🚀Ndio kama hiki kipindi cha miezi 5 iliyopita. Kulikuwa na kelele nyingi na crypto projects nyingi zilianzishwa.
Ila kuna mtu alisubiri mpaka aone wengine wanapost faida zao ili nae aanza jishughulisha.
🚀BOOM alikula za uso 😁
Tapeli mzuri hapo ambacho angefanya sio kuchimba dhahabu, yeye angeuza vifaa vinavyotumika kuchimba dhahabu.
Maana yake usiende kichwa kichwa kwenye hiyo biashara, soma kwanza uelewa vizuri.
🚀Usiwe mtu wa 100,001 kununua Bitcoin kipindi wenzako wanaongelea sana.
Lazima utapata hasara. Ndicho kitu kimewakuta wengi sasa hivi.
Kipindi cha Gold Rush wewe kaa utulie soma mchezo unavyoenda alafu andaa strategy nzuri ya kuwekeza.
Content nimeiba kwa huyu jamaa 😁
🚀"Buy the Rumors, Sell the News"
"Nunua tetesi, uza habari"
Maana yake ni hii, kipindi kitu kinatangazwa sana ujue kishafika maturity unaweza pata hasara, hivyo siku zote nunua kipindi unasikia tetesi.
🚀 ili kuelewa nitumie kauli ambayo @Raphahustler amewahi kuniambia. Aliniambia
"Ukiona Mtanzania anaisifu sana biashara ni nzuri achana nayo faida yake ni ndogo sana. Biashara ambayo Mtanzania anakwambia uachane nayo ndiyo huwa ina faida kubwa".
Tumia akili yako kuamua.
🚀 Sasa kama umesoma mpaka hapa si ufanye ku RT tweet ya kwanza wengi wajue hii siri ya MATAPELI.
Au wanavyofanya @CipherdotM na channel yao ya movies. Kwa wengine telegram ni sehemu ya kupakua miziki ya Spotify, YouTube au Apple Music bila kuwa na account katika platform hizo.
Na wengine wanatumia kupakua movies za Netflix ama Amazon Prime
Bahati mbaya channel & bots nyingi zinazotumia majina na content za kampuni kubwa huwa zinafungiwa na telegram kwa sababu ya ukiukaji wa hakimiliki (copyright infringement).
Telegram wapo kulinda maslahi yao na ya kampuni nyingine, hivyo ni lazima wafanye hivi.
Confidentiality, Integrity & Availability hizi ni kama muongozo wa usalama wa aina yoyote, ili kulinda taarifa zinazotunzwa au kutumwa dhidi ya mtu asiye husika.
Confidentiality, inahakikisha kwamba mtu asiyetakiwa kuwa na access hapati hiyo access. mfano account yako ya twitter inalindwa na password yako.
Password unayoijua wewe na kuiweka siri ndiyo confidentiality yenyewe. Maana yake ili mt apate access lazima umpe hiyo password.
Integrity, account yako ya twitter ikatokea imedukuliwa alafu tweets zikawa tofauti na tulivyokuzoea tutajua sio wewe.
Hapo integrity imepotea. Kwahiyo integrity ni ukweli na kuaminika kwa data. Mtu asiye ruhusiwa ku access system hatakiwi kuweza badili data ili integrity iwepo
📡Mara nyingi camera zilizofichwa huwa na lengo zuri la kudaka wezi au matukio ambayo yanaweza hatarisha usalama.
Na wakati mwingine camera hizi hufungwa kwa lengo la kutumika kudaka matukio ya faragha ili kusambaza kwa lengo la kumtia mtu aibu au kufanya blackmail.
📡Itakuwa vyema leo nikikujuza kuwa unaweza tumia smartphone yako kujua kama kuna camera zimefichwa katika chumba ulichopo.
MUHIMU: Njia hizi hazihusiana na kutambua camera ya Smartphone iliyofichwa.