SIRI 11 Nilizojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha—“Sell Like Crazy” By Sabri-Suby—Ambazo Zitakunufaisha Pia Katika Biashara yako...
.
...sell like Crazy ni miongoni mwa vitabu maarufu sana kwa sasa katika Soko la Mtandaoni yaani—Digital Marketing
.
[SUMMARY]👇🏽 Image
Kitabu kina madini mengi sana ila nitaandika Kwa ufupi sana yale ya muhimu tu...
.
Hizi ndizo—SIRI nilizoziona zina umuhimu wa ku-share na watu wangu wa Nguvu Leo....
.
1). Ni 4% ya kazi za muhimu Zaidi zinaingiza hela katika biashara yako na 96% 👇🏽
Ya kazi katika biashara yako aidha zinakupotezea Muda, Pesa au zinaingiza hela kidogo sana katika biashara yako...
.
Kazi yako kama mwenye biashara ni kuweka Nguvu Kubwa katika 4% na zile 96% zifanywe na watu wengine
.
Kinyuma na hapo utaingia katika 👇🏽
Mtego unaoitwa—Work in your business Badala ya —Work on your business
.
2). Upo katika biashara kuuza bidhaa/huduma yako—kwasababu Pesa hazipo kwenye bidhaa zipo kwenye uwezo wako wa kuuza hiyo Bidhaa —Jifunze kuuza
.
Kwahiyo jukumu lako Namba moja 👇🏽
Kama mwenye biashara ni—Kuuza
.
3). Ujuzi wa lazima kujifunza katika soko la sasa kama mwenye biashara ni—Uwezo wa Kuandika Matangazo na Ujumbe wa kukuuzia bidhaa yako mtandaoni—Copywriting Skills
.
... kwasababu wewe pekee ndiye unaewajua wateja wako👇🏽
Vizuri zaidi ya mtu mwingine yoyote
.
4). Hakuna tatizo la—Traffic katika biashara katika soko la sasa kwasababu una uwezo wa Kununua traffic kama unavyonunua nguo kariakoo
.
...kwasababu kuna paid Ads kuna traffic wa Tshs 5,000, 10K, 30K nk
.
Tatizo lipo👇🏽
Kwenye—CONVERSION yaani uwezo wa kugeuza hizo leads Kuwa wateja wanunuzi
.
Kwahiyo unahitaji kitu kinachoitwa—Conversion mechanism katika biashara yako
.
...Kwa kifupi—Automated Funnel Ndio Mwarobaini wa hili tatizo la Conversion 👇🏽
Kama unahitaji simple funnel mcheki mzee wa—Iteration Hapa @GillsaInt ana code kibao za funnel
.
5). Asilimia Kubwa ya Matangazo mtandaoni yanazongania 3% Tu ya wateja ambao wapo tayari Kununua Muda huo—Hot traffic na kuacha 97% ya soko zima—Kwahiyo fanya👇🏽
Kinyume chake—wewe Walengwa hao 97% ambao ni—warm traffic na Cold traffic kwa Kutengeneza—LIST
.
...aidha ni WhatsApp group, E-mail list au Telegram Group
.
Tumia formula Ngazi ya Uthamani—Value ladder au👇🏽
.
Attract—Educate—Nurture—Close (convert) 👇🏽
6). Tengeneza—Chambo inayoitwa—HVCO’s yaani High Value contents Offer ambayo utaitoa—FREE Kwa walengwa wako ili Kutengeneza List
.
...lengo ni kuwaonesha una nia ya kuwasaidia kwa kuwasaidia kweli ambapo...
.
—watakujua
.
—watakupenda
.
—watakuamini👇🏽
—watakuona Kama mtaalamu na kuhitaji Kununua bidhaa yako hata kabla hujawauzia chochote
.
7). Kazi ya Tangazo lako sio Kuuza Bidhaa/huduma yako, kazi ya Tangazo lako ni Kuuza—CLICKS Tu
.
...Yaani kazi ya Tangazo lako ni kuwafanya watu wabofye👇🏽
Anayeuza bidhaa/huduma ni Wewe Sio Tangazo lako
.
Kazi ya Tangazo ni kukuletea watu mpaka mlangoni ila anayeuza ni wewe
.
...na hapo ndipo utofauti wa sales na marketing unapojia Kwahiyo usichanganye vitu Hivi viwili—sales & Marketing 👇🏽
8). Pesa katika Matangazo yako zipo kwenye—OFFER yako
.
Kuna kitu kinaitwa—Godfather Offer kinasema kwamba....
.
Ukitaka kuuza zaidi online—Tengeneza Offer ambayo mteja atajiona mjinga endapo hatonunua Kile unachokiuza
.
...wape offer ambayo hawawezi👇🏽
Kuikataa inaitwa—Irresistible Offer
.
Make your offer so great that only a—Lunatic would refuse to buy—Claude Hopkins
.
9). Wateja mtandaoni hawafanani na sio kila mteja ni Sawa na mwingine Hii inaitwa—Traffic temperature
.
Kwahiyo kila wateja wana👇🏽
Tangazo Lao—kabla ya Kuandika Tangazo lako hakikisha unajua vyema unauza kwa kina Nani
.
10). Huwezi kuuza bidhaa/huduma yako moja Kwa moja kutoka kwenye Tangazo lako—kwasababu Watu hawapendi Matangazo wala kuuziwa
.
...kwahiyo ili kuuza lifanye 👇🏽
Tangazo lako lisionekane kama ni Tangazo bali ni—NEWS (Habari mpya)
.
Kwasababu lengo la mitandao sio kuuza vitu ni—KUSOCIALIZE!
.
11). Pesa Zipo Kwenye—LIST na ukitaka Kukuza biashara yako mtandaoni lazima uwe na kitu kinachoitwa—Automated leads👇🏽
Generation and Clients conversion System (mechanism)
.
Vipo vitu vingi ila kwa upande wangu Hivi ndivyo Nimeona Vina umuhimu wa kushare na nawewe Leo
.
...nawewe kama umesoma Hicho kitabu usisite kuongezea madini hapo kwenye comments 👇🏽
Lengo ni kujifunza wote
.
Na Kama umefaidika na madini ya Leo Usiache kuyapa—RETWEET kwasababu hujui yanaweza kuokoa biashara ya nani
.
Je Unataka—Summary ya kitabu gani siku nyingine kati ya Hivi?...
.
1). Dotcom secrets
.
2). Ca$hvertising
.
Nambie chini!

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with AmosiNyanda

AmosiNyanda Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @NyandaAmosi

12 Apr
Kama Kila Mtu Ananunua—Sasa Kwanini Wewe Hauuzi?...
.
...Kama bado unahangaika kuuza bidhaa/huduma yako—basi Kuna uwezekano mkubwa sana hizi ndizo Sababu zinazokukosesha mauzo kila siku...
.
[UZI MFUPI]...👇🏽
Kama bidhaa/huduma yako haiuziki—basi jua kabisa tatizo halipo kwenye bidhaa yako —bali Tatizo lipo Kwako mwenyewe
.
...kwasababu kipengele muhimu Zaidi kwenye mfumo mzima wa kuuza ni—Muuzaji mwenyewe

Na Sababu zinagharimu mauzo yako kila siku ni hizi hapa👇🏽
1). Unauza bidhaa/huduma yako kwa wateja wako—badala ya kuwasaidia kununua
.
Hakuna mtu anaenunua bidhaa—watu hununua utatuzi wa matatizo yao
.
...pia hakuna mtu anaependa kuuziwa ila kila mtu anapenda Kununua
.
Kwahiyo acha kuuza—anza kuwasaidia kununua👇🏽
Read 15 tweets
11 Feb
Unahitaji Kujifunza COPYWRITING?... Basi Anzia Hapa....
.
Kama Umekuwa ukitafuta njia rahisi ya kujifunza Ujuzi # 1 Mtandaoni kwa sasa yaani Copywriting Skills, basi Shuka na Uzi huu mpaka mwisho....
.
[UZI MFUPI TU, Tenga dkk Zako 5 Tu]...👇🏽
Vitu ni vingi ila hapa nitakupa vile ambavyo utaenda kuvitumia kwenye Matangazo yako moja kwa moja..
.
Copywriting maana yake ni uwezo wa kuuza chochote kwenye maandishi au kutumia maneno kuwasiliana na wateja wako ili wafanye kile unachotaka 👇🏽
Au wanasema “Closing in Print/ Salesmanship in Print”
.
Uwezo wa kugeuza maneno Kuwa Pesa nk
.
Natumia umepata picha nzima juu ya ujuzi huu...
.
Unapotaka Kuuza chochote kwenye maandishi hakikisha unazingatia Vitu Hivi ili uone matokeo mazuri...👇🏽👇🏽
Read 12 tweets
10 Feb
SIRI Ndogo Iliyomsaidia Muddy Wa Dodoma Kuuza Iphone 📱 10 Kila Siku Mtandaoni....
.
Hey, “Amosi Nyanda” Hapa Nimeandika Kitabu Kinachoelekeza Jinsi ya Kuuza Bidhaa zako kwa njia ya maandishi Mtandaoni...
.
...Na Hii Ndio Siri Iliyomsaidia Muddy...
.
[UZI]👇🏽
Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa kwanza mwishoni hivi kwenye tar 20...
.
Muddy alinicheki DM baada ya kusoma baadhi ya Uzi wangu
.
Na hiki ndicho kilichokuwa kinamyima usingizi Katika biashara yake...
.
“Kila alipokuwa anapost Matangazo ya Simu zake Online 👇🏽
Hasa hasa Instagram na Twitter alikuwa haambulii chochote zaidi ya Comments, Likes, na Retweet lakini hakuna Oda kabisa
.
Yaani kwa kifupi likes kibao ila hela hakuna...
.
Hali ile ilikuwa inampasua kichwa mno kwasababu ilifika Muda Mpaka akawa anakosa 👇🏽
Read 15 tweets
9 Feb
Jinsi Kijana Alieishia La Saba Anavyouza Sabuni Zake Mtaani Kama Njugu...
.
Kama Umekuwa ukitafuta Siri Mpya ya kuuza Moja kwa moja (Direct selling) bidhaa zako mtaani, basi Uzi huu ni zaidi ya zawadi kwako..
.
[UZI WA Dkk 4 TU]..👇🏽
Siku ya Jumamosi mida ya jioni hivi tulikuwa tumekaa kwenye kijiwe fulani Hivi na washkaji tunapiga story huku tunakunywa Kahawa Maeneo ya moshono Arusha..
.
Wakati tunaendelea kupiga story akaja jamaa mmoja na kibegi mgongoni huku ameshika sabuni 2 mkononi👇🏽
Kama samples...
.
Baada ya kutupa Hi 👋 akaanza kuprisent sabuni zake, yaani sabuni inafanya kazi gani na ina faida gani kwetu...
.
Wakati anaongea kuhusu sabuni zake nikiwaangalia washkaji pembeni yangu wote wanachezea siku zao..💪🏻
Read 13 tweets
10 Aug 20
🚫TAHADHARI : Kama Una Mpango Wa Kuuza Courses Au Ebooks Mtandaoni Usifanye Kosa Hili...
.
[UZI 👇🏽]
.
Kama Una Mpango wa Kuuza Knowledge, skills au Taarifa zozote Mtandaoni usipuuze uzi huu kwasababu nakwambia ukweli uliopo sokoni
.
Binafsi naamini kama 👇🏽
Kitu haukiishi basi haukijui (If you don’t live it, you don’t know it)
.
Kabla sijakwambia ni Kitu gani nataka nikupe story fupi kuhusu my own experience kwenye Hii Topic
.
Mwaka 2018 niliacha kazi na kuamua kufanya online business kama full time job 👇🏽
Kwasababu tayari nilishajenga ujuzi wa Copywriting na Closing skills
.
Kwahiyo nilikuwa na uwezo wa kuuza bidhaa/huduma yoyote online aidha ni ya kwangu binafsi au ya watu wengine (Affiliate & dropshipping) na nikatengeneza pesa on my own time
.
👇🏽
Read 25 tweets
4 Aug 20
Je Una Kampuni ya Utalii Chukua Hii...👇🏽
.
(UZI MFUPI 👇🏽)
.
Kabla ya Janga la Corona nakumbuka ilikuwa ni Mwezi wa 2 hivi kuna Jamaa anaitwa SAI, alinipigia simu akasema anahitaji kupata wageni kutoka nje lakini bado Hana ujuzi wa kutumia Mtandao
.
👇🏽👇🏽
Nikaweka appointment nae kisha nikakutana nae baada ya kumuuliza maswali kadhaa hasa hasa kuhusu soko lake akasema soko lake kubwa lipo “Canada, China, South Africa (SA), Australia na USA
.
Vile vile nikamuuliza mara nyingi huwa anatumia mbinu gani kupata👇🏽
Clients online? , akasema huwa anarun tu matangazo ya kawaida kwenye page zake kisha anaboost (na wengi wanafanya hivi)
.
Nikamuuliza huwa anaandika matangazo gani?, akasema Mara nyingi yenye picha za wanyama
.
Uzi ndo unaanza Hapa kwasababu wengi..👇🏽
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!