Utapenda Kujua (twenzetu)
2) AINA ZA MAZOMBIE
Zombie Wa Kawaida Au Kitaalamu. Ndio Wanaita Genetic Zombies, Ni Mtu Ambaye Ameuawa Na Kufufuliwa Tena Na Pathojeni(pathogen), Mara Nyingi, Lakini Sio Mara Zote Hutokana Na Virusi. Mfano Wapo,
Watembezi.
Wakimbiaji.
Zombie Wa Voodoo. (uchawi)
3) MAANA YAKE KWA UPANA
Zombie, Kwa Maana Kubwa, Ni Mtu Mfu Ambaye Amepoteza Hali Yake Ya Kujitambua Na Kujitambulisha, Na Anajali Tu Uharibifu (Mara Nyingi Ulaji) Kwa Mwanadamu Yeyote Alie Karibu, Bila Kujali Chochote, Au Gharama Ya Nafsi Yake Wao Huongoza Kwa Upotezaji
4) Huu Wa Akili Kwa Idadi Kubwa, Kwani Hali Ya 'zombieism' Huwa Inaambukiza Kila Wakati Pale Ikitokea Amekudhuru(Kama Vile Kukung'ata) , Na Inaenea 'Virually' Yaani Kivirusi, Kwa Gharama Kubwa Kwa Jamii Inayowazunguka. Kwa Uhalisia, Mara Zote Zombi Wa Kweli Ni Mfu Mda Wote.
5) Hapa Kuna Aina Kadhaa Zinazojulikana Za Zombies Utaziona.
Zombi Wengine Wanaweza Kuuawa, Japo Kwa Shida, Wengine Wanaweza Kuhitaji Uharibifu Kichwani. Zombies Wengine Wanaweza Kuletwa Kwa Njia Ya Uchawi,
6) AINA
βͺοΈ ZOMBIE WA KAWAIDA
Hawa Ndio Wale Genetic Zombi, Ni Mtu Ambaye Ameuawa Na Kufufuliwa Tena Na Pathojeni, Mara Nyingi, Lakini Sio Kila Wakati Kwa Sababu Ya Virusi. Wanaweza Kuwa Wakali. Wanaweza Kuwa Wadadisi Kutaka Kudhuru,
7) Na Kwa Kupoteza Kuelewa Kabisa Mazingira Yao. Kwenye Sehemu Ya Miili Yao Hujizuia Kumomonyoka, Licha Ya Kwamba Wao Ni Wafu.
Tabia Yao Inayojulikana Zaidi Ni Kwamba Wanaua Na Kula Wanadamu Wasioambukizwa.
βͺοΈWATEMBEA (walkers)
Kimsingi Wako Sawa Na Zombi Wa Kawaida. Wanaweza
8) Wasiwe Wa Kutisha Na Hatari Kama Wakimbiaji (runners), Lakini Huwa Wanashambulia Kwa Makundi, Na Wana Uimara Wa Kushangaza Ambao Huwafanya Kuwa Tishio Kubwa Wakutanapo Na Wanadamu.
βͺοΈBLUE WALKERS
Katika, Ulimwengu Mbadala Tofauti Na Ulimwengu Mkuu Wa Wafu Wanaotembea. Kuna
9) Walkers (Blue Walkers) Ambao Wana Ngozi Ya Hudhurungi. Walkers Hawa Ni Wanatabia Za Kula Nyama Na Aina Pekee Ya Nyama Watakayokula Ni Ubongo Wenye Kuwa Na Rangi Ya Bluu, Cha Kushangaza. Wanajulikana Pia Kwa Kuwatolea Macho Wahasiriwa. Ingawa Watembezi(walkers) Hawa Hula Tu
10) Nyama Ya Wanadamu Wenye Rangi Ya Bluu, Hawa Inasemekana Ndio Wa Kwanza Kuundwa Katika Maabara, Wanasayansi Wengine Walikuwa Wakijaribu Kujua Nini Kitatokea Ikiwa Watatoa Sumu Ya 'silver poison' Ndani Ya Fuvu La Walker. Walikuwa Na Mpango Wa Kuwatengenezea 'walkers'
11) Kinga Dhidi Ya Sumu Ya silver'. Lakini Ilishindikana Na Kufanya Kuundwa Kwa Blue Walker. Aina Hii Ya Zombie Waitwao 'Walking zombies' Wamesha Onekana Zaidi Kwenye Series Ya THE WALKING DEAD Na Muvi Ya NIGHT OF THE LIVING DEAD
12) WAKIMBIAJI (RUNNERS)
Zombies Mkimbiaji (Wakati Mwingine Hujulikana Kama Walioambukizwa, Sprinters Au Rage Zeds) Ni Zombies Ambao Wana Uwezo Wa Kukimbia Kwa Haraka. Uwezo Huu Unawatenganisha (Katika Kupambana Nao, Na Katika Madaraja)
13) Huambukiza Wapitao Kwa Njia Nyingi, Pia Kuwashambulia Kwa Njia Ya 'Frenzied'. Waathirika Hapaswi Kujaribu Kushindana Nao, Kwani Hawachoki Kama Wanadamu Katika Kukimbia Au Kupambana. Wana Nadharia Wengi Wanapendekeza Zombi Mkimbiaji Ni Zombi Mpya Walizotengenezwa Ambao
14) Hawajaanza Mchakato Wa Kuoza Bado, Na Kwa Hivyo Bado Wana Uwezo Wa Kibinadamu. Njia Pekee Ya Kuwazuia Kukimbia Ni Kulemaza Miguu Yao Kupitia Kukatakata Misuli, Mifupa Mikubwa, Au Kukata Miguu Yao Kabisa. Nyingine Zaidi Ya Hapo, Njia Nyingine Ni Kuziondoa Kabisa Sehemu Hizi.
15) Wakimbiaji (runners) Wanaishi Wakiwa Wameambukizwa, Lakini Bado Ni Aina Ya Zombie (Ingawa Tofauti Inavyodhaniwa Na Wengi Kuwa Haiwezekani Kwa Spidi Walionayo). Kwa Hivyo, Wana Uwezo Wa Kukimbia Kwa Muda Mrefu. Wanaweza Kuuawa Kwa Kupigwa Kifuani, Kutokwa Na Damu, Kiu, Njaa,
16) Au Hata Maambukizo Yenyewe. Lakini Usitegemee Haya, Bado Wanaweza Kuhitaji Kuuliwa Kwa Kupigwa Kichwani.
17) Zombie Wanaotembea Haraka Zinaweza Kupatikana Katika Muvi Kama WORLD WAR Z, DAWN OF THE DEAD (2004), 28 DAYS LATER, REC 2, Safu Ya Video Games LEFT 4 DEAD, DAY Z, ZOMBIE LAND, Z NATION, Na Zingine Nyingi.
βͺοΈZOMBIE WA VOODOO
Zombies Wa Voodoo Ni Wafu Waliofufuliwa Na Wachawi
18) Ambao Wanalazimishwa Kufanya Zabuni Na Mfufuaji. Hawawezi Kuwa Tishio Kwani Kwa Kawaida Hawana Haja Kula Nyama Za Mwanadamu. Wanachukuliwa Kama Kizazi Cha Zombie Tu (Spishi). Katika Hali Isiozoeleka, Hali Yao Inaweza Kutibika, Tofauti Na Idadi Kubwa Ya Zombies Wengine.
19) ROMERO ZOMBIE
Zombi Wa Romero Ni Zombi Waliooneshwa Kwenye Filamu Za George A. Romero. Maono Ya Romero Yalileta Uelewa Wa Kisasa Wa Zombie, Yanayoenda Sambamba Na Zombie Wa Kawaida (Genetic Zombi). Kwa Kuongezea, Kazi Zake Sio Tu Ziliigiza Dhana Ya "Zombi" Katika
20) Uelewa Wa Sasa, Lakini Pia Ilifafanuliwa Kama Tunavyojua Leo. Zombies Hawa Matendo Yao Ni Ya Polepole, Hawana Akili, Hufata Mwanga Na Sauti, Wana Njaa Ya Kula Vitu Vilivyo Hai Kila Saa. Wanakuuliwa Kwa Kuharibiwa Ubongo Wao.
21) GHOULS
Ghouls Ni Kama ZOMBI, Isipokuwa Hueneza Mionzi Wakati Wa Kushambulia. Wao Ni Wahathiriwa Wa Mionzi Ya Nyuklia, Ambapo Huoza Wao Mpaka Akili Zao Hufanya Jambo Moja Tu, Kushambulia Mtu Yeyote Ambaye Hajaathiriwa Na Mionzi Hiyo. Wapo Kwenye Series Ya FALLOUT
22) ZOMBI MMONG'ONYEKO
Hawa Kitaalamu Hiitwa Melting Zombie Au Blackrot zombie. Ni Zombi Wa Hovyo Sana Ambao Wameharibika Sana Kimwonekano Na Wako Kwenye Hatua Ya Kuharibiwa Kabisa Kabisa!, Kama Madhara. Ngozi Huanza Kuachana Na Mifupa, Na Mara Zote Huwa Wako Taratibu
23) Lakini Hali Yao Jinsi Walivyo Huwa Wanaisambaza Kwa Haraka Sana, Pale Wanapomshambulia Mtu Kwa Kumng'ata. Hawa Huwa Hawaaribiki Kwa Kumong'onyoka Kwa
24) Haraka Wakiwa Namna Hii, Inasemwa Wana Ulinzi Ambao Kitaalamu Unaitwa 'micro-organism' Ambao Upo Upande Wa "Cellular Degradation" Na Una Dumu Zaidi. π€π
βͺοΈWATAMBAAJI
Wanajulikana Kama 'Halvers,' Chopped', Na 'Ankle Biters', 'Crawlers, Pia Wanajulikana Kwa Kukera Zaidi...
Kikweli Aina Za Zombi Zipo Nyingi Sana. Nadhani Mmeona Pale Mwanzo Nmetaja Namba Halisi Ya Idadi. Hivyo Nikisema Nizizungumzie Zote Ntawachosha. Kwa Kuwa Uzi Haujaisha Basi Kipande Kijacho Tutaangalia Chimbuko La Zombi Wametokea Wapi, Kwanini Wapo! #NindiJrZOMBIE#NindiJrHORROR
β’ β’ β’
Missing some Tweet in this thread? You can try to
force a refresh
Awali..
Alifanya Kazi Kama "Stuntman" Kwa MUAY THAI STUNT Kwa Miaka 14, Akionekana Katika Filamu Nyingi Za PANNA. Akiwa Na SAMMO HUNG Ameshacheza "double" Wakati SUMMO Alipofanya Tangazo La Biashara! Yaani Kifupi Jamaa Kacheza Sana Stunt.
Tumuangalie Kiundani(twenzetu)
2) KUANZIA 2003-2008
Mnamo 2006 Kwa Pamoja, PANNA Na JAA Walikua Na Mapenzi Na Muay Boran, Mtangulizi Wa Muay Thai Na Alifanya Kazi Na Kufundishwa Kwa Miaka Minne Huku Akiwa Na Shauku Ya Kuizalisha Muvi Yake. Hatimaye Wakafanikiwa Kutoa Filamu Fupi Inayoonyesha Kile
3) JAA Angeweza Kufanya Kwa Msaada Wa Mwalimu "GRANDMASTER MARK HARRIS". Mmoja Wa Watu Aliowaonesha Ni Mwongozaji Mtayarishaji PRACHYA PINKAEW . Hii Ilisababisha Kuizalisha Kwa Muvi Kama Ong-bak: Muay Thai Warrior Mnamo 2003, Muvi Zote AKacheza Kama Mhusika Mkuu.
M-Canada Mwenye..
Asili Ya Korea! Ivi Una Fahamu Kuwa Jamaa Anaitwa Edward π, Yeah Ni Jina Lake Hilo Na Tena Lina a.k.a Yake, Jamaa Ana Nyota Kali Sana Tangu Mtoto Kwa Upande Wa Muvi. Kama Huyajui Haya Basi Mi Nauhakika Hujui Mengi Yanayomhusu. Em Kama Vipi (twenzetu)
2) BIOGRAFIA
Jina Lake Halisi Ni CHOI WOO-SHIK Amezaliwa Machi 26, 1990 Ni Muigizaji Wa Kikorea Na Canada. Kwanza Alipata Kutambuliwa Kila Mahali Kwa Jukumu Lake Katika Filamu Ya Set Me Free (2014).
3) MAISHA YA ZAMANI
Choi Akiwa Kazaliwa Seoul, Korea Kusini, Mdogo Wa Watoto Wawili. Alihamia Canada Na Familia Yake Wakati Alikuwa Katika Darasa La Tano, Akiishi Katika British Columbia, Ambapo Alitumia Miaka Kumi Ya Maisha Yake Kukaa.
Kuna..
Mengi Sana Nyuma Ya Pazia Kutoka Hii Series Ya LA CASA DE PAPEL. Ndio! Tunajua Inatamba Tena Sana Tu, Ila Ushajiuliza Vile Vinyago, Zile Nguo Na Aidia Ya Series Vilitokea Wapi. Au Ilikuwaje Mpaka Leo Ipo Kuna Hii Series
Kama Unataka Kujua (twenzetu)
2) UTANGULIZI
Dah!.. Unajua Nini,
Wakati Nachimba Chimba Huku Mgodini Kwangu. Imebidi Tu Nipunguze Punguze Sana Mana Mzigo Wa Taarifa Ni Mkubwa Na Hauwezi Kutosha Wote Hapa! Kwahiyo Nlichofanya Nmechuja Chuja Na Kubakia Na Madini Ya Msingi Ya Kuwapa Nyie. Watu Wangu
3) UTANGULIZI
Mwanangu @chapo255 Alitamani Kumjua Mwanzilishi Kiini Wa Series Ya LA CASA DE PAPEL, Kwahiyo Nkaona Wacha Nifanye Kama Kawaida Yangu Niende Deep Zaidi. So Huu Uzi Utakuwa Mrefu Zaidi Tangu Kuanza Kwangu Kuwahi Kuandika UZI
Aya..
Em Tuelekezane Jinsi Ya Kudownload Muvi Leo Au Sio, Mana Nakuwa Napata Maombi Mengi Ya Kuelekeza Jinsi Ya Kupakua Muvi
Sasa Leo Iwe Mwanzo Na Mwisho, Ole Wako Usielewe. Na Hata Usipoelewa Nenda Kwenu Kawaambie Mi Fala Sana Yaani Huwa Sielewi Vitu Vidogo Vidogoπ
2) SIMU
Kwanza Naona Tuanze Na Simu, Mana Wengi Wetu Skuizi Kuwa Na Smartphone Imekuwa Sio Ishu Tena. Mana Mpaka Wadada Wetu Wanao Tusaidia Kazi Za Ndani Wanazo
Hivyo Ngoja Nianzie Hapa Kwanza Alafu Tutaenda Sehemu Lengwa Yaani Kwa Kutumia PC, Basi Kuwa Makini Na Nfatilie Fresh
3)SIMU
Kwanza Kabisa Ukitaka Kudownload Muvi Inabidi Uvijue Vitu Viwili Vikuu Na Muhimu
1 - Mitandao Ya Kupakulia
2 - App Za Kupakulia
Sasa Huwa Kuna Njia Nyingi Za Kupakulia Muvi Au Series Ila Hizi Ni Zile Njia Za Kawaida Na Nzuri Zaidi. Hizi Nyingine Ni Maalumu Kwa Wabobezi