#UZI
💨 Muda mwingine ni bora kukata tamaa

Unayemuoa pichani anaitwa Shao Ling Li (30) aliomba Visa kwenye ubalozi wa Marekani huko China hadi kujulikana na ubalozi wa Marekani lakini alikataliwa kupewa Visa japo alijaribu kuomba mara nyingi

Akaandika barua zaidi 👇
ya 15 immigration ya Canada lakini barua zote hizo zikakataliwa.

Mwamba hakukata tamaa akaomba ajiunge na jeshi la majini huko China lakini hakukubaliwa.

Yeye pamoja na wengine 124 wakaomba kazi kwenye kampuni ya mambo ya teknolojia, watu 122 wakaajiriwa na 2 wakakataliwa
na yeye alikua miongoni mwa waliokataliwa.

Akaenda kuomba ajiunge kua Askari polisi huko huko China hapa walikua 21 na 20 wakakubaliwa 1 hakakataliwa, aliyekataliwa alikuwa ni yeye.

Mwamba hakukata tamaa, akarudi tena kwenye masuala ya Teknolojia ya E- Marketing ili aweze
kutengeneza tovuti kubwa kama Amazon, lakini alikua hana mtaji akaamua kuuza vitu vyote vya ndani na vingine anavyokuwa anavimiliki na kuchukua mkopo benki na kuanzisha kampuni yake.
Baada ya miaka kadhaa kampuni yake ilifeli kabisa na sasa hivi yupo jela kutokana na pesa anazodaiwa Benki.

Source: instagram.com/p/CZ0xYUPtekH/…
Hata serikali ikiingilia kati wamfutie jamaa hiyo kesi bado haiwezi kukuzuia kununua Brand New & Original Smartphone kwetu @SimuZaNjiwa

Haijalishi watamsafirisha kwenye sero ngapi, Simu zetu bado tunaendelea kuzisafirisha mikoa yote 🇹🇿

📞 0745100757
wa.me/c/255745100757

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Njiwa FLow 🇹🇿

Njiwa FLow 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @JemsiMunisi

Oct 11, 2020
#UZI
💨 MAKAMPUNI YA SIMU 10 BORA DUNIANI
💨 Hii ni kwa mujibu wa report ya Sep.2020

1: SAMSUNG
• Hii ni Kampuni ya vifaa Electronic iliyoko huko Korea Kusini.
Dunia inaelewa uwezo na ubora wa simu za Samsung. Mfano Note 20, S 20 Pro.
Hizi ni #FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
2: HUAWEI
• Hii ni Kampuni iliyopo China inatengeneza vifaa vingi sana vya mawasiliano.
Lakini katika Kitengo Cha simu wamejitahidi sana japo wanapitia katika Kipindi kigumu lakini bado wamebaki namba 2.

Hawa jamaa wana tabia ya kukata kona kabla ya kona.
3: iPHONE
• Hii ni kampuni iliyopo pale Marekani, unapozungumzia simu zenye hadhi yake iPhone lazima akae nafasi ya 1.

Ila nafasi hiyo sio kigezo cha kumpa uhalali wa kuzizidi simu nyingine kwa ubora. Kushika nafasi hii inasababishwa na mtindo wake wa kuzalisha simu chache.
Read 14 tweets
Aug 1, 2020
💨 YAHOO BOYS
💨 VIJANA HATARI WA NIGERIA

▫️Ni wanachuo na vijana wengine wanaofanya Utapeli mtandaoni.

▫️Mtaji wao ni Komputa na hirizi. Unamkumbuka HushPuppi vizuri?

▫️ Tatizo lao wanakamatwa kama kuku na hawaishi huko mtaani.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
▫️Yahoo Boys ni wanafunzi wa vyuo vya Nigeria walioamua kujitafutia kipato mtandani kwa njia za udanganyifu.

▫️Wengi wakianza shule huishia katikati na hata kumaliza.
▫️Hawa vijana huwa wana kasumba ya Kuinuana mmoja akipata sehemu yenye dili anaenda kuwachukua masela zake wote kitaa na kuwapa mchongo.

▫️Wanatumia mbinu kama 419 Nigeria kuwaibia watu huku mtandaoni.
Read 24 tweets
Jul 31, 2020
💨 VITA VYA TANZANIA DHIDI YA WADUKUZI

▫️ Unawajua Tanzanian Hackers wewe? achana na suala la ku-hack Dream League.

▫️ Website ya Waziri Mkuu yadukuliwa. Msala wa mbet.

▫️Huko Jamii Forum ni vimbwanga juu ya vimbwanga.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 👇
▫️ Kwa mujibu wa Threat Map, Tanzania moja ya nchi zinazoongoza kufanyiwa Cyber Attack kwa Afrika.

▫️Na hii inasababishwa na ufungufu wa wataalamu wa IT.
Twende Chap Chap
▫️April. 2012, Wadukuzi kutoka America Kusini "LatinHackTeam" walidukua site za Serikali 35+ duniani.

▫️Nchi kama Japan, India, Ufaransa na kwa Afrika Tanzania ilibahatika kupata nafasi hiyo.

▫️go.tz ikapigwa chini. Zaidi ya website 10,352
Read 12 tweets
Jul 18, 2020
💨 TEKNOLOJIA KUBWA 7 ZINAZOVUMA 2020

1: 5G
• Hichi ni kizazi cha 5 cha mawasiliano ya mtandao. 5G ina kasi ya Gb 10 kwa sekunde.

• Hii teknolojia ilianzishwa mwaka 2019 na kampuni ya Huawei (China). Mpaka sasa inasambazwa duniani na
#ElimikaWikiendi tiririka nazo 👇👇 Image
Kampuni mbalimbali kama Huawei, Erickson, Nokia n.k.

• Kwa Afrika mpaka sasa nchi zenye 5G ni Lesotho na South Africa kwa mujibu wa Tech Cabal. Image
2: ARTIFICIAL INTELLIGENCE (AI)
• (Ujuzi Bandia) Hii ni Teknolojia inayohusiana na kukipatia kifaa uwezo wa kufanya majukumu ya binadamu.

• Makampuni kama Amazon, Google, Microsoft washaanza kuitumia hii Teknolojia kuudumia wateja wao. Image
Read 12 tweets
Jul 5, 2020
#UZI
💨 KISANGA CHA TIK TOK

✴️ Hii ni app iliotengenezwa na Zhang Yiming huko Beijing, China.

✴️ Imetengenezewa China lakini China imewazuia raia wake kuitumia.

✴️ Marekani, India ni baadhi ya nchi zilizoikataa.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇 ImageImage
✴️ Huu ni mtandao wa kijamii wenye uwezo wa kutengeneza kusambaza video.

✴️ Unatumika kutengeneza video za kuchekesha, kucheza na za kuonyesha vipaji.

✴️ Hii app ya TikTok inamilikiwa na kampuni ya ByteDance iliyoanzishwa 2012 na Bw. Zhang Yiming.

✴️ 2017 ikatuletea hii Image
App ya TikTok katika simu za iOS na Android, soko lao kubwa likawa ni nje ya China.

✴️ Wana ofisi zao Los Angeles, New York, London, Paris, Dubai, Mumbai, Tokyo na miji mingine maarufu.

✴️ 2018 TikTok iliongoza kupakuliwa nchini Marekani, ikawa ni app ya kwanza kutoka Image
Read 20 tweets
Jun 17, 2020
#UZI
💨 Watu wengi wanaofanikiwa hufanya mambo yao nje ya mifumo rasmi.

✴ Ujinga wa mteja ni fursa kwa mfanyabiashara.

✴ Huyu mtu huakikisha mpinzani wake ni yeye.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
Twende chap chap
✴ Mafanikio ni matokeo ya chanya ya jambo fulani. Kila mmoja anayatamani hayo matokeo.

✴ Kila mtu hutumia njia zake binafsi, wengine hunakili, huiba mbinu za wenzao ili mraji wapate hayo matokeo.

✴ Watu wengi bado huendelea kufanya mambo yao ndani ya hiyo
Mifumo rasmi.

KWANI MIFUMO RASMI NI IPI?

✴ Hii ni mifumo ambayo watu wote duniani wanaitambua na huitumia kama njia au mazingira ya kuendesha mambo yao.

✴ Mfano; Mwalimu anatakiwa apatiwe mbinu za kufundisha kisha naye akafundishe ndani ya mfumo huo huo.

✴ Atakachokipata
Read 17 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

:(