DARASA LA CRYPTO:
SEASON 1: UZI/THREAD

MEME COINS/SHITCONS

Meme Coins au Shitcoins unaweza kuziita coins za majitaka au futuhi coins

Ni coins ambazo zimekua zikipendwa sana na watu wa Crypto kwa kuwa zinaweza kukupa faida hata mara 1000 ya mtaji wako kwa muda mfupi. 👇
Meme coins zimeundwa bila kuwa na matumizi yoyote muhimu kasoro kiki inayotokana na Jina la hiyo coin.

Katika msimu huu wa Crypto, shitcoins zimekua zikipatikana sana katika Blockchain inayoitwa Binance Smart Chain (BSC) kupitia website inayoitwa Pancakeswap
na kununua inabidi uwe na salio la coin ya BSC inayoitwa BNB na iwe ndani App ya TrustWallet...utatumia adress ya hiyo coin yako ili kuinunua

Kwa kawaida tumezoea Coin inakua na project fulani ili watu wawekeze.
Sasa hizi MemeCoins hazina project yoyote zaidi ya kupigiwa Kiki
Namna ya kununua Coins itaelezwa zaidi kwenye threads zijazo.

Meme Coins zipo nyingi, baadhi yake ni

Doge Coin
Mona Coin
Shiba Inu
Banano
Cum Rocket
Doge Swap
Safe Moon
Meme Coin kubwa kuliko zote ni Dogecoin na inaongozwa na kiki za tajiri Elon Musk

Dogecoin iliundwa kama utani kwa lengo la kuwatania watu kuwa sikuhizi watu wanaunda coin za kijinga kwahyo yeye ameunda yake inaitwa Dogecoin ikiwa na Picha ya mbwa wa kijapani anaeitwa Shiba Inu
Hii Dogecoin inapanda thamani tu pale inapokuwa inatangazwa na watu kwa lengo la kuwa watakuja kutajirika siku moja

Katika msimu huu wa Soko la Crypto (2021) tumeona hizi futuhi coins zikiingia sokoni kila leo zikiongozwa na Safemoon coin ambayo
walioiunda walikiri kuwa waliiunda bila kujua itatumika kufanyia nini na hawakujua itavuma kama ilivyovuma.

Hizi Meme Coins au Futuhi Coins, zinaweza kukupa faida kubwa ndani ya mda mfupi endapo ukiweza kuzifahamu siri zake na ukazinunua katika msimu wake na muhimu zaidi
ukijua ni muda gani wa kuziuza, Msimu wa Shitcoins huanza baada ya Bitcoin na coins nyingine nzuri kuingiza pesa na waliotajirika kuanza kutambia wenzio hapo ndio wale ambao hatujui kitu kuhusu crypto tunaingia tunakuta hakuna coin za kununua ili tutoboe
...sasa ndio shitcoin zinaundwa kutudanganya kuwa tutatoboa.

Futuhi Coins siku inavyoingia sokoni hua zinanunuliwa haraka na wamiliki na watu wanaitwa 'Whales' au 'Nyangumi' kwa kutumia software maalum zinaitwa 'trading bots' ambazo zinafanya manunuzi haraka kuliko binadamu
zinakuwahi kununua kabla yako

Whales au Manyangumi ni watu wenye pesa nyingi kiasi cha kufanya bei ya Coin ipande haraka kwa muda mfupi..hawa watu hua wanapanga dili na wamiliki wa coins Wakishanunua awali ndio sisi tunakuja kuskia coin fulani ina trend
imeongezeka thamani mara 5 au 10 hapo ndio muda watu wengi tunainunua Tukishainunua inapanda thamani tena kwa kua tupo wengi, ila sasa huu ndio muda wale Manyangumi na wamiliki hua wanauza hizo Coins zao.
Ukichelewa hapo utaambulia hasara kubwa kwa kuwa wakiuza wale wakubwa utapata hasara , njia pekee ya kuzuia hii hasara ni kuipigia promo hiyo coin wenzio wanunue ili bei isishuke...

Kwa kua hiyo coin haina matumizi yoyote ni ngumu mno kuhamasisha watu wainunue..
hivhyo mbinu chafu hutumika mfano kukuambia kuwa utatajirika kwa muda mfupi pale utakaponunua na usiuze(hodl) hadi bei itakapopanda kufika mwezini au "To the moon" .
Mbinu nyingine chafu ni wamiliki walivogundua kuwa wakiweka thamani ya coin iwe na bei ndogo watu ndio watanunua
....zaidi wakiwa na imani kuwa itafika dola $1 au $10 Hivyo Shitcoins hizi hua na bei kama $0.00000001 na kwa kuwa watu hawajui basi hununua wakitegemea kuwa wamewahi ipo siku itafika dola moja watatajirika
Ukweli ni kuwa ukinunua Meme Coin mfano ShibaInu, ili ifike thamani ya $10 inahitaji fedha zote duniani tena uzidishe mara sita , zitumike kuinunue hiyo coin ndo itafika $10
Wengi hawajui haya mambo wanashindwa kujua ni muda gani sahihi wa kuuza hivyo hupata hasara mno
Hizi meme coins hua zina majina yanayovutia wageni wa hili soko na pia zinakuwa na majina yanayofanana au yanayoendana na Coin maarufu.

Pia kuna muda unaweza kuuziwa shitcoin ambayo utashindwa kuiuza pale faida zinapopatikana
kwakuwa wamiliki wanakua wamesepa na pesa zote zilizopo kwenye 'Float' (Liquidity) ya kubadlishia fedha zako
Shitcoins zina faida kubwa mno ila jua muda wa kuingia na wa kutoka, Pia watu wakubwa na ma rolimodo wako wanaweza kulipwa au kukudanganya makusudi ununue hiyo Shitcoin
ili yeye atajirike kwa kua anayo tayari Mara nyingine hata hao watu maarufu hili soko hawalijui watakuhamasisha ununue tu na kwa kua unawaamini unainunua...utaumia ndugu yangu. Usiamini sana watu kwenye cryptocurrency bila kufanya tafiti zako binafsi
TO THE MOOOOOOOOOOOOOOOOOOON!!!!

Imeandaliwa na @NNgailo [ Nicky ] pamoja na @TOTTechs

Cc: @BankOfTanzania
@wizaraMTH
@TanzaniaSA
@ZMuhaji

SOMO 2. TUTAELEZA KUHUSU BITCOIN.

SOMO 3. NAMNA YA KUNUNUA NA KUUZA COINS

STAY TUNED, WEKA NOTIFICATION ON

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs 🇹🇿

#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

1 Jan
APPLE

Mwaka 2021 unatabiriwa kuwa na mapinduzi ya Tekinolojia, Apple wao wamejipanga kufanya yafuatayo

UZI

◾️Apple silicon iMac

Apple wanakuja na iMac ambayo itakuwa na Apple silicon chip, kama walivyofanya kwenye MacBook, itakuwa na16 high-power cores& 4 efficiency cores ImageImage
◾️AirPods

2021 Apple wanategemea kutoa third-generation AirPods ambayo itakuwa na replaceable silicone air tips, pia wataboresha wireless chip na battery life Image
◾️iPad Pro

Apple wanakuja na 12.9 inch iPad Pro ambayo itakuwa na LED display, hii Min-LED Technology itakuwa na wide color gamut performance, high contrast and HDR, and local dimming, pia iPad Pro itakuwa na 5G connection ikisapotiwa na A14X chip kama ilivyo kwenye M1 Macs Image
Read 13 tweets
19 Dec 20
UZI

SOCIAL ENGINEERING
[ utumiaji wa madhaifu ya Mwanadamu kufanya wizi]

◾️Social engineering huchukua faida ya kitu dhaifu kabisa katika ulinzi wa taarifa za kila aina ya taasisi ambacho ni MTU

Social engineering ni "PEOPLE HACKING" na inahusisha 👇

#ElimikaWikiendi Image
Madhaifu ambayo binadamu tunayajenga sisi kwa sisi na kuweza kuyatumia hayo madhaifu kupata taarifa ambazo hutumika kwa faida binafsi

◾️Social engineering ni moja ya wizi mgumu kufanyika, kwa Dunia ya sasa imekuwa ni vigumu sana mtu kumwamini mtu mgeni kwake

#ElimikaWikiendi Image
Kutokana na hali halisi ilivyo hata hivyo hii imekuwa hacking ngumu sana kuizuia kutokana na uaminifu tunaoujenga baina yetu

◾️Social engineering, typically yule malicious attacker/mwizi hujiweka kama mtu mwema sana ili kupata taarifa anazotaka

#ElimikaWikiendi Image
Read 25 tweets
27 Oct 20
TWITTER FOR VPN

◾️kumekuwa na sintofahamu baina yetu na kulazimika kutumia VPN ili kuweza kupata access ya twitter

◾️Hii inasababishwa na kitu kinaitwa OUTAGE kwa jina jingine ni DOWNTIME

◾️Twende na uzi uelewe inatokeaje na kwa nini unatumia VPN/TOR/PROXIES

Uzi mfupi
◾️Outage kwa jina jingine ni Downtime ambapo ni ukosefu wa huduma flani au network, Hii inakuwa imegawanyika kwa namna mbili

👉 Unplanned outage
👉 Planned outage

◾️Unplanned outage ni ukosefu wa huduma flani au network nzima kutokana na mambo kadhaa kama vile
✴️Kuingiliwa/kuzimwa kwa network/mawasiliano na attackers (wadukuzi) hii inaitwa DOS/DDOS [ Denial of services ] attack

✴️ Kufeli kwa Hardware au Software

✴️ Kuharibika kwa vifaa flani vinavyotoa huduma ya internet

◾️Planned outage ni ukosefu wa huduma au network
Read 7 tweets
24 Oct 20
iPhone 12 Pro Max VS Samsung Note 20 Ultra

◾️Hizi ni simu zinazotamba kwa sasa Duniani ikiwa ni matoleo mapya kwa Samsung na Apple

◾️Nakuletea ulinganifi wa hizi simu, hii ni kulingana na majarida mengi kama AndroidAuthority, CNet, GSMArena, Gadget360 n.k

Twende na uzi👇 Image
◾️Samsung Galaxy Note 20 Ultra ilitoka Aug 5 na iPhone 12 Pro Max ilitoka Oct 13 lakini hii bado ni Pre-order

◾️Kila kampuni inasifia simu yake kuwa ni bora zaidi Duniani kwa sasa kutokana na teknologia ya hali ya juu iliyotumika kwenye hizo simu

◾️Tuzichambue taratibu ImageImage
◾️DESIGN

👉 Simu zote zinamwonekano mzuri lakini kuna utofauti

◾️Samsung Galaxy Note 20 ultra ni simu yenye kuonekana vizuri sana, wamechukua designing ya matoleo yote ya Note series wakaleta hii Note 20 ultra, dimensions 168.4mm/urefu 77.2/upana 8.1/angle na uzito ni 208g Image
Read 18 tweets
19 Sep 20
ENCRYPTION

Najua unasikia sana neno "Encryption" lakini kuna mengi ya kujifunza ili uelewe zaidi kuhusu encryption

◾️Encryption ni nini na aina zake ni zipi ?

◾️Encryption salama na zisizo salama

◾️Matumizi ya Encryption

◾️Faida za kufanya Encryption

Cc: @Kimkayndo
◾️ Encryption ni kitendo cha kubadili maneno au jumbe za kawaida kutoka kwenye mfumo unaosomeka kwenda kwenye mfumo ambao hausomeki, ambapo huzalisha kitu kinaitwa "cipher text"

Mfano kipindi cha utoto, watoto huongea kwa kuchanganya maneno ili watu wazima wasielewe wanaongea
nini, huu ni mfano wa encryption lakini endapo hiyo njia itatambulika kwa wengine basi hakuna tena usiri, wanaita "security through obscurity" yaani security huvunjika mara baada ya attacker kujua njia yako ya kujilinda

Katika encryption ili kuiondoa security through obscurity
Read 25 tweets
15 Sep 20
ANDROID 11

Android 11 imetoka, ni jambo zuri kwa watumiaji wa Android, simu za mwanzo Kabisa zilizoanza kupokea Android 11 updates ni Google pixels, OnePlus, Oppo, Xiaomi na Nokia. Simu zingine zitapata Android updates week chache zijazo

Tuangalie features zilizomo [ uzi ]👇
◾️ MEDIA CONTROL

Media players zitakuwa zinaonyesha media controls zote ( prev, stop, next etc) moja kwa moja kutoka kwenye "toggle bar" ( Sehemu ya juu ya simu kwenye notification pannel ambapo itaonyesha wimbo, media husika na control zake)
◾️MEDIA OUTPUT ( Quickly select media output)

Sehemu ya notification pannel ambayo itakusaidia ku-sitch/badili ambapo unaweza kuchagua utumie speaker ya simu au Bluetooth device au device yoyote ambayo iko connected na simu yako kwa haraka zaidi.
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(