APPLE

Mwaka 2021 unatabiriwa kuwa na mapinduzi ya Tekinolojia, Apple wao wamejipanga kufanya yafuatayo

UZI

◾️Apple silicon iMac

Apple wanakuja na iMac ambayo itakuwa na Apple silicon chip, kama walivyofanya kwenye MacBook, itakuwa na16 high-power cores& 4 efficiency cores ImageImage
◾️AirPods

2021 Apple wanategemea kutoa third-generation AirPods ambayo itakuwa na replaceable silicone air tips, pia wataboresha wireless chip na battery life Image
◾️iPad Pro

Apple wanakuja na 12.9 inch iPad Pro ambayo itakuwa na LED display, hii Min-LED Technology itakuwa na wide color gamut performance, high contrast and HDR, and local dimming, pia iPad Pro itakuwa na 5G connection ikisapotiwa na A14X chip kama ilivyo kwenye M1 Macs Image
◾️June software update

Apple huwa wana World wide developers conference kila mwaka na 2021 tutegemee kuona iOS 15, iPadOS 15, watchOS 15, tvOS 8 na MacOS 12

Kwa sasa MacOS updates zitaenda kwa increment number sawa iOS updates

mwanzo zilikuwa zinaenda kwa dot increment eg 11.1 Image
◾️14.1 na 16.1 MacBook Pro

2021 Apple wataboresha MacBook Pro kutoka 13.1 na 16 inch kwenda 14.1 na 16.1

MacBook zote zitakuwa na Apple silicon chip na zitatumia Mini-LED technique kuongeza display quality

Apple silicon chip itakuwa na16 power cores and four efficiency cores Image
◾️iPhone 13

Mwaka 2021 Tunategemea iPhone 13 kutoka kwenye matoleo manne tofauti kama ilivyo iPhone 12 [ plain Mini, Pro, Pro Max]

Apple Inategemea kuwa na the same general design kama iPhone 12 lakini iPhone mojawapo probably Pro Max itakuwa ni Portless [ haina ports ] Image
Charging itakuwa ni Qi-based charger au MagSafe charger

iPhone 13 itakuwa na 120Hz display kuongeza smoothness, kutakuwa na new camera technology na faster A15 chip, upgraded 5G modem chip kutoka Qualcomm

iPhone 13 itakuwa na Face ID na under display Touch ID [ dual Biometrics] Image
◾️iPhone SE Plus

Mwaka 2020 Apple walitambulisha Apple iPhone SE, mwaka 2021 Apple watatoa iPhone SE Plus itakuwa na Full screen design, No Face ID, built in touch ID and fingerprint sensor, power button itakuwa pembeni [ side of the device], dual camera and 5G support Image
◾️Apple watch series 7 and SE 2

Tunategemea kuwa na Apple watch series 7 mwaka huu, japo hatujajua mengi kuhusu hii lakini itakuwa na new health functionality na solid state button, pia wanafanyia kazi suala la measuring blood glucose levels Image
◾️New Apple TV

Yes mwaka 2021 tunaweza kuona Apple TV tena ikiwa update ya mwisho ilikuwa ni mwaka 2017

Next generation Apple TV itakuwa na A12X Bionic chip au inaweza kuwa na A14 chip kama zilivyo iPhone 12, hapo unacheza games vizuri sana

Pia next generation Apple TV Image
zitakuwa na storage ya 64 na 128GB, kutakuwa na new remote control design ambayo itakuwa na "Find my" feature kwa ajili ya ku-locate remote kama haionekani ndani ya nyumba

Kutakuwa na U1 chip inaruhusu Ultra wideband support kuunganisha vifaa vya nyumbani kama gari, homeHub Image
◾️Smart Glasses

Apple wamesema wako kwenye project ya Smart Glasses ambayo itatoka kati ya 2021 - 2023

Smart glass ina high resolution display, built-in camera, 3D scanning na Advanced human detection na mengine mengi kama Apple Store for gaming, streaming and V/conference Image
◾️AirTags

AirTags ni vifaa kwa ajili ya Tracking viko equipped na Bluetooth, hivi vinawekwa kwenye vifaa vyako Kama wallet, Funguo, Cameras ili iwe rahisi ku-track endapo umepoteza, unatrack kupitia "Find my" app either kwenye iPhone, iPad au Mac

Keep an eye on your devices Image

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs 🇹🇿

#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

19 Dec 20
UZI

SOCIAL ENGINEERING
[ utumiaji wa madhaifu ya Mwanadamu kufanya wizi]

◾️Social engineering huchukua faida ya kitu dhaifu kabisa katika ulinzi wa taarifa za kila aina ya taasisi ambacho ni MTU

Social engineering ni "PEOPLE HACKING" na inahusisha 👇

#ElimikaWikiendi Image
Madhaifu ambayo binadamu tunayajenga sisi kwa sisi na kuweza kuyatumia hayo madhaifu kupata taarifa ambazo hutumika kwa faida binafsi

◾️Social engineering ni moja ya wizi mgumu kufanyika, kwa Dunia ya sasa imekuwa ni vigumu sana mtu kumwamini mtu mgeni kwake

#ElimikaWikiendi Image
Kutokana na hali halisi ilivyo hata hivyo hii imekuwa hacking ngumu sana kuizuia kutokana na uaminifu tunaoujenga baina yetu

◾️Social engineering, typically yule malicious attacker/mwizi hujiweka kama mtu mwema sana ili kupata taarifa anazotaka

#ElimikaWikiendi Image
Read 25 tweets
27 Oct 20
TWITTER FOR VPN

◾️kumekuwa na sintofahamu baina yetu na kulazimika kutumia VPN ili kuweza kupata access ya twitter

◾️Hii inasababishwa na kitu kinaitwa OUTAGE kwa jina jingine ni DOWNTIME

◾️Twende na uzi uelewe inatokeaje na kwa nini unatumia VPN/TOR/PROXIES

Uzi mfupi
◾️Outage kwa jina jingine ni Downtime ambapo ni ukosefu wa huduma flani au network, Hii inakuwa imegawanyika kwa namna mbili

👉 Unplanned outage
👉 Planned outage

◾️Unplanned outage ni ukosefu wa huduma flani au network nzima kutokana na mambo kadhaa kama vile
✴️Kuingiliwa/kuzimwa kwa network/mawasiliano na attackers (wadukuzi) hii inaitwa DOS/DDOS [ Denial of services ] attack

✴️ Kufeli kwa Hardware au Software

✴️ Kuharibika kwa vifaa flani vinavyotoa huduma ya internet

◾️Planned outage ni ukosefu wa huduma au network
Read 7 tweets
24 Oct 20
iPhone 12 Pro Max VS Samsung Note 20 Ultra

◾️Hizi ni simu zinazotamba kwa sasa Duniani ikiwa ni matoleo mapya kwa Samsung na Apple

◾️Nakuletea ulinganifi wa hizi simu, hii ni kulingana na majarida mengi kama AndroidAuthority, CNet, GSMArena, Gadget360 n.k

Twende na uzi👇 Image
◾️Samsung Galaxy Note 20 Ultra ilitoka Aug 5 na iPhone 12 Pro Max ilitoka Oct 13 lakini hii bado ni Pre-order

◾️Kila kampuni inasifia simu yake kuwa ni bora zaidi Duniani kwa sasa kutokana na teknologia ya hali ya juu iliyotumika kwenye hizo simu

◾️Tuzichambue taratibu ImageImage
◾️DESIGN

👉 Simu zote zinamwonekano mzuri lakini kuna utofauti

◾️Samsung Galaxy Note 20 ultra ni simu yenye kuonekana vizuri sana, wamechukua designing ya matoleo yote ya Note series wakaleta hii Note 20 ultra, dimensions 168.4mm/urefu 77.2/upana 8.1/angle na uzito ni 208g Image
Read 18 tweets
19 Sep 20
ENCRYPTION

Najua unasikia sana neno "Encryption" lakini kuna mengi ya kujifunza ili uelewe zaidi kuhusu encryption

◾️Encryption ni nini na aina zake ni zipi ?

◾️Encryption salama na zisizo salama

◾️Matumizi ya Encryption

◾️Faida za kufanya Encryption

Cc: @Kimkayndo
◾️ Encryption ni kitendo cha kubadili maneno au jumbe za kawaida kutoka kwenye mfumo unaosomeka kwenda kwenye mfumo ambao hausomeki, ambapo huzalisha kitu kinaitwa "cipher text"

Mfano kipindi cha utoto, watoto huongea kwa kuchanganya maneno ili watu wazima wasielewe wanaongea
nini, huu ni mfano wa encryption lakini endapo hiyo njia itatambulika kwa wengine basi hakuna tena usiri, wanaita "security through obscurity" yaani security huvunjika mara baada ya attacker kujua njia yako ya kujilinda

Katika encryption ili kuiondoa security through obscurity
Read 25 tweets
15 Sep 20
ANDROID 11

Android 11 imetoka, ni jambo zuri kwa watumiaji wa Android, simu za mwanzo Kabisa zilizoanza kupokea Android 11 updates ni Google pixels, OnePlus, Oppo, Xiaomi na Nokia. Simu zingine zitapata Android updates week chache zijazo

Tuangalie features zilizomo [ uzi ]👇
◾️ MEDIA CONTROL

Media players zitakuwa zinaonyesha media controls zote ( prev, stop, next etc) moja kwa moja kutoka kwenye "toggle bar" ( Sehemu ya juu ya simu kwenye notification pannel ambapo itaonyesha wimbo, media husika na control zake)
◾️MEDIA OUTPUT ( Quickly select media output)

Sehemu ya notification pannel ambayo itakusaidia ku-sitch/badili ambapo unaweza kuchagua utumie speaker ya simu au Bluetooth device au device yoyote ambayo iko connected na simu yako kwa haraka zaidi.
Read 14 tweets
23 Aug 20
ELON MUSK

Alizaliwa South Africa akiwa na miaka 17 alihamia Canada na baadae America, ni mfanyabiashara na mwanzilishi wa makampumi makubwa kama SpaceX, PayPal, Tesla Motors

Leo nimekuletea kila kitu kuhusu Elon Musk

✴️ Historia yake na familia yake

✴️ Biashara zake

Uzi Image
ELON MUSK NI NANI

Ni mzaliwa wa South Africa lakini sasa ana uraia wa Marekani na Canada, ni mfanyabiashara na mwanzilishi wa makampumi ya PayPal, SpaceX na Tesla Motors, alipata pesa akiwa na umri mdogo (20's) baada ya kuuza kampuni yake ya kwanza (Zip2) kwa Compaq computers Image
MAISHA YAKE YA UTOTONI

Elon Musk alizaliwa June 28, 1971 huko Pretoria-South Africa, Musk alizaliwa na tatizo la kusikia ila madaktari waliweza kumtibu akiwa mdogo.

Akiwa na miaka 10 wazazi wake walitengana na aliendelea kuishi na mama yake na ndugu zake wawili Image
Read 25 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!