Kama Kila Mtu Ananunua—Sasa Kwanini Wewe Hauuzi?...
.
...Kama bado unahangaika kuuza bidhaa/huduma yako—basi Kuna uwezekano mkubwa sana hizi ndizo Sababu zinazokukosesha mauzo kila siku...
.
[UZI MFUPI]...👇🏽
Kama bidhaa/huduma yako haiuziki—basi jua kabisa tatizo halipo kwenye bidhaa yako —bali Tatizo lipo Kwako mwenyewe
.
...kwasababu kipengele muhimu Zaidi kwenye mfumo mzima wa kuuza ni—Muuzaji mwenyewe
Na Sababu zinagharimu mauzo yako kila siku ni hizi hapa👇🏽
1). Unauza bidhaa/huduma yako kwa wateja wako—badala ya kuwasaidia kununua
.
Hakuna mtu anaenunua bidhaa—watu hununua utatuzi wa matatizo yao
.
...pia hakuna mtu anaependa kuuziwa ila kila mtu anapenda Kununua
.
Kwahiyo acha kuuza—anza kuwasaidia kununua👇🏽
2). Unauza kama—Muuzaji badala ya Kuuza kama—Daktari
.
Yaani unaanza kuongea kuhusu Kile unachokiuza kabla ya Kusikia chochote kutoka kwa mteja wako
.
Unajisikiaje umeenda hospitali halafu Dakitari akakupa Dawa Bila ya kukuuliza chochote?...
.
Hivyo ndivyo.👇🏽
Anavyojisikia baada ya Kuongea kuhusu Bidhaa yako kabla ya Kusikia chochote kuhusu yeye
.
3). Unawaambia kila kitu unachokijua kuhusu bidhaa yako—badala ya kile wanachotaka kukisikia wao
.
Unapouza Kumbuka kwamba hakuna mtu anaejali wewe unajua kiasi gani👇🏽
Kuhusu bidhaa yako—mpaka Wajue kwanza Unajali kiasi gani kuhusu wao
.
4). Unaongea zaidi Wakati wa kuuza badala ya kuuliza maswali zaidi
.
...kuuza sio Kuongea sana bali ni kuuliza maswali Zaidi
.
Ongea kwa 30% kisha uliza na Kusikiliza kwa 70% kwa kufanya👇🏽
Hivyo mteja atakwambia mwenyewe anahitaji Kununua Kitu gani
.
Kwa kifupi atajiuzia Bidhaa yako mwenyewe
.
5). Wauzie wao bora zaidi na sio bidhaa yako
.
...watu hujinunua wao bora zaidi baada ya kumiliki bidhaa/huduma yako (better version of themselves)
.
👇🏽
6). Huwaoneshi kama umewaelewa pindi unapouza bidhaa/huduma yako
.
...Kumbuka kwamba wateja hawanunui kwasababu wameielewa bidhaa/huduma yako—wananunua kwasababu wamehisi wameeleweka kwa muuzaji
.
So wanakununua wewe sio Bidhaa yako—people buy people
.
👇🏽
7). Hujajiuza kwanza kwenye kila unachokiuza wewe
.
Mauzo ya kwanza unayotakiwa Kuyafanya ni wewe kujiuza kwenye Kile unachokiuza—yaani nunua kwanza Kile unachokiuza na Ukitumie
.
...kwasababu kuuza ni kitendo cha kusafirisha hisia za bidhaa yako Kwenda 👇🏽
Kwa mteja wako—na huwezi kujua hisia ya kitu kama hujakimiliki na kukitumia
.
Na Kama huwezi kujiuzia Bidhaa yako mwenyewe—utawezaje kumuuzia mtu mwingine?...
.
Tumia unachokiuza na wateja watakuamini na Kununua
.
👇🏽👇🏽
8). Huwaambii ni Jinsi gani bidhaa yako itawatoa kwenye maumivu
.
Wateja hununua zaidi vitu ili kutoka kwenye—Maumivu Kuliko kuingia Kwenye raha
.
Hakuna kitu kinachouza zaidi ya—Maumivu na Hofu (Pain & Fear)
.
9). Unapouza—FOCUS yako ipo kwenye Pesa..👇🏽
Badala ya kugundua tatizo la mteja
.
..Jua Kwamba kitu muhimu Zaidi kwa mteja wako pindi unapouza ni Mteja Mwenyewe
.
Focus ya mteja ni yeye na tatizo lake —Focus yako Ni Pesa yake sio tatizo lake kwahiyo unatengeneza tatizo tena badala ya Solution
.
👇🏽
Unatakiwa umfanye mteja wako ajue kwamba mna adui mmoja yaani tatizo lake na si vinginevyo
.
10). Hujui tofauti kati kufanya—Selling na Kufanya—Closing
.
Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa pindi unapouza na huwa haviendi Pamoja hata siku moja..👇🏽
Ukianza kufanya—Selling Unatakiwa uache kufanya—Closing na ukianza kufanya—Closing Unatakiwa uache kabisa kufanya—Selling
.
Ukifanya Vyote kwa Wakati mmoja unakosa Vyote yaani kwa kifupi hakuna mauzo utakayofanya na hili ni—KOSA la wengi mno
.
👇🏽👇🏽
Leo nimekupa tu ohondo kidogo kuhusu Ujuzi unaoitwa—Closing Skills
.
Je umependa madini?...Basi Kama Jibu lako ni—NDIO, Usiache kuyapa—RETWEET kwasababu kuna mwingine pia angetamani ajifunze kama wewe
.
P. S. Jifunze —Closing Skills daima utaibuka—Shujaa!
• • •
Missing some Tweet in this thread? You can try to
force a refresh
SIRI 11 Nilizojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha—“Sell Like Crazy” By Sabri-Suby—Ambazo Zitakunufaisha Pia Katika Biashara yako...
.
...sell like Crazy ni miongoni mwa vitabu maarufu sana kwa sasa katika Soko la Mtandaoni yaani—Digital Marketing
.
[SUMMARY]👇🏽
Kitabu kina madini mengi sana ila nitaandika Kwa ufupi sana yale ya muhimu tu...
.
Hizi ndizo—SIRI nilizoziona zina umuhimu wa ku-share na watu wangu wa Nguvu Leo....
.
1). Ni 4% ya kazi za muhimu Zaidi zinaingiza hela katika biashara yako na 96% 👇🏽
Ya kazi katika biashara yako aidha zinakupotezea Muda, Pesa au zinaingiza hela kidogo sana katika biashara yako...
.
Kazi yako kama mwenye biashara ni kuweka Nguvu Kubwa katika 4% na zile 96% zifanywe na watu wengine
.
Kinyuma na hapo utaingia katika 👇🏽
Unahitaji Kujifunza COPYWRITING?... Basi Anzia Hapa....
.
Kama Umekuwa ukitafuta njia rahisi ya kujifunza Ujuzi # 1 Mtandaoni kwa sasa yaani Copywriting Skills, basi Shuka na Uzi huu mpaka mwisho....
.
[UZI MFUPI TU, Tenga dkk Zako 5 Tu]...👇🏽
Vitu ni vingi ila hapa nitakupa vile ambavyo utaenda kuvitumia kwenye Matangazo yako moja kwa moja..
.
Copywriting maana yake ni uwezo wa kuuza chochote kwenye maandishi au kutumia maneno kuwasiliana na wateja wako ili wafanye kile unachotaka 👇🏽
Au wanasema “Closing in Print/ Salesmanship in Print”
.
Uwezo wa kugeuza maneno Kuwa Pesa nk
.
Natumia umepata picha nzima juu ya ujuzi huu...
.
Unapotaka Kuuza chochote kwenye maandishi hakikisha unazingatia Vitu Hivi ili uone matokeo mazuri...👇🏽👇🏽
SIRI Ndogo Iliyomsaidia Muddy Wa Dodoma Kuuza Iphone 📱 10 Kila Siku Mtandaoni....
.
Hey, “Amosi Nyanda” Hapa Nimeandika Kitabu Kinachoelekeza Jinsi ya Kuuza Bidhaa zako kwa njia ya maandishi Mtandaoni...
.
...Na Hii Ndio Siri Iliyomsaidia Muddy...
.
[UZI]👇🏽
Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa kwanza mwishoni hivi kwenye tar 20...
.
Muddy alinicheki DM baada ya kusoma baadhi ya Uzi wangu
.
Na hiki ndicho kilichokuwa kinamyima usingizi Katika biashara yake...
.
“Kila alipokuwa anapost Matangazo ya Simu zake Online 👇🏽
Hasa hasa Instagram na Twitter alikuwa haambulii chochote zaidi ya Comments, Likes, na Retweet lakini hakuna Oda kabisa
.
Yaani kwa kifupi likes kibao ila hela hakuna...
.
Hali ile ilikuwa inampasua kichwa mno kwasababu ilifika Muda Mpaka akawa anakosa 👇🏽
Jinsi Kijana Alieishia La Saba Anavyouza Sabuni Zake Mtaani Kama Njugu...
.
Kama Umekuwa ukitafuta Siri Mpya ya kuuza Moja kwa moja (Direct selling) bidhaa zako mtaani, basi Uzi huu ni zaidi ya zawadi kwako..
.
[UZI WA Dkk 4 TU]..👇🏽
Siku ya Jumamosi mida ya jioni hivi tulikuwa tumekaa kwenye kijiwe fulani Hivi na washkaji tunapiga story huku tunakunywa Kahawa Maeneo ya moshono Arusha..
.
Wakati tunaendelea kupiga story akaja jamaa mmoja na kibegi mgongoni huku ameshika sabuni 2 mkononi👇🏽
Kama samples...
.
Baada ya kutupa Hi 👋 akaanza kuprisent sabuni zake, yaani sabuni inafanya kazi gani na ina faida gani kwetu...
.
Wakati anaongea kuhusu sabuni zake nikiwaangalia washkaji pembeni yangu wote wanachezea siku zao..💪🏻
🚫TAHADHARI : Kama Una Mpango Wa Kuuza Courses Au Ebooks Mtandaoni Usifanye Kosa Hili...
.
[UZI 👇🏽]
.
Kama Una Mpango wa Kuuza Knowledge, skills au Taarifa zozote Mtandaoni usipuuze uzi huu kwasababu nakwambia ukweli uliopo sokoni
.
Binafsi naamini kama 👇🏽
Kitu haukiishi basi haukijui (If you don’t live it, you don’t know it)
.
Kabla sijakwambia ni Kitu gani nataka nikupe story fupi kuhusu my own experience kwenye Hii Topic
.
Mwaka 2018 niliacha kazi na kuamua kufanya online business kama full time job 👇🏽
Kwasababu tayari nilishajenga ujuzi wa Copywriting na Closing skills
.
Kwahiyo nilikuwa na uwezo wa kuuza bidhaa/huduma yoyote online aidha ni ya kwangu binafsi au ya watu wengine (Affiliate & dropshipping) na nikatengeneza pesa on my own time
.
👇🏽
Je Una Kampuni ya Utalii Chukua Hii...👇🏽
.
(UZI MFUPI 👇🏽)
.
Kabla ya Janga la Corona nakumbuka ilikuwa ni Mwezi wa 2 hivi kuna Jamaa anaitwa SAI, alinipigia simu akasema anahitaji kupata wageni kutoka nje lakini bado Hana ujuzi wa kutumia Mtandao
.
👇🏽👇🏽
Nikaweka appointment nae kisha nikakutana nae baada ya kumuuliza maswali kadhaa hasa hasa kuhusu soko lake akasema soko lake kubwa lipo “Canada, China, South Africa (SA), Australia na USA
.
Vile vile nikamuuliza mara nyingi huwa anatumia mbinu gani kupata👇🏽
Clients online? , akasema huwa anarun tu matangazo ya kawaida kwenye page zake kisha anaboost (na wengi wanafanya hivi)
.
Nikamuuliza huwa anaandika matangazo gani?, akasema Mara nyingi yenye picha za wanyama
.
Uzi ndo unaanza Hapa kwasababu wengi..👇🏽