#UZI
💨 MAKAMPUNI YA SIMU 10 BORA DUNIANI
💨 Hii ni kwa mujibu wa report ya Sep.2020

1: SAMSUNG
• Hii ni Kampuni ya vifaa Electronic iliyoko huko Korea Kusini.
Dunia inaelewa uwezo na ubora wa simu za Samsung. Mfano Note 20, S 20 Pro.
Hizi ni #FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
2: HUAWEI
• Hii ni Kampuni iliyopo China inatengeneza vifaa vingi sana vya mawasiliano.
Lakini katika Kitengo Cha simu wamejitahidi sana japo wanapitia katika Kipindi kigumu lakini bado wamebaki namba 2.

Hawa jamaa wana tabia ya kukata kona kabla ya kona.
3: iPHONE
• Hii ni kampuni iliyopo pale Marekani, unapozungumzia simu zenye hadhi yake iPhone lazima akae nafasi ya 1.

Ila nafasi hiyo sio kigezo cha kumpa uhalali wa kuzizidi simu nyingine kwa ubora. Kushika nafasi hii inasababishwa na mtindo wake wa kuzalisha simu chache.
4: XIAOMI
• Hii ni Kampuni nyingine iliyopo pale China, imeanzishwa 2018 tuh ila mziki wake sio wa kitoto.

Chukua iPhone changanya na Samsung utakachokopata ndicho kinaitwa Xiaomi. Wana simu MaTaTa sana kama Xiamo Mi 10 Max hizi kubwa kubwa Bei zake zimechangamka kidogo
CHAPATI ZA AFRICA MASHARIKI

Zinapatikana kwa @bellasroti Tupo karibu na Kituo cha Sayansi kabla haujafika stendi ya Makumbusho.

Karibu tukupatie Combo wewe pamoja na familia yako.
5: OPPO
• Hii ni Kampuni nyingine ya simu iliyopo pale China chini ya BBK ilianzishwa 2016.

Hawa Oppo wameingia kwenye soko la simu janja kwa muda sahihi.
6: VIVO
• Hii ni Kampuni nyingine iliyopo pale China chini ya BBK ilianzishwa 2011.

2015 waliingia top 10 mpaka leo wanazidi kufanya vizuri kwenye soko. Simu zao sio ghali sana.
7: LG
• Hii ni kampuni ya pili kutoka Korea Kusini inazidi kufanya vizuri kwenye soko report ya mwisho ilikuwa nafasi tisa.

LG ni kifupisho cha Life Good, wana matoleo MaTaTa kama LG W10 Alph, K414, KGK 502.
8: ONEPLUS
• Hii ni Kampuni nyingine iliyopo pale China, Hawa jamaa wana tabia za iPhone huwa wakitoa simu ni simu kweli.
9: LENOVO
• Hii ni Kampuni nyingine iliyopo pale China wameanza kuporomoka kwenye chart ya top 10.

Lakini bado wana nafasi ya kuendelea kuishi ndani ya top 10. Wana matoleo MaTaTa kama Lenovo Legion Pro hii simu ina matobo ya mawili ya ku charge.
10: NOKIA
• Hii ni kampuni pekee kutoka pale nchini Finland wanaenda kutufungia 10 Bora yetu kwa siku ya leo.

Hawa Nokia fanya biashara nyingi sana zinazohusiana na Teknolojia.

MWISHO

Written: @NjiwaFLow
Credit: @chawanyu
Sponsored by @bellasroti
🖥 WEB • MOBILE • DIGITAL MARKETING

We Design & Develop Fluid Responsive Websites, Mobile Apps & Desktop Softwares. We do Branding and Digital Marketing. Technologies - Python, Java e.t.c

Location: Kona ya Nairobi, Arusha
Info:
@AkidiTechnology
akiditechnologies.com
💨 ILIANZISHWA* - Soko lake lilianza kupamba moto
💨 iPhone* - Apple

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Njiwa FLow 🇹🇿

Njiwa FLow 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @njiwaflow

1 Aug
💨 YAHOO BOYS
💨 VIJANA HATARI WA NIGERIA

▫️Ni wanachuo na vijana wengine wanaofanya Utapeli mtandaoni.

▫️Mtaji wao ni Komputa na hirizi. Unamkumbuka HushPuppi vizuri?

▫️ Tatizo lao wanakamatwa kama kuku na hawaishi huko mtaani.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
▫️Yahoo Boys ni wanafunzi wa vyuo vya Nigeria walioamua kujitafutia kipato mtandani kwa njia za udanganyifu.

▫️Wengi wakianza shule huishia katikati na hata kumaliza.
▫️Hawa vijana huwa wana kasumba ya Kuinuana mmoja akipata sehemu yenye dili anaenda kuwachukua masela zake wote kitaa na kuwapa mchongo.

▫️Wanatumia mbinu kama 419 Nigeria kuwaibia watu huku mtandaoni.
Read 24 tweets
31 Jul
💨 VITA VYA TANZANIA DHIDI YA WADUKUZI

▫️ Unawajua Tanzanian Hackers wewe? achana na suala la ku-hack Dream League.

▫️ Website ya Waziri Mkuu yadukuliwa. Msala wa mbet.

▫️Huko Jamii Forum ni vimbwanga juu ya vimbwanga.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 👇
▫️ Kwa mujibu wa Threat Map, Tanzania moja ya nchi zinazoongoza kufanyiwa Cyber Attack kwa Afrika.

▫️Na hii inasababishwa na ufungufu wa wataalamu wa IT.
Twende Chap Chap
▫️April. 2012, Wadukuzi kutoka America Kusini "LatinHackTeam" walidukua site za Serikali 35+ duniani.

▫️Nchi kama Japan, India, Ufaransa na kwa Afrika Tanzania ilibahatika kupata nafasi hiyo.

▫️go.tz ikapigwa chini. Zaidi ya website 10,352
Read 12 tweets
18 Jul
💨 TEKNOLOJIA KUBWA 7 ZINAZOVUMA 2020

1: 5G
• Hichi ni kizazi cha 5 cha mawasiliano ya mtandao. 5G ina kasi ya Gb 10 kwa sekunde.

• Hii teknolojia ilianzishwa mwaka 2019 na kampuni ya Huawei (China). Mpaka sasa inasambazwa duniani na
#ElimikaWikiendi tiririka nazo 👇👇 Image
Kampuni mbalimbali kama Huawei, Erickson, Nokia n.k.

• Kwa Afrika mpaka sasa nchi zenye 5G ni Lesotho na South Africa kwa mujibu wa Tech Cabal. Image
2: ARTIFICIAL INTELLIGENCE (AI)
• (Ujuzi Bandia) Hii ni Teknolojia inayohusiana na kukipatia kifaa uwezo wa kufanya majukumu ya binadamu.

• Makampuni kama Amazon, Google, Microsoft washaanza kuitumia hii Teknolojia kuudumia wateja wao. Image
Read 12 tweets
5 Jul
#UZI
💨 KISANGA CHA TIK TOK

✴️ Hii ni app iliotengenezwa na Zhang Yiming huko Beijing, China.

✴️ Imetengenezewa China lakini China imewazuia raia wake kuitumia.

✴️ Marekani, India ni baadhi ya nchi zilizoikataa.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇 ImageImage
✴️ Huu ni mtandao wa kijamii wenye uwezo wa kutengeneza kusambaza video.

✴️ Unatumika kutengeneza video za kuchekesha, kucheza na za kuonyesha vipaji.

✴️ Hii app ya TikTok inamilikiwa na kampuni ya ByteDance iliyoanzishwa 2012 na Bw. Zhang Yiming.

✴️ 2017 ikatuletea hii Image
App ya TikTok katika simu za iOS na Android, soko lao kubwa likawa ni nje ya China.

✴️ Wana ofisi zao Los Angeles, New York, London, Paris, Dubai, Mumbai, Tokyo na miji mingine maarufu.

✴️ 2018 TikTok iliongoza kupakuliwa nchini Marekani, ikawa ni app ya kwanza kutoka Image
Read 20 tweets
17 Jun
#UZI
💨 Watu wengi wanaofanikiwa hufanya mambo yao nje ya mifumo rasmi.

✴ Ujinga wa mteja ni fursa kwa mfanyabiashara.

✴ Huyu mtu huakikisha mpinzani wake ni yeye.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
Twende chap chap
✴ Mafanikio ni matokeo ya chanya ya jambo fulani. Kila mmoja anayatamani hayo matokeo.

✴ Kila mtu hutumia njia zake binafsi, wengine hunakili, huiba mbinu za wenzao ili mraji wapate hayo matokeo.

✴ Watu wengi bado huendelea kufanya mambo yao ndani ya hiyo
Mifumo rasmi.

KWANI MIFUMO RASMI NI IPI?

✴ Hii ni mifumo ambayo watu wote duniani wanaitambua na huitumia kama njia au mazingira ya kuendesha mambo yao.

✴ Mfano; Mwalimu anatakiwa apatiwe mbinu za kufundisha kisha naye akafundishe ndani ya mfumo huo huo.

✴ Atakachokipata
Read 17 tweets
9 Jun
#UZI
💨 VITA VYA WADUKUZI WA ANONYMOUS DHIDI YA MAREKANI

✴ Walikua bench kwa miaka 3, kifo cha George Floyd cha warudisha kwa kishindo.

✴ Udukuzi wanaoufanya ni presha tupu.

✴ Wanasema sio Trump tuh hata Clinton na Obama wote ni ❌❌
#FLowMaTaTa is back Tiririka nazo 👇
Twende chap chap
✴ Baada ya polisi kusababisha kifo cha George Floyd, Anonymous walihack database za serikali kwa ajili ya kurudisha password za mitandao yao ya kijamii.

✴ Walizifungua baada ya kujaribu password zote ila baadhi zilikubali.

✴ Password kama GuyFawaks,
Fwskfucks420, Maskgang1 lakini baadhi zilifanya kazi.

✴ Mwisho wa siku Anonymous wakafurahi kionline line sisi hatuwajui wala hao wenyewe hawajuani.

✴ Wakaanza kampeni ya kuhamasisha maandamano na hashtag ya #BlackLivesMatter Kwa mujibu wa TheHardtimes(UNKNOWN).

31.6.2020👇
Read 21 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!