Mchakato wa #KatibaMpya ulianza rasmi mwaka 2011 kwa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Na. 83/2011 na baadaye ikatungwa Sheria nyingine ya Kura ya Maoni Na. 11/2013.

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ilitamka kuanzishwa kwa ‘TUME’ ya Mabadiliko ya Katiba.
TUME hiyo ilianzishwa chini ya Waziri mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba, ikaratibu mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi na kuandaa rasimu ya kwanza ya katiba ambayo kupitia uhariri wa Mabaraza ya Katiba ikapatikana Rasimu ya Pili ya Katiba.
Rasimu hii ya pili ambayo ni maarufu kama Rasimu ya Warioba ikawasilishwa kwenye Bunge Maalum la Katiba (BMK) ambalo kwa kiasi kikubwa lilikuwa na wajumbe wengi kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi -Zanzibar.
Kwenye bunge hili la Katiba, ambalo Makamu Mweyekiti wake alikua @SuluhuSamia , ambaye Rais kwa sasa, ndiko joto na mivutano mikali kuhusu masuala kadhaa yaliyomo kwenye katiba ilipoanzia. Baadhi ya wajumbe wa bunge hilo hasa kutoka upinzani waliamua kujitoa na kususia mchakato.
Hata hivyo waliobaki waliendela na ikapatikana Katiba pendekezwa ambayo wengi waliiona kama imekosa muafaka na maridhiano ambayo yanaonekana kama ndio msingi wa kupata Katiba bora ya kitaifa yenye kukubalika na wengi.
Mchakato ukaishia hapo, ilikuwa mwaka 2014, na mpaka leo kumekuwa na mkwamo usiojulikana ni lini utakoma.

Swali: CHADEMA wanaposema #KatibaMpyaNiSasa tunaanzia wapi? Kuundwa TUME au kutumia Rasimu ya Warioba (Rasimu ya Pili) au Katiba Pendekezwa iliyopitishwa na Bunge (BMK)?

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Goodluck 用心服務人類

Goodluck 用心服務人類 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @RealHauleGluck

8 Sep
Discrimination💥

Dear @FordFoundation

The ramifications of human rights violations disproportionately affect those living in developing nations due to compounding factors and difficulties. The marginalization of groups based on gender identity and sexual orientation.
Although there are exceptionally progressive parts of the world that have made advances toward the inclusion of the LGBTQIAPK (lesbian, gay, bisexual, transexual, queer, intersex, asexual, pansexual/polyamorous, kink) community, stigmatization remains a dilemma.
Other stigmatized cases include persons living with HIV/AIDS and victims of rape or other forms of gender-based violence which is notorious reality in Tanzania. We are truly concerned about your money ‘Grants’ being used to incite discrimination, inequality and stigmatization.
Read 5 tweets
6 Sep
Myself, Human rights defender, I act to promote or protect human rights in a peaceful manner. Human rights defenders are identified above all by what they do and it is through a description of their actions.
I regret to say that @kigogo2014 doesn’t fit that description as HRD.
To be a human rights defender, a person must act to address any human right (or rights) on behalf of individuals or groups. Human rights defenders must seek the promotion and protection of civil and political rights,
as well as the promotion, protection and realization of economic, social and cultural rights.
Read 12 tweets
4 Sep
Je, unafahamu sababu zinazopelekea mashirika ya ndege barani Afrika kupata hasara?

1. Mashirika kutojipanga vyakutosha katika kusimamia na kuendesha biashara za aina hii kulingana na ushindani uliopo hivi sasa.
2. Mashirika ya ndege mfano Air Tanzania, namna ambavyo lilifufuliwa lilileta maswali mengi kwa wasomi hasa wanauchumi pamoja na wananchi kwa kuwa mchakato wake haukuwa wa wazi.
3. Mashirika mengi ya ndege hivi sasa Afrika yanaendeshwa kwa hasara kubwa na hivyo kupelekea shughuli nyingi za kimaendeleo kusuasua na kufanya hali za wananchi kuwa ngumu na wakati mwingine kupelekea mzunguko wa fedha kuwa mdogo,nani atapanda ndege?
Read 8 tweets
22 Aug
Siasa za Tanzania katika jicho la tatu: Nini kinaendelea?

1. Mkuu wa Nchi anafariki akiwa madarakani. Huyu ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Taifa hili. Sasa anafariki akiwa madarakani. Hiki kiti ndio cha juu zaidi kwenye kila nchi. Hiki kiti ndio nchi yenyewe.
2. Katibu Mkuu Kiongozi anaaga Dunia akiwa kwenye kiti chake. Kwa wasiofahamu, huu wadhifa ni mkubwa sana kwenye utawala wa nchi, hata Waziri Mkuu ni mdogo kwa kiti hiki. Naweza kusema hata Makamu wa Rais ni mdogo kwa umuhimu wa kiti hiki kwa Rais.
Huyu ni Rais mwenyewe kwa sura nyingine. Huyu ni mshikaji mkubwa wa Rais wa kupika na kupakua (Usidanganywe na protokali unayoona machoni hali ni tofauti sana katika uhalisia)
Read 13 tweets
19 Aug
Today’s democratic systems rely on political parties as one of the main ways of channelling different views and securing a variety of interests in the political decision-making process. Political parties play a crucial role in establishing public authorities, formulating policies
and implementing them. The effectiveness and credibility of parties have a fundamental impact on the nature and success of democracy. They are of the utmost importance for the legitimacy of the whole political system and..,
constitute a necessary precondition for the effectiveness of the democratic process.
Read 8 tweets
10 Aug
The Four (4) important Roles of Social Activism 💥

There are four different roles activists and social movements need to play in order to successfully create social change.
Social movement activists need first to be seen by the public as responsible citizens. They must win the respect and, ultimately, the acceptance of the majority of ordinary citizens in order for their movements to succeed.
Consequently, effective citizen activists need to say “Yes!” to those fundamental principles, values, and symbols of a good society that are also accepted by the general public.
Read 23 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(