JAPHET MATARRA Profile picture
Jul 17, 2021 24 tweets 15 min read Read on X
On This Day

TWA FLIGHT 800 😭
#RIP !!
#The aviation disaster, a Europe-bound Boeing 747, Exploded and Crashed off Long Island,NY

#Thread|StoryTime
#AllpeopleDied
📜Gaddafi, SADDAM HUSEIN wahusishwa | kwa upande wa USA ulikuwa usiku usiosahaulika.

RT @omari_manyama let's go👇 ImageImageImage
#Ikiwa ni dakika 12 tu baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa John F. Kennedy (JFKIA) uliopo mjini New York, ndege [TWA FLIGHT 800] iliyokuwa ikielekea Italia kupitia Paris ililipuka ghafla juu ya Bahari ya Atlantiki na kuua watu wote 230 waliokuwemo ndani ya ndege Image
Tukio hili lilitokea Trh km ya Leo majira ya saa 02:31 usiku Jumatano mnamo Julai 17, 1966, ambapo ndege hiyo kubwa ya masafa marefu aina ya BOEING 747 alimaarufu TWA FLIGHT 800 ya kampuni ya Trans World Airlines [TWA] ililiripuka karibu na pwani ya Long Island na kuua watu wote. Image
Ndege hii [TWA FLIGHT 800] ilitengenezwa na kampuni ya @Boeing mnamo Julai 1971 nchini Marekani na kupewa usajili wa nambari N93119 Boeing 747-131. Baada ya kutengenezwa ilipewa kibali cha kuruka anga za mashariki, Lkn waliokuwa wametoa oda ya kuinunua waliahirisha ikaizwa TWA Image
Unaweza kuifiatilia story Hii

ktk MOVIE iitwayo #TWAFlight800 imechezwa mwaka 2013 baada ya kuandikwa na kuongozwa Kristina Borjesso ikielezea tukio zima kutokana na uchunguzi uliofanywa na CIA na FBI
Stori ya #Thread hii unaweza kuifuailia ktk

🎬MOVIE moja inaitwa #TWAFlight800 iliyotengenezwa na Kristina Borjesso mnamo mwaka 2013.

Tuendelee.. Image
Thead hii unaweza kuifuailia ktk

🎬MOVIE inayoitwa #TWAFlight800 iliyotengenezwa na Kristina Borjesso mnamo mwaka 2013.

Tuendelee 👇👇
#KwaUfupi: Kabla ya ndege FLIGHT 800 kulipuka ilikuwa imekamilisha safari takribani 16,869 na kukaa masaa 93,303 ktk anga ikifanya kazi na ilikuwa inatumia na Engine nne aina ya Pratt & Whitney JT9D-7AH turbofan.

Tuendelee na 👇👇 Image
Kabla ya ajali ndege nyingine [FLIGHT 881] ya kampuni hiyo hiyo ilikiwa imetua ktk Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ellinikon huko Athens Ugiriki muda mchache ndipo Flight 800 ikaanza kujiandaa na safari ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa JFKIA majira ya jioni saa 10:38 jioni. Image
FLIGHT 800 ilipangwa kuondoka JFK kuelekea uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Charles DeGaulle saa 1:00 jioni, lkn ilicheleweshwa hadi saa 8:02 za jioni kutokana na dharula. Kuna mzigo ulikuwa ndani ktk ndege hiyo ulionekana hauna mmiliki ikabidi watangaze mpk mhusika alipojitokeza. Image
Abiria wote wakatangaziwa kufunga mikanda tyr kwa kuanza safari ikarudi nyuma kutokea lango Na.27 na mida ya saa 02:04 usiku. Lkn kulikuwa na marekebisho ktk engine #3, hivyo engine #1, #2, na #4 ndio ziliwashwa na saa 8:14 jioni chombo ikaanza kuachia ardhi kupaa kuelekea Paris ImageImageImage
Ndani ya chombo kulikuwa na marubani: Kapteni Ralph G. Kevorkian (58), Steven E. Snyder (57) na mhandisi mzoefu wa ndege Richard G. Campbell (63) [wote walikuwa maveterani wakuirusha TWA Flight 800] pamoja na Oliver Krick (25) mwanafunzi aliyekuwa mafunzo ya uendeshaji ndege. Image
WATU wote waliokuwa kwenye ndege hiyo ni 230 raia kutoka nchi 13 tofauti, ambapo 40 walikuwa raia wa Ufaransa, 169 raia wa Marekani, wengine ni 8 raia wa Italy, 5 wa Portugal pamoja na wengine kutoka nchi za Ivory coast, Germany, Israel, Spain, Sweden na wawili raia wa Norway. ImageImageImageImage
Haijawahi kutokea Marekani ilijikuta ktk wakati mgumu kutafuta chanzo cha mlipuko wa ndege.

Marekan ilitumia zaidi ya 40M Dollars kufanya uchunguzi wa tukio lile. Baadae FBI ilitoa ripoti ya uchunguzi na kusema mlipuko ulisababishwa na hitilafu ya kiufundi kwenye ndege hiyo. ImageImage
Uvumi mkubwa ulienea nchini humo na kuchochea nadharia kwamba lilikuwa tukio la kigaidi na huwezi kuamini aliyekuwa Rais wa Libya kipindi hicho MUAMMAR Gadhafi pamoja na Rais wa Iraq SADDAM HUSSEIN ndio walikuwa washukiwa wa kwanza ktk tukio hili.

RT @Vet_doctor87 @balozi_twita ImageImageImage
Wasiwasi juu yao ulisababishwa na tukio la Dec 21, 1988. Niliwahi kuwaletea #Uzi wa kikundi cha #Black_September, ambapo Pan Am 103 Flight ililipuliwa huko Lockerbie, Scotland na kuua watu wote 270 baadae Abdel Baset Ali Mohmed al Megrah (mlibya) akakutwa na hatia ya mauaji. ImageImageImage
Mashahidi waliokuwa eneo tukio wapatao 755 walihojiwa na kutoa shuhuda zao jinsi mlipuko ulivyotokea angani usiku ule. Wachache walisema waliona kitu km kombora (roketi) kikielekea kwenye ndege kabla ya kulipuka na kuongeza dhana kwamba ndege hiyo ililipuliwa shambulio la kigaidi ImageImageImage
Ilikuwa ni ngumu Mmarekani kuamini kwamba ndege ile ililipuka yenyewe kutokana na matukio mfuatano ya kigaidi.
MFANO ni mlipuko wa ndege Lockerbie Scotland mnamo 1992, karakana ya kituo cha biashara (1993),uwanja wa Olimpiki wa Atlanta Centennial (1996) Image
Msiba huo mkubwa ulitokea siku mbili tu kabla ya kufunguliwa kwa mashindano ya michezo ya Olimpiki ya msimu wa XXVI huko Atlanta, Georgia, na watu wengi walishuku ugaidi.
.
Uchunguzi uliendeshwa kitaalam ambapo karibu vipande vyote vya ndege hiyo iliyokuwa na uzito tani 170 vilipatikana pwani ya baharini na kujengwa upya kama sehemu ya uchunguzi Image
Ijapokuwa chanzo hasa ambacho kilichosababisha mlipuko huo hakikugunduliwa kamwe, ripoti ya uchunguzi ilihitimisha mwaka 1998 kuwa sababu ya ajali hiyo haikuwa shambulio la kigaidi, bali hitilafu ya umeme ndio iliwasha tanki la mafuta lililokuwa karibu ktk ndege hiyo. Image
Tukio hilo linabaki kuwa moja ya ajali mbaya zaidi za ndege kuwahi kutokea ktk historia ya Marekani.

Majina ya watu wote waliofariki yamewekwa kwenye kumbukumbu ya TWA Flight 800 International mnara wa Smith Point County Park huko Long Island, New York. ImageImageImage
Na iliwekwa wakfu Julai 14, 2004, na kujumuisha bendera kutoka nchi 13 waathiariwa.

Shirika la Usafiri wa anga (NTSB) Julai 7, 2021 miaka 25 baada ya ajali hiyo ilitangaza kuondoa mabaki ya ndege hiyo na mwaka 2022 itajenga kituo cha Skena 3-D kwa ajili kumbukumbu ya kihistoria. Image
**Typing Error

Mnamo Julai 17, 1996

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with JAPHET MATARRA

JAPHET MATARRA Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Eng_Matarra

Oct 19, 2021
NANI ALIYEMUUA SOKOINE?

#UZI

🔲Mnamo April 12, 1984 ilikuwa ni siku mbaya sana ktk Taifa letu na haitosahaulika kwa Watanzania. Siku hiyo tulimpoteza kijana makini aliyekuwa Waziri Mkuu EDWARD MORINGE SOKOINE, aliyefariki kwa ajali mbaya ya gari eneo la Wami-Dakawa (Morogoro). ImageImageImage
🔲SOKOINE mmoja wa viongozi bora nchini amefariki miaka 37 iliyopita akiwa na miaka 46. Ikiwa ulizaliwa kpnd hicho sasahv ushakuwa na watoto na pengine unaelekea wajukuu.

🔲Ingawa historia tumesoma ndio, ILA #chanzo cha kifo chake bado kuna utata kuna maswali YasiYo na majibu. Image
🎤Nimeamua tufukue makaburi najua hukuambiwa haya💣⤵️

🔲Hv NANI HASA ALIYEMUUA SOKOINE?

🔲ILIKUWAJE AKAGONGWA NA GARI La "Private" #KATIKATI Ya MSAFARA na kupelekea kifo chake (Tujuavyo msafara wa VIP unakuwaga na ulinzi wa usalama, hakuna gari linaruhusiwa kutembea hadi upite) Image
Read 111 tweets
Sep 26, 2021
PUTIN ANAVYOPINDUA VIONGOZI WA AFRIKA KUJIIMARISHA

#UZI:

💨Rais Alpha Conde (Guinea) alipinduliwa kwa msaada wa USA & Ufaransa, lkn kwa ASSIMI GOÏTA (Mali) alisaidiwa na Urusi.Pia mauaji ya IDRIS DÉBY (Chad) yalifanywa na URUSI
👩‍💻𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐌𝐚𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐓𝐮𝐬𝐢𝐲𝐨𝐲𝐚𝐣𝐮𝐚👇
Mnamo Aprili 20, 2021 majira ya jioni zilianza sherehe huko La Brasserie Kiss, umbali wa 100M kutoka ktkt ya mji wa Bangui (Afrika ya Kati). Kila aliyepita huo mtaa aliona magari kadhaa yamepaki mbele ya nyumba moja ya Ghorofa 3, jumba ambalo ni kivutio kikubwa sana ktk jiji hilo
Jengo hili lipo nje kidogo ya mtaa maarufu wa DU COLONEL CONUS na ikifika usiku hupendeza sana kutokana na mng'ao wa taa ulioizunguka. Kulingana na saa kule ilikuwa mida ya saa 2 usiku hivi na kwa wenyeji wa mji huo, ni muda ambao amri ya kutotembea usiku huanza kutumika.
Read 17 tweets
Sep 18, 2021
𝐂𝐈𝐀 ILIVYOTUMIA MWANAMUZIKI ARMSTRONG KUMUUA PATRICE LUMUMBA (Congo)

#Thread

Mnamo Sept 19, 1960, Mkuu wa CIA huko Leopoldville (sasa Kinshasa) alipokea SMS kupitia chombo cha siri kutoka wakuu wake huko Washington. Mtu aliyejiita 'Joe from Paris' ndiye aliyepiga simu na ..
kumwambia angefika Congo kwa ajili ya Operation maalum.

Hakuna maelezo zaidi yaliyotolewa. Baadae mkuu huyo alionywa kutozungumzia ujumbe huo na mtu yeyote. Wiki 01 baadae 'Joe' aliwasili nchini humo.

Leo nikiwa nasoma kitabu cha 𝐖𝐡𝐢𝐭𝐞 𝐌𝐚𝐥𝐢𝐜𝐞 (Author: SUZAN WILLIAMS)
kilichotoka Agosti 20, 2021, nimejikuta nikiumia sana nafsi baada ya kufahamu jinsi Marekani ilivyomuua Waziri Mkuu wa kwanza wa DR-Congo, mzalendo wa kweli, kijana mdogo mrefu, mwembamba miaka 36, kwasababu tu USA iliogopa Umoja wa Kisovieti (USSR) ikaamua kumuua.
Read 120 tweets
Sep 13, 2021
FULL OPERATION MAPINDUZI YA RAIS (GUINEA)

#Thread

Baada ya TALIBAN nchin Afghanistan, habari sasa ni MAMADY DOUMBOUYA kiongozi wa kijeshi huko Guinea, kumpindua rais na kuchukua madaraka #Unadhani kikosi kidogo cha SFG kiliwezaje kudhibiti kambi za kijeshi na kumkamata rais?👇
Yes, mwanajeshi wa zamani wa Ufaransa (French Legionnaire) aliyerudi nyumbani miaka 03 iliyopita na kuaminiwa na Rais ALPHA CONDÉ, ndiye aliyemsaliti na kumuondoa madarakani baada ya kutaka kuongoza nchi kwa muhula wa 03

MAMADY DOUMBOUYA ambaye ana cheo cha Kanali alionekana..
kwenye kituo cha Radio-Télévision Guinéenne(RTG), mnamo 5 Septemba majira ya saa 2 usiku, akiwa amevalia kofia nyekundu (Red Beret) ameweka bendera ya taifa hilo begani mwake, na kuzungukwa na wanajeshi wanane, akatangaza kuwa jeshi limechukua madaraka ya nchi.
Read 147 tweets
Sep 9, 2021
MAPINDUZI YA GUINEA TZ🇹🇿 YA SAMIA INACHAKUJIFUNZA

#UZI

Ilianza kama utani Mzee Condé hakuamini kijana wake mwenyewe aliyemlea, mwenye masters ya vita na cheo akampatia alipomwambia "simama juu hlf ukae chini" Unadhani ilikuwa rahisi kumpindua? Naam It's #Guinea:1958-Present👇
Sikuweza kuandika Uzi yalipotokea mapinduzi ktk nchi nyingine mbalimbali, lkn kwa yaliyotokea jumapili nchini Guinea nimeona niandike ili Watanzania tuone km kuna lolote la kujifunza. Nitaangazia upande wa kisiasa tu. Nitachambua kila kitu kuanzia uhuru hadi kutokea mapinduzi.
Maswali nayotaka kukujibu km ulijiuliza ni haya:👇

💨Historia ya Guinea ikoje?

💨Kwnn mpk mapinduzi?

💨Col. Doumbouya ana nguvu gani

💨Kwann wananchi wamefurahia?

History repeats itself, 1st as Tragedy, second as Farce.
Just retweet 🔄 huenda siku
Uzi huu ukakukumbusha kitu
Read 211 tweets
Aug 18, 2021
WHO is '𝐓𝐀𝐋𝐈𝐁𝐀𝐍'? WANATAKA NINI HASA AFGHANISTAN?

#𝕿𝖍𝖗𝖊𝖆𝖉:
Ifahamike, walikuwa yatima ktk kambi za wakimbizi Pakistan.
Je, wana uhusiano na AL-QAEDA? #Tragedy:UINGEREZA & URUSI kuchezea kipigo cha Mbwakoko.
✴️Chimbuko
📡Walio nyuma yao?
📋Tofauti yao na MUJAHIDINA..
Vita vya Marekani nchini Afghanistan vimedumu kwa takribani miaka 20. Nimeona watu wengi wakitoa maoni juu ya Jeshi la TALIBANI kuchukua nchi Lkn wengi hawana historia juu yake. Wengine wanasema Rais wa Marekani @JoeBiden mefanya 'makosa' kuondoa majeshi yake.
BIG NO __Hapana.
Wengi tusichojua ni kwamba, huu ulikuwa ni uhalifu wa kivita na DICK CHENEY, aliyekuwa Vice President wa G. W BUSH na DONALD RUMSFELD, Kiongozi Mkuu wa Ulinzi kipindi cha Vita ya IRAQ (alishafariki), ndio walioiingiza Marekani kwenye shida hii unaiona Leo, kisa wanamtafuta OSAMA
Read 114 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(