HabariTech Profile picture
Jan 24 9 tweets 4 min read
🚀Sifa Kuu ya MATAPELI

Kwa sasa teknolojia imefanya kupata pesa iwe rahisi sana, lakini kupoteza ni rahisi zaidi 😁.

Kutapeliwa ni dakika 0.

Kila unapogusa mtandaoni sasa hivi kuna haya maneno NFT, Cryptocurrency, Bitcoin.

Lengo ni PESA.
🚀Bahati mbaya wengi mnaishia kuumia kwa sababu mnakosa maarifa.

Mnaingia kichwa kichwa katika biashara msizoelewa haswa ziko vipi.

Kwa sababu hiyo unajikuta unajitapeli wewe mwenyewe. Ulikosea mwanzo kutotaka kusoma inakuaje wengine wanapata faida.
🚀Siri kubwa ya matapeli hata sio kubwa kivile. Ila tu kwa kuwa wengi hatuumizi akili huwa tunaipita tu.

Tapeli guru kabisa ana siri moja.

Kipindi ambacho dhahabu inapatikana kwa wingi yeye huwa hajishughulishi na uchimbaji.

Image Credit: @MaujanjaCrypto
🚀Ndio kama hiki kipindi cha miezi 5 iliyopita. Kulikuwa na kelele nyingi na crypto projects nyingi zilianzishwa.

Ila kuna mtu alisubiri mpaka aone wengine wanapost faida zao ili nae aanza jishughulisha.
🚀BOOM alikula za uso 😁

Tapeli mzuri hapo ambacho angefanya sio kuchimba dhahabu, yeye angeuza vifaa vinavyotumika kuchimba dhahabu.

Maana yake usiende kichwa kichwa kwenye hiyo biashara, soma kwanza uelewa vizuri.
🚀Usiwe mtu wa 100,001 kununua Bitcoin kipindi wenzako wanaongelea sana.

Lazima utapata hasara. Ndicho kitu kimewakuta wengi sasa hivi.

Kipindi cha Gold Rush wewe kaa utulie soma mchezo unavyoenda alafu andaa strategy nzuri ya kuwekeza.

Content nimeiba kwa huyu jamaa 😁
🚀"Buy the Rumors, Sell the News"

"Nunua tetesi, uza habari"

Maana yake ni hii, kipindi kitu kinatangazwa sana ujue kishafika maturity unaweza pata hasara, hivyo siku zote nunua kipindi unasikia tetesi.
🚀 ili kuelewa nitumie kauli ambayo @Raphahustler amewahi kuniambia. Aliniambia

"Ukiona Mtanzania anaisifu sana biashara ni nzuri achana nayo faida yake ni ndogo sana. Biashara ambayo Mtanzania anakwambia uachane nayo ndiyo huwa ina faida kubwa".

Tumia akili yako kuamua.
🚀 Sasa kama umesoma mpaka hapa si ufanye ku RT tweet ya kwanza wengi wajue hii siri ya MATAPELI.

Alafu tuendelee kusoma magazine yenye madini mengi kupitia link hii habaritech.gumroad.com/l/habaritech3

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with HabariTech

HabariTech Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @HabariTech

Jan 24
⚡Namna ya (ku)bypass restrictions za Channels na bots telegram

Kila mara whatsapp isipopatikana watu wengi hutumia telegram kwa muda.

Ukiacha hivyo telegram imekuwa sehemu nzuri ya kuendesha biashara kama anavyofanya @itzjacton na group la Soko Letu

#HabariTech
Au wanavyofanya @CipherdotM na channel yao ya movies. Kwa wengine telegram ni sehemu ya kupakua miziki ya Spotify, YouTube au Apple Music bila kuwa na account katika platform hizo.

Na wengine wanatumia kupakua movies za Netflix ama Amazon Prime
Bahati mbaya channel & bots nyingi zinazotumia majina na content za kampuni kubwa huwa zinafungiwa na telegram kwa sababu ya ukiukaji wa hakimiliki (copyright infringement).

Telegram wapo kulinda maslahi yao na ya kampuni nyingine, hivyo ni lazima wafanye hivi.
Read 7 tweets
Jan 23
C I A

Confidentiality, Integrity & Availability hizi ni kama muongozo wa usalama wa aina yoyote, ili kulinda taarifa zinazotunzwa au kutumwa dhidi ya mtu asiye husika.
Confidentiality, inahakikisha kwamba mtu asiyetakiwa kuwa na access hapati hiyo access. mfano account yako ya twitter inalindwa na password yako.

Password unayoijua wewe na kuiweka siri ndiyo confidentiality yenyewe. Maana yake ili mt apate access lazima umpe hiyo password.
Integrity, account yako ya twitter ikatokea imedukuliwa alafu tweets zikawa tofauti na tulivyokuzoea tutajua sio wewe.

Hapo integrity imepotea. Kwahiyo integrity ni ukweli na kuaminika kwa data. Mtu asiye ruhusiwa ku access system hatakiwi kuweza badili data ili integrity iwepo
Read 5 tweets
Jan 19
📡Camera Iliyofichwa

Kila siku inayoanza na kuisha kuna watu wanalala Hotelini, lodge, nyumba za wageni na wengine wanakuwa wageni majumbani mwa watu.

Watu wanaofatilia sana movies na conspiracies huwa na wasiwasi wa kuwa recorded na camera zilizofichwa.

#HabariTech
📡Mara nyingi camera zilizofichwa huwa na lengo zuri la kudaka wezi au matukio ambayo yanaweza hatarisha usalama.

Na wakati mwingine camera hizi hufungwa kwa lengo la kutumika kudaka matukio ya faragha ili kusambaza kwa lengo la kumtia mtu aibu au kufanya blackmail.
📡Itakuwa vyema leo nikikujuza kuwa unaweza tumia smartphone yako kujua kama kuna camera zimefichwa katika chumba ulichopo.

MUHIMU: Njia hizi hazihusiana na kutambua camera ya Smartphone iliyofichwa.
Read 16 tweets
Jan 11
🚀Thetan Arena MOBA

Leo tuzungumze kuhusiana na Game moja wapo unayoweza kulipwa kwa kuicheza. Game hii inaitwa Thetan Arena MOBA.

MOBA (Multiplayer Online Battle Arena). Hii ni gam ambayo unacheza kwa kupigana battles na watu wengine Online.

#HabariTech Image
🚀Kumekuwa na P2E games nyingi zilizoundwa hivi karibuni. Nyingi zikiwa na mfumo wa card based na nyingine trading based.

Thetan Arena inatumia mfumo wa battles (yaani kupiganisha characters ndani ya game).

Battles hizi zinapigwa mtandaoni kati ya character wako na wa adui yako Image
🚀Characters wa Thetan Arena tunawaita Heroes. Heroes hawa utawapiganisha katika teams.

Na kwa ushindi unaopata utazawadiwa tokens za game hii ambazo kwa sasa token moja ina thamani ya $4.
Read 26 tweets
Dec 28, 2021
✨Kwa sasa simu nyingine zinatumia sim card ile ya card ya kutoa na kuweka.

Ili mtu uwe na namba zaidi ya moja unalazimika kuwa na sim card zaidi ya moja.

eSim itakuja kuondoa hii tabu.

#HabariTech 🧵
✨eSim (Electronic Sim Card au Embedded Sim Card)

Hii ni sim card ambayo unaweza download ya mtandao wowote na kuitumia ndani ya simu yako. Nasema unaweza download kwa maana ya kwamba.

Ndani ya simu yako unakuwa na chip ambayo inafanya kazi kama hizi sim card za kawaida.
✨ili uweze kupata mtandao itakubidi uijaze na taarifa za mtandao husika unaotaka kutumia.

Kwa sasa ukiwa na namba moja ya Voda au Tigo kwenye sim card yako, huwezi ibadili hiyo namba bila kubadili sim card.
Read 7 tweets
Dec 27, 2021
Wengi sasa hivi mnatamani kuingia kwenye UX Designing. Inapendeza kuona watu kama @AbilMdone @mzabayuni na @iamKaga wanawapa motisha.

Ni rahisi kudrag & drop elements kufanya graphics designing ukidhani ni UX designing.
UX designing inahusiana na lengo la mtumiaji wa app au website yako. Haingii kwenye app au website kushangaza majo avutiwe na muonekano.

Anatumia website/app yako ili kufanyikisha jambo fulani.
Wengi tunakosea kudhani kwamba UI nzuri ni ile inayovutia tu machoni.

Ukweli ni kwamba UI nzuri ni ile mtuamiaji anaweza elewa na kutumia bila shida, ajiskie fahari kuitumia na imtongoze kuitumia.
Read 4 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(