VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA MacBook

Je! Unampango wa kununua MacBook mpya? Kabla ya kufanya ununuzi unahitaji kuielewa MacBook.

Aina nyingi za MacBook zinapatikana sokoni. Tutakusaidia kununua MacBook bora kulingana na mahitaji yako

Uzi mfupi 👇
Kabla ya kufanya ununuzi wowote angalia toleo la MacBook ambalo utaenda kununua. Kila Mwaka Apple hutoa toleo jipya la MacBook, unaweza kutembelea Apple’s official website, news, na social media kujua mda ambao Apple watatoa toleo Jipya
AINA ZA MacBook:

Kuna aina mbili za MacBook, MacBook Pro na MacBook Air: MacBook Air ni Nyembamba, nyepesi na ni rahisi kusafiri nayo wakati MacBook Pro ni nene kidogo.

Zote ni nzuri lakini zina utofauti sana kwenye Miundo ya ndani ( Internal Architecture & Specs)
MacBook Air ni basic version yaani ni toleo la Msingi lakini MacBook Pro ni toleo la hali ya juu ( Advanced version) na inapatikana kwa saizi mbili tofauti, Ikiwa ni mtumiaji wa kawaida basi MacBook Air itakufaa, Ikiwa wewe ni mtaalamu/Pro user basi Pro itakufaa zaidi.
SCREEN SIZE:

MacBook Air inapatikana kwa 13.3 inch screen size wakati MacBook Pro inapatikana kwa 13.3 na 16 inches screen sizes, MacBook Pro ina Options na Features nyingi kuliko MacBook Air, 16" Pro version inakuja na Intel UHD Graphics 630 wakati zingine hazina graphic card
Display kwenye MacBook Air ni 2560 X 1600 wakati kwenye 13.3" Pro Version ni 2560 X 1600 na kwenye 16" Pro version ni 3072 X 1920 pixels

BATTERY

Battery Life iko vizuri kwenye MacBook zote, MacBook Air ina 18hrs of Battery Life, Pro version 13.3" up to 20hrs, 16" up to 11hrs
INTERNAL SPECIFICATION

Apple wanatoa MacBook Specifications tofauti tofauti ni wewe tu kuchagua ipi ni bora kulingana na matumizi yako

🔸STORAGE
Storage ni kipengele muhimu sana kwenye kila Laptop, MacBook Air inakuja na Storage mpaka 2TB lakini kwa Pro version
13.3" ina hadi 4TB na kwa 16" Pro version ina hadi Storage ya 8TB SSD

Touch ID inapatikana kwenye versions zote lakini Touch Bar inapatikana kwenye Pro version pekee

Upande wa Processor na Chipset, zote 13.3" MacBook zina M1 Chip, 8 core CPU, 8 core GPU,16-core Neural Engine
MacBook Pro zina processors za aina tatu tofauti

🔸 2.6GHz 6-core Intel Core i7 🔸2.3GHz 8-core Intel Core i9 🔸2.4GHz 8-core Intel Core i9 with Turbo Boost 5.0GHz.

Hapo lazima uelewe unachukua Pro version yenye Processor ipi kulingana na mahitaji yako
MacBook Pro 16 inch inakuja na Intel UHD Graphics 630 Graphics card installed lakini zingine hazina Graphics Card

RAM ni kitu muhimu sana kwenye kuchagua Laptop, zote 13.3 inches MacBook zina 8GB - 16GB RAM lakini MacBook Pro ina RAM za aina tatu tofauti, kuna 16GB, 32GB, 64G
MacBook zote zina 720 Pixel FaceTime HD Camera:

MacBook Air inakuja na ports mbili za USB-C ikiwa Pro version ina Ports nne za USB-C

Hizo ni baadhi ya vitu vitakavyosaidia kuchagua MacBook nzuri kukingana na mahitaji yako

Hii naamini imesaidia

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs 🇹🇿

#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

31 Jul
Tesla Motors ni moja ya kampuni zenye ubunifu zaidi katika magari. Elon Musk, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo kwa sasa ni mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni. Hivi karibuni, C.E.O wa Tesla na SpaceX alisema kwamba alijaribu kuuza kampuni yake ya gari kwa Apple 👇
Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Apple, Tim Cook aliripotiwa kukataa kupanga mkutano kujadili ofa hiyo. Hiyo ilibainika baada ya Musk Ku-tweet kwenye Page yake juzi alipoulizwa na Mwandishi wa BBC Kuhusu Habari iliyovuma kuwa alitaka kuwa CEO wa Apple mwaka 2016
Kulingana na ripoti hiyo, Elon anadai kwamba hakuwahi kuzungumza na wala kumwandikia Tim Cook. Lakini bilionea huyo alisema aliwahi kuomba mkutano kati yake na Tim Cook juu ya Apple kuichukua Tesla, na hakupata majibu yoyote wala mkutano haukufanyika.
Read 5 tweets
24 Jul
NAMNA YA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI

Kutoka michezo ya Betting mpaka uuzaji wa nguo katika mitandao. Kuna namna nyingi sana za kutengeneza pesa mtandaoni, nyingine zina ahadi ya kukupa utajiri mkubwa ndani ya muda mfupi., lakini je, ni kweli zinafanya kazi? 👇

#ElimikaWikiendi
Jibu: Sio siku zote.
Je, Utatengeneza pesa ukifata njia hizo?
Jibu: Labda, maana ni kitu kimekaa kimtego sana. Inawezekana kabisa kwamba ile kazi yako inayokupa mshahara kila mwisho wa mwezi ikakupa pesa zaidi ya hizi njia za mitandaoni au kinyume chake

#ElimikaWikiendi
Ukweli ni kwamba kuna njia za kweli zinazofanya kazi na zinazowapa watu pesa kupitia mitandao. Kuna Freelancer(Wafanyakazi huru), wajasiriamali wadogo wadogo, waandishi, Walimu, Wahasibu, Wanasheria, N.K hutumia mitandao kupata kipato

#ElimikaWikiendi
Read 25 tweets
10 Jul
UZI:

RADAR NA MATUMIZI YAKE

RADAR
Radar ni kifupisho cha (Radio Detection and Ranging)
Ni mfumo ambao unatuma signal/ishara kwenye kitu (object) na kuchambuliwa kisha kurudisha majibu ya hicho kifaa kwa mfumo huo wa signal kupitia hewa 👇

#ElimikaWikiendi
Ili kugundua uwepo, mwelekeo, umbali, na kasi ya ndege, meli, na vitu vingine

Signal ni mawimbi (radio waves) ambayo hutumwa kwa kifaa kilicho kwenye coverage ya Radar/eneo Radar inapofika na kukichambua hicho kifaa na kurudisha majibu kwenye chanzo/muongozaji

#ElimikaWikiendi
Kwa hapa Tanzania radar zinatumika kwenye viwanja vya ndege, jeshini na kwenye Meli. Na radar zilizopo zimegawanyika katika makundi mawili: Primary na Secondary radar

Tunapozungumzia hizi primary radar tunamaanisha ni zile Radar ambazo

#ElimikaWikiendi
Read 18 tweets
22 Jun
DARASA LA CRYPTO:
SEASON 1: UZI/THREAD

MEME COINS/SHITCONS

Meme Coins au Shitcoins unaweza kuziita coins za majitaka au futuhi coins

Ni coins ambazo zimekua zikipendwa sana na watu wa Crypto kwa kuwa zinaweza kukupa faida hata mara 1000 ya mtaji wako kwa muda mfupi. 👇
Meme coins zimeundwa bila kuwa na matumizi yoyote muhimu kasoro kiki inayotokana na Jina la hiyo coin.

Katika msimu huu wa Crypto, shitcoins zimekua zikipatikana sana katika Blockchain inayoitwa Binance Smart Chain (BSC) kupitia website inayoitwa Pancakeswap
na kununua inabidi uwe na salio la coin ya BSC inayoitwa BNB na iwe ndani App ya TrustWallet...utatumia adress ya hiyo coin yako ili kuinunua

Kwa kawaida tumezoea Coin inakua na project fulani ili watu wawekeze.
Sasa hizi MemeCoins hazina project yoyote zaidi ya kupigiwa Kiki
Read 19 tweets
1 Jan
APPLE

Mwaka 2021 unatabiriwa kuwa na mapinduzi ya Tekinolojia, Apple wao wamejipanga kufanya yafuatayo

UZI

◾️Apple silicon iMac

Apple wanakuja na iMac ambayo itakuwa na Apple silicon chip, kama walivyofanya kwenye MacBook, itakuwa na16 high-power cores& 4 efficiency cores ImageImage
◾️AirPods

2021 Apple wanategemea kutoa third-generation AirPods ambayo itakuwa na replaceable silicone air tips, pia wataboresha wireless chip na battery life Image
◾️iPad Pro

Apple wanakuja na 12.9 inch iPad Pro ambayo itakuwa na LED display, hii Min-LED Technology itakuwa na wide color gamut performance, high contrast and HDR, and local dimming, pia iPad Pro itakuwa na 5G connection ikisapotiwa na A14X chip kama ilivyo kwenye M1 Macs Image
Read 13 tweets
19 Dec 20
UZI

SOCIAL ENGINEERING
[ utumiaji wa madhaifu ya Mwanadamu kufanya wizi]

◾️Social engineering huchukua faida ya kitu dhaifu kabisa katika ulinzi wa taarifa za kila aina ya taasisi ambacho ni MTU

Social engineering ni "PEOPLE HACKING" na inahusisha 👇

#ElimikaWikiendi Image
Madhaifu ambayo binadamu tunayajenga sisi kwa sisi na kuweza kuyatumia hayo madhaifu kupata taarifa ambazo hutumika kwa faida binafsi

◾️Social engineering ni moja ya wizi mgumu kufanyika, kwa Dunia ya sasa imekuwa ni vigumu sana mtu kumwamini mtu mgeni kwake

#ElimikaWikiendi Image
Kutokana na hali halisi ilivyo hata hivyo hii imekuwa hacking ngumu sana kuizuia kutokana na uaminifu tunaoujenga baina yetu

◾️Social engineering, typically yule malicious attacker/mwizi hujiweka kama mtu mwema sana ili kupata taarifa anazotaka

#ElimikaWikiendi Image
Read 25 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(