Jinsi ya Kutengeneza KOZI Yako Mtandaoni BURE...
.
... Najua Kuna wengi wanahitaji Kutengeneza na kuuza Kozi online lakini wanatishwa na Gharama za Softwares za Kutengenezea Kozi
.
Ni kweli ni ghali sana—lakini vipi Kama Nitakwambia kuna mbadala wa BURE?..👇🏻
Kama bado unaanza uhitaji kulipia softwares expensive kama—Camtasia ili Kutengeneza Kozi yako
.
...anza na zile za Free kwanza ili kupata Proof of concept ya Kozi yako kutoka kwa wateja
.
Kabla hujapata Kibali cha soko usiingie katika mtego wa magharama ya 👇🏻
Ajabu ajabu na mwisho wa siku unaingiza Kozi Sokoni inabuma
.
Mimi mpaka sasa bado natumia free version ya—Screencast-o-matic Kutengenezea Kozi zangu FREE!
.
Fanya Hivi kama kuna kitu unakijua vyema na ungetamani kukiuza kama Kozi
.
👇🏻
Fuata hatua hizi Hapa Kutengenezea Kozi yako BURE Kabisa
.
1). Ingia google andika—“Screencast-o-matic kisha install kwenye laptop 💻 yako
.
Hii ni software ya kurecord chochote utakachokifanya kwenye PC yako
.
Kisha Chagua—FREE version wanakupa dkk 15👇🏻 Image
2). Baada ya kuinstall hiyo soft ware andaa presentation ya Kozi yako kwenye PowerPoint au Trello, Canva—Just hints za coverage ya Kozi yako
.
3). Anza kurecord hayo madini kwenye Presentation yako huku unafundisha—watasikia sauti, wataona kila kitu kwenye👇🏻
presentation yako na hata sura yako ukipenda itaonekana Pia
.
Japo kuna paid version pia za software Hii ambapo watakupa features nyingi zaidi
.
Ila Kama unaanza tembea na Free version kwanza
.
4). Ukisharecord video’s zako za presentation zenye dkk 15👇🏻
Kila video then hatua inayofuata ni Kufungua Youtube channel yako—ni FREE!
.
Ukishafungua YouTube channel yako nenda kapakie hizo videos za Kozi yako kwenye kipengele Kinachoitwa—Unlisted na sio Public
.
Maana yake ni kwamba mtu hawezi kuona hizo video’s👇🏻
YouTube mpaka wewe umtumie link au access ya hizo videos and there is where the money is
.
Baada ya hapo Anza kutangaza na kuuza Kozi yako
.
Mtu akilipia unamumia links au access za hizo video’s za Kozi yako
.
Lakini sasa.....👇🏻
Weakness Kubwa ya njia hii ya uuzaji wa Kozi ni pale mtu anapoamua kushare links za watu wengine
.
Ndio maana Ni muhimu sana kuuza kwa watu wanaojielewa tu na wenye kujua kwamba Hii ni biashara ya mtu
.
Ila hiyo haiwezi kukuuzia wewe Kutengeneza Kozi yako 👇🏻
Kwasababu hata zile Kozi zenye Log in Details bado bado kuna wakulungwa wanashare tu access 😀 (Ila watu)
.
Ila Cha muhimu Zaidi sio Kutengenezea Kozi bali ni uwezo wako wa Kuiuza hiyo Kozi ...
.
Pesa online Hazipo kwenye Kozi wala ebooks—zipo kwenye uwezo👇🏻
Wako wa kuuza hiyo Kozi
.
Hapo ndipo Umuhimu wa kujifunza Copywriting Skills unapokuja
.
Ukweli ni kwamba—Kama una ndoto ya Kutengenezea Pesa online Copywriting Skills huwezi kuiepuka kabisa (sad truth)
.
Lakini.....👇🏻
Kitu muhimu Zaidi ni kwamba kabla ya Kutengeneza Kozi yako fanya Pre-sale kwanza kwa watu kadhaa kabla ya kurecord chochote
.
...kwasababu unaweza kurecord kila kitu lkn ukileta Kozi yako kwa watu hawanunui...
.
Ila ukishafanya pre-sell itakupa picha ya👇🏻
Kwamba soko lipo tayari kulipia Kozi yako
.
Kuna tofauti kati ya watu kuhitaji kitu na watu kutaka kitu
.
Watu hulipia kile wanachokitaka na sio kile wanachokihitaji
.
Ndio maana unaweza kuona watu wanahitaji bidhaa yako lkn hawapo tayari kulipia Pesa lkn 👇🏻
Walikwambia kabisa wanahitaji😀 (Mtego mbaya sana Huu kwenye kuuza Digital products)
.
I hope nimesaidia kiasi fulani
.
Engagement ikiwa nzuri nitakuja na uzi wa Njia sahihi za kuuza ebooks na Kozi online (From my own 4 years experiences Sokoni)
.
Thanks 🙏

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with AmosiNyanda

AmosiNyanda Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @NyandaAmosi

10 Jun
Jinsi Dkk 45 Za @GillsaInt Zilivyozaa Tshs 1,020,000 Ndani ya Siku 7 Tu...
.
...nakumbuka ilikuwa ni 22/04/2021 Siku ya Alhamisi Mida ya Saa Sita Hivi mchana nikiwa nimetulia getoni kwangu maeneo ya Moshono Arusha
.
Ndipo simu yangu ilipoita....
.
[MADINI]👇🏻 Image
Kuangalia jina limetokea—“Gillsant Swahili Digital” (ndivyo nilivyosave)
.
Hii ilikuwa kama Surprise kwangu bila kuwaza mara Mbili nikapokea...
.
Tuliongea vitu vingi sana kuhusu online business ila kilicholeta hayo matokeo ni Kitu Kinachoitwa—Funnel👇🏻...
FUNNEL—ni mfumo maalumu wa online unaomtoa mteja kutoka Social media akiwa Cold Traffic mfumo wenyewe unampasha anakuwa Warm Traffic kisha unamfanya Kuwa Hot traffic then ananunua bidhaa/huduma
.
Hii ni Automated system Ndio maana kuna kitu kinaitwa..👇🏻
Read 20 tweets
25 Apr
SIRI 11 Nilizojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha—“Sell Like Crazy” By Sabri-Suby—Ambazo Zitakunufaisha Pia Katika Biashara yako...
.
...sell like Crazy ni miongoni mwa vitabu maarufu sana kwa sasa katika Soko la Mtandaoni yaani—Digital Marketing
.
[SUMMARY]👇🏽 Image
Kitabu kina madini mengi sana ila nitaandika Kwa ufupi sana yale ya muhimu tu...
.
Hizi ndizo—SIRI nilizoziona zina umuhimu wa ku-share na watu wangu wa Nguvu Leo....
.
1). Ni 4% ya kazi za muhimu Zaidi zinaingiza hela katika biashara yako na 96% 👇🏽
Ya kazi katika biashara yako aidha zinakupotezea Muda, Pesa au zinaingiza hela kidogo sana katika biashara yako...
.
Kazi yako kama mwenye biashara ni kuweka Nguvu Kubwa katika 4% na zile 96% zifanywe na watu wengine
.
Kinyuma na hapo utaingia katika 👇🏽
Read 18 tweets
12 Apr
Kama Kila Mtu Ananunua—Sasa Kwanini Wewe Hauuzi?...
.
...Kama bado unahangaika kuuza bidhaa/huduma yako—basi Kuna uwezekano mkubwa sana hizi ndizo Sababu zinazokukosesha mauzo kila siku...
.
[UZI MFUPI]...👇🏽
Kama bidhaa/huduma yako haiuziki—basi jua kabisa tatizo halipo kwenye bidhaa yako —bali Tatizo lipo Kwako mwenyewe
.
...kwasababu kipengele muhimu Zaidi kwenye mfumo mzima wa kuuza ni—Muuzaji mwenyewe

Na Sababu zinagharimu mauzo yako kila siku ni hizi hapa👇🏽
1). Unauza bidhaa/huduma yako kwa wateja wako—badala ya kuwasaidia kununua
.
Hakuna mtu anaenunua bidhaa—watu hununua utatuzi wa matatizo yao
.
...pia hakuna mtu anaependa kuuziwa ila kila mtu anapenda Kununua
.
Kwahiyo acha kuuza—anza kuwasaidia kununua👇🏽
Read 15 tweets
11 Feb
Unahitaji Kujifunza COPYWRITING?... Basi Anzia Hapa....
.
Kama Umekuwa ukitafuta njia rahisi ya kujifunza Ujuzi # 1 Mtandaoni kwa sasa yaani Copywriting Skills, basi Shuka na Uzi huu mpaka mwisho....
.
[UZI MFUPI TU, Tenga dkk Zako 5 Tu]...👇🏽
Vitu ni vingi ila hapa nitakupa vile ambavyo utaenda kuvitumia kwenye Matangazo yako moja kwa moja..
.
Copywriting maana yake ni uwezo wa kuuza chochote kwenye maandishi au kutumia maneno kuwasiliana na wateja wako ili wafanye kile unachotaka 👇🏽
Au wanasema “Closing in Print/ Salesmanship in Print”
.
Uwezo wa kugeuza maneno Kuwa Pesa nk
.
Natumia umepata picha nzima juu ya ujuzi huu...
.
Unapotaka Kuuza chochote kwenye maandishi hakikisha unazingatia Vitu Hivi ili uone matokeo mazuri...👇🏽👇🏽
Read 12 tweets
10 Feb
SIRI Ndogo Iliyomsaidia Muddy Wa Dodoma Kuuza Iphone 📱 10 Kila Siku Mtandaoni....
.
Hey, “Amosi Nyanda” Hapa Nimeandika Kitabu Kinachoelekeza Jinsi ya Kuuza Bidhaa zako kwa njia ya maandishi Mtandaoni...
.
...Na Hii Ndio Siri Iliyomsaidia Muddy...
.
[UZI]👇🏽
Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa kwanza mwishoni hivi kwenye tar 20...
.
Muddy alinicheki DM baada ya kusoma baadhi ya Uzi wangu
.
Na hiki ndicho kilichokuwa kinamyima usingizi Katika biashara yake...
.
“Kila alipokuwa anapost Matangazo ya Simu zake Online 👇🏽
Hasa hasa Instagram na Twitter alikuwa haambulii chochote zaidi ya Comments, Likes, na Retweet lakini hakuna Oda kabisa
.
Yaani kwa kifupi likes kibao ila hela hakuna...
.
Hali ile ilikuwa inampasua kichwa mno kwasababu ilifika Muda Mpaka akawa anakosa 👇🏽
Read 15 tweets
9 Feb
Jinsi Kijana Alieishia La Saba Anavyouza Sabuni Zake Mtaani Kama Njugu...
.
Kama Umekuwa ukitafuta Siri Mpya ya kuuza Moja kwa moja (Direct selling) bidhaa zako mtaani, basi Uzi huu ni zaidi ya zawadi kwako..
.
[UZI WA Dkk 4 TU]..👇🏽
Siku ya Jumamosi mida ya jioni hivi tulikuwa tumekaa kwenye kijiwe fulani Hivi na washkaji tunapiga story huku tunakunywa Kahawa Maeneo ya moshono Arusha..
.
Wakati tunaendelea kupiga story akaja jamaa mmoja na kibegi mgongoni huku ameshika sabuni 2 mkononi👇🏽
Kama samples...
.
Baada ya kutupa Hi 👋 akaanza kuprisent sabuni zake, yaani sabuni inafanya kazi gani na ina faida gani kwetu...
.
Wakati anaongea kuhusu sabuni zake nikiwaangalia washkaji pembeni yangu wote wanachezea siku zao..💪🏻
Read 13 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(