Unahitaji Kujifunza COPYWRITING?... Basi Anzia Hapa....
.
Kama Umekuwa ukitafuta njia rahisi ya kujifunza Ujuzi # 1 Mtandaoni kwa sasa yaani Copywriting Skills, basi Shuka na Uzi huu mpaka mwisho....
.
[UZI MFUPI TU, Tenga dkk Zako 5 Tu]...👇🏽
Vitu ni vingi ila hapa nitakupa vile ambavyo utaenda kuvitumia kwenye Matangazo yako moja kwa moja..
.
Copywriting maana yake ni uwezo wa kuuza chochote kwenye maandishi au kutumia maneno kuwasiliana na wateja wako ili wafanye kile unachotaka 👇🏽
Au wanasema “Closing in Print/ Salesmanship in Print”
.
Uwezo wa kugeuza maneno Kuwa Pesa nk
.
Natumia umepata picha nzima juu ya ujuzi huu...
.
Unapotaka Kuuza chochote kwenye maandishi hakikisha unazingatia Vitu Hivi ili uone matokeo mazuri...👇🏽👇🏽
✅. Usitangaze Bidhaa/huduma yako, Tangazo kile kinachofanywa na bidhaa kwa wateja wako
.
Tangaza kile kinachotatuliwa na bidhaa yako kwa wateja yaani Utatuzi wa tatizo, watu hununua Solution ya matatizo yao sio bidhaa/huduma kama Jinsi ilivyo...👇🏽
Hawanunui gari kwasababu ya vyuma, hununua kile kinachofanywa na Gari kwao etc
.
✅. Wateja hawanunui bila kuwapa sababu...
.
Hata kama wanahitaji bidhaa yako usipowapa sababu ya Kununua Muda huo, hawanunui Ndio maana ni muhimu kutumia “Urgency & Scarcity”👇🏽
✅. Hakuna mtu anaejali kuhusu wewe kwenye Tangazo lako...
.
Kwahiyo usitumie Nguvu nyingi kuwaambia jinsi bidhaa yako ilivyo nzuri bali tumia Nguvu nyingi kuwaambia ni Jinsi gani bidhaa yako itawafanya wao Kuwa vizuri
.
Waambie kuna nini kwenye bidhaa👇🏽
Bidhaa yako kwa ajili yao? (WII-FM)
.
✅. Tumia zaidi Stories kwenye Matangazo yako... kwanini?...
.
Kwasababu watu maamuzi ya hununua chochote kwa kutumia hisia kisha uhalalisha maamuzi yao kwa kutumia Logic
.
Story zinagusa hisia za mteja moja kwa moja...👇🏽
✅. Hakikisha Tangazo lako halionekani kama ni Tangazo bali ni post ya kawaida tu ...kwanini?
.
Kwasababu watu huwa hawapendi kuuziwa ila wanapenda kununua, mtu yeyote akiona Tangazo lazima ataliepuka kwa Hali na Mali...
.
(Your Ad must Never look like an Ad)
✅. Tumia Zaidi shuhuda za wateja wako walioridhika na Kile unachokiuza
.
Shuhuda humaliza vipingamizi vyote vya wateja kichwani
.
Kama bado hauna toa bidhaa yako BURE kwa watu unaowaamini kabla ya kuipeleka Sokoni ili wakupe feedbacks
.
Mfano...👇🏽
Mimi kabla ya kukitoa kitabu changu nilimtumia kwanza my brother @GillsaInt akakisoma then akanipa feedbacks kisha nikakiingiza sokoni
.
✅. Tumia 90% ya Muda wako Kuandika “HEADLINE” ya Tangazo lako... kwanini?...
.
Kwasababu 60% ya wateja husoma headline👇🏽
Tu kutoka kwenye Tangazo lako
.
Wateja husoma headline mara 5 zaidi ya wanavyosoma Tangazo zima
.
Pesa mpya online kwasasa inaitwa “ATTENTION” na hiyo Ndio kazi pekee ya headline kupata attention ya walengwa wako, bila kupata attention yao huwezi kuuza chchte
✅. 80% ya Copy nzima ni research ya bidhaa na 20% Tu Ndio copy yenyewe
.
Copy haiandikwi, inapangwa (Copy is not written it’s Assembled)
.
I hope umejifunza kitu kipya...
.
Kama una swali lolote DM me..
.
P. S. Usifanye KOSA hili👇🏽...
.
Kuacha KURETWEET!

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with AmosiNyanda

AmosiNyanda Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @NyandaAmosi

10 Feb
SIRI Ndogo Iliyomsaidia Muddy Wa Dodoma Kuuza Iphone 📱 10 Kila Siku Mtandaoni....
.
Hey, “Amosi Nyanda” Hapa Nimeandika Kitabu Kinachoelekeza Jinsi ya Kuuza Bidhaa zako kwa njia ya maandishi Mtandaoni...
.
...Na Hii Ndio Siri Iliyomsaidia Muddy...
.
[UZI]👇🏽
Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa kwanza mwishoni hivi kwenye tar 20...
.
Muddy alinicheki DM baada ya kusoma baadhi ya Uzi wangu
.
Na hiki ndicho kilichokuwa kinamyima usingizi Katika biashara yake...
.
“Kila alipokuwa anapost Matangazo ya Simu zake Online 👇🏽
Hasa hasa Instagram na Twitter alikuwa haambulii chochote zaidi ya Comments, Likes, na Retweet lakini hakuna Oda kabisa
.
Yaani kwa kifupi likes kibao ila hela hakuna...
.
Hali ile ilikuwa inampasua kichwa mno kwasababu ilifika Muda Mpaka akawa anakosa 👇🏽
Read 15 tweets
9 Feb
Jinsi Kijana Alieishia La Saba Anavyouza Sabuni Zake Mtaani Kama Njugu...
.
Kama Umekuwa ukitafuta Siri Mpya ya kuuza Moja kwa moja (Direct selling) bidhaa zako mtaani, basi Uzi huu ni zaidi ya zawadi kwako..
.
[UZI WA Dkk 4 TU]..👇🏽
Siku ya Jumamosi mida ya jioni hivi tulikuwa tumekaa kwenye kijiwe fulani Hivi na washkaji tunapiga story huku tunakunywa Kahawa Maeneo ya moshono Arusha..
.
Wakati tunaendelea kupiga story akaja jamaa mmoja na kibegi mgongoni huku ameshika sabuni 2 mkononi👇🏽
Kama samples...
.
Baada ya kutupa Hi 👋 akaanza kuprisent sabuni zake, yaani sabuni inafanya kazi gani na ina faida gani kwetu...
.
Wakati anaongea kuhusu sabuni zake nikiwaangalia washkaji pembeni yangu wote wanachezea siku zao..💪🏻
Read 13 tweets
10 Aug 20
🚫TAHADHARI : Kama Una Mpango Wa Kuuza Courses Au Ebooks Mtandaoni Usifanye Kosa Hili...
.
[UZI 👇🏽]
.
Kama Una Mpango wa Kuuza Knowledge, skills au Taarifa zozote Mtandaoni usipuuze uzi huu kwasababu nakwambia ukweli uliopo sokoni
.
Binafsi naamini kama 👇🏽
Kitu haukiishi basi haukijui (If you don’t live it, you don’t know it)
.
Kabla sijakwambia ni Kitu gani nataka nikupe story fupi kuhusu my own experience kwenye Hii Topic
.
Mwaka 2018 niliacha kazi na kuamua kufanya online business kama full time job 👇🏽
Kwasababu tayari nilishajenga ujuzi wa Copywriting na Closing skills
.
Kwahiyo nilikuwa na uwezo wa kuuza bidhaa/huduma yoyote online aidha ni ya kwangu binafsi au ya watu wengine (Affiliate & dropshipping) na nikatengeneza pesa on my own time
.
👇🏽
Read 25 tweets
4 Aug 20
Je Una Kampuni ya Utalii Chukua Hii...👇🏽
.
(UZI MFUPI 👇🏽)
.
Kabla ya Janga la Corona nakumbuka ilikuwa ni Mwezi wa 2 hivi kuna Jamaa anaitwa SAI, alinipigia simu akasema anahitaji kupata wageni kutoka nje lakini bado Hana ujuzi wa kutumia Mtandao
.
👇🏽👇🏽
Nikaweka appointment nae kisha nikakutana nae baada ya kumuuliza maswali kadhaa hasa hasa kuhusu soko lake akasema soko lake kubwa lipo “Canada, China, South Africa (SA), Australia na USA
.
Vile vile nikamuuliza mara nyingi huwa anatumia mbinu gani kupata👇🏽
Clients online? , akasema huwa anarun tu matangazo ya kawaida kwenye page zake kisha anaboost (na wengi wanafanya hivi)
.
Nikamuuliza huwa anaandika matangazo gani?, akasema Mara nyingi yenye picha za wanyama
.
Uzi ndo unaanza Hapa kwasababu wengi..👇🏽
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!