Jinsi Dkk 45 Za @GillsaInt Zilivyozaa Tshs 1,020,000 Ndani ya Siku 7 Tu...
.
...nakumbuka ilikuwa ni 22/04/2021 Siku ya Alhamisi Mida ya Saa Sita Hivi mchana nikiwa nimetulia getoni kwangu maeneo ya Moshono Arusha
.
Ndipo simu yangu ilipoita....
.
[MADINI]👇🏻
Kuangalia jina limetokea—“Gillsant Swahili Digital” (ndivyo nilivyosave)
.
Hii ilikuwa kama Surprise kwangu bila kuwaza mara Mbili nikapokea...
.
Tuliongea vitu vingi sana kuhusu online business ila kilicholeta hayo matokeo ni Kitu Kinachoitwa—Funnel👇🏻...
FUNNEL—ni mfumo maalumu wa online unaomtoa mteja kutoka Social media akiwa Cold Traffic mfumo wenyewe unampasha anakuwa Warm Traffic kisha unamfanya Kuwa Hot traffic then ananunua bidhaa/huduma
.
Hii ni Automated system Ndio maana kuna kitu kinaitwa..👇🏻
CLICK FUNNEL!
.
Sasa mimi na Gilly tulikuwa tunaongelea zaidi kuhusu Simple Funnel ambayo unaweza Kuitumia kibongo bongo kwa Kudrive traffic kutoka —Facebook + Instagram kwenda WhatsApp kwa ajili ya Conversion
.
...sema Light skin ana madini sana aisee😀
.
👇🏻
Mazungumzo yetu yalikuwa Hivi...👇🏻
.
Gilly akaniambia kitu hiki Hapa...
.
Nyanda ni ngumu sana kuuza bidhaa/huduma yako kwa mtu asiyekujua, asiyekupenda wala Kukuamini
.
Ndio maana ni ngumu mno kuuza kitu chako moja kwa moja kwenye Paid Ads (Sponsored Ads)👇🏻
Kwasababu zaidi ya 70% ya watu utakaowafikia kupitia matangazo ya kulipia ni—Cold Traffic yaani watu ambao...
.
—hawakujui
.
—hawakupendi
.
—hawakuamini
.
...na hakuna mtu anayenunua chochote kutoka kwa mtu asiemwamini online Never
.
👇🏻
Wakati anaongea yote haya kwenye simu Mimi nilikuwa naandika kwasababu nilijua kabisa haya madini ni Pesa yakiingizwa kwenye Action
.
Basi bhana—mwamba akaendelea Kusema madini ndipo aliponipa Hii—Simple funnel Hapa Chini👇🏻
Paid Ads▶️ (Facebook + Instagram) + Lists (WhatsApp Group) = Conversion (Sales)!
.
Hii Mimi huwa naiita—“Customer/Client Acquisition Methodology”
.
Je Hii Simple Funnel ina maana gani katika biashara yako Mkulungwa?...
.
Angalia Hapa chini...👇🏻
Unatengeneza Tangazo lako lenye chambo (BAIT) inayotoa uthamani kwa walengwa wako BURE kisha unalipia Facebook na Instagram (Paid Ads)
.
...Lengo ikiwa ni Kutengeneza kitu Kinachoitwa—LIST
.
Na list Inaweza ikawa ni E-mail List au Namba za Simu
.
👇🏻
Lakini Sisi Kulingana na Funnel yetu tu ahitaji namba za simu za WhatsApp inexchange na Hicho kitu cha BURE ambayo ndio chambo yenyewe yenyewe sasa
.
Kwahiyo unarun Tangazo lako Fb na Insta kisha Undrive traffic yao kwenye WhatsApp
.
Na huko WhatsApp ndiko👇🏻
Utakapotengenezea List yako ambayo ni—WhatsApp Groups
.
Baada ya kuwatoa walengwa wako kutoka Fb na insta kwenda Kwenye WhatsApp Groups uanzi kuuza bidhaa/huduma yako moja kwa moja...
.
...Kwanini?
.
Kwasababu Hao watu bado hawakujui, hawakupendi wala👇🏻
Hawakuamini
.
Unachotakiwa kufanya ni kuendelea kuwapa madini BURE ili kuwabadilisha kutoka kwenye Cold traffic kwenda kwenye Hot traffic
.
Hii kitaalamu tunaita—“Intent based branding” (Frank Kern)
.
...so baada ya kuwapa madini kwenye siku kama tano👇🏻
Au Sita Hivi wale watu watakuamini, watakupenda na Kuwa tayari Kununua chochote hata kabla ya wewe kuuza

Pia unafanya positioning wak uone Kama—EXPERT/Specialist na sio Muuza bidhaa online Kama wengine

Baada ya kufanya hivyo Conversion becomes a No Brainer
So nilichokifanya ni hiki Hapa wazee it’s very simple but not Easy....
.
Nikatengeneza Videos zinazotoa Value BURE kuhusu Copywriting Skills kisha nikafanya sponsored kualika watu kujifunza BURE Kwenye Magroup yangu ya WhatsApp
.
Kama unavyoona kwenye picha👇🏻
Hapo siuzi chochote zaidi ya kutoa Value BURE Kisha naahidi kutoa value BURE zaidi kwa kutoa Kweli kupitia whatsApp groups...
.
Baaada ya kutoa Value kama siku 5 au Sita then Tangaza OFA yako sasa kwenye hiyo LIST yako ya WhatsApp na sio Fb na Insta Kama👇🏻
Wengi wanavyofanya...
.
Ukitangaza OFA yako moja kwa moja Facebook na Instagram utakuwa muuzaji ila ukitangaza OFA yako kwenye list yako unakuwa—Expert..

Iwe ni e-mail au WhatsApp Groups

Telegram sio nzuri kwenye kufanya Conversion (Uzi wa siku nyingine)👇🏻
Na kitu nilichojifunza zaidi kwenye Funnel Hii ni hiki Hapa ...👇🏻

1). Pesa online zipo kwenye—LIST (e-mail lists, WhatsApp lists)

2).Pesa online hazipo kwenye bidhaa/huduma yako zipo kwenye uwezo wako wa kuuza hiyo bidhaa kwenye maandishi that’s Copywriting
Skills
.
Kinachonitengenezea Pesa online sio uzuri wa bidhaa, sio uzuri wa funnel bali ni Ujuzi wa Copywriting
.
3). Utauza zaidi bidhaa/huduma yako endapo utatumia WhatsApp kama Conversion tool mechanism kwasababu WhatsApp na e-mails ni personal
.
👇🏻
Ila telegram ina-scream Business
.
Mfano zikiingia message mbili kwa Wakati mmoja kati ya WhatsApp na ya Telegram utafungua ipi kwanza?....(Majibu unayo)
.
It’s not about being seen, but being READ!
.
4). Story sells, Facts tells—ukitumia story 👇🏻
Utauza zaidi kuliko Facts—Learn story selling not story telling
.
...Kama umejifunza kitu kwenye uzi huu usiache kuupa shavu kwa ku-RETWEET na wengine wapate elimu Hii
.
P. S. Jifunze Copywriting Skills Mpunga online upo wa kutosha tu!
.
Thanks

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with AmosiNyanda

AmosiNyanda Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @NyandaAmosi

8 Jun
Jinsi ya Kutengeneza KOZI Yako Mtandaoni BURE...
.
... Najua Kuna wengi wanahitaji Kutengeneza na kuuza Kozi online lakini wanatishwa na Gharama za Softwares za Kutengenezea Kozi
.
Ni kweli ni ghali sana—lakini vipi Kama Nitakwambia kuna mbadala wa BURE?..👇🏻
Kama bado unaanza uhitaji kulipia softwares expensive kama—Camtasia ili Kutengeneza Kozi yako
.
...anza na zile za Free kwanza ili kupata Proof of concept ya Kozi yako kutoka kwa wateja
.
Kabla hujapata Kibali cha soko usiingie katika mtego wa magharama ya 👇🏻
Ajabu ajabu na mwisho wa siku unaingiza Kozi Sokoni inabuma
.
Mimi mpaka sasa bado natumia free version ya—Screencast-o-matic Kutengenezea Kozi zangu FREE!
.
Fanya Hivi kama kuna kitu unakijua vyema na ungetamani kukiuza kama Kozi
.
👇🏻
Read 14 tweets
25 Apr
SIRI 11 Nilizojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha—“Sell Like Crazy” By Sabri-Suby—Ambazo Zitakunufaisha Pia Katika Biashara yako...
.
...sell like Crazy ni miongoni mwa vitabu maarufu sana kwa sasa katika Soko la Mtandaoni yaani—Digital Marketing
.
[SUMMARY]👇🏽 Image
Kitabu kina madini mengi sana ila nitaandika Kwa ufupi sana yale ya muhimu tu...
.
Hizi ndizo—SIRI nilizoziona zina umuhimu wa ku-share na watu wangu wa Nguvu Leo....
.
1). Ni 4% ya kazi za muhimu Zaidi zinaingiza hela katika biashara yako na 96% 👇🏽
Ya kazi katika biashara yako aidha zinakupotezea Muda, Pesa au zinaingiza hela kidogo sana katika biashara yako...
.
Kazi yako kama mwenye biashara ni kuweka Nguvu Kubwa katika 4% na zile 96% zifanywe na watu wengine
.
Kinyuma na hapo utaingia katika 👇🏽
Read 18 tweets
12 Apr
Kama Kila Mtu Ananunua—Sasa Kwanini Wewe Hauuzi?...
.
...Kama bado unahangaika kuuza bidhaa/huduma yako—basi Kuna uwezekano mkubwa sana hizi ndizo Sababu zinazokukosesha mauzo kila siku...
.
[UZI MFUPI]...👇🏽
Kama bidhaa/huduma yako haiuziki—basi jua kabisa tatizo halipo kwenye bidhaa yako —bali Tatizo lipo Kwako mwenyewe
.
...kwasababu kipengele muhimu Zaidi kwenye mfumo mzima wa kuuza ni—Muuzaji mwenyewe

Na Sababu zinagharimu mauzo yako kila siku ni hizi hapa👇🏽
1). Unauza bidhaa/huduma yako kwa wateja wako—badala ya kuwasaidia kununua
.
Hakuna mtu anaenunua bidhaa—watu hununua utatuzi wa matatizo yao
.
...pia hakuna mtu anaependa kuuziwa ila kila mtu anapenda Kununua
.
Kwahiyo acha kuuza—anza kuwasaidia kununua👇🏽
Read 15 tweets
11 Feb
Unahitaji Kujifunza COPYWRITING?... Basi Anzia Hapa....
.
Kama Umekuwa ukitafuta njia rahisi ya kujifunza Ujuzi # 1 Mtandaoni kwa sasa yaani Copywriting Skills, basi Shuka na Uzi huu mpaka mwisho....
.
[UZI MFUPI TU, Tenga dkk Zako 5 Tu]...👇🏽
Vitu ni vingi ila hapa nitakupa vile ambavyo utaenda kuvitumia kwenye Matangazo yako moja kwa moja..
.
Copywriting maana yake ni uwezo wa kuuza chochote kwenye maandishi au kutumia maneno kuwasiliana na wateja wako ili wafanye kile unachotaka 👇🏽
Au wanasema “Closing in Print/ Salesmanship in Print”
.
Uwezo wa kugeuza maneno Kuwa Pesa nk
.
Natumia umepata picha nzima juu ya ujuzi huu...
.
Unapotaka Kuuza chochote kwenye maandishi hakikisha unazingatia Vitu Hivi ili uone matokeo mazuri...👇🏽👇🏽
Read 12 tweets
10 Feb
SIRI Ndogo Iliyomsaidia Muddy Wa Dodoma Kuuza Iphone 📱 10 Kila Siku Mtandaoni....
.
Hey, “Amosi Nyanda” Hapa Nimeandika Kitabu Kinachoelekeza Jinsi ya Kuuza Bidhaa zako kwa njia ya maandishi Mtandaoni...
.
...Na Hii Ndio Siri Iliyomsaidia Muddy...
.
[UZI]👇🏽
Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa kwanza mwishoni hivi kwenye tar 20...
.
Muddy alinicheki DM baada ya kusoma baadhi ya Uzi wangu
.
Na hiki ndicho kilichokuwa kinamyima usingizi Katika biashara yake...
.
“Kila alipokuwa anapost Matangazo ya Simu zake Online 👇🏽
Hasa hasa Instagram na Twitter alikuwa haambulii chochote zaidi ya Comments, Likes, na Retweet lakini hakuna Oda kabisa
.
Yaani kwa kifupi likes kibao ila hela hakuna...
.
Hali ile ilikuwa inampasua kichwa mno kwasababu ilifika Muda Mpaka akawa anakosa 👇🏽
Read 15 tweets
9 Feb
Jinsi Kijana Alieishia La Saba Anavyouza Sabuni Zake Mtaani Kama Njugu...
.
Kama Umekuwa ukitafuta Siri Mpya ya kuuza Moja kwa moja (Direct selling) bidhaa zako mtaani, basi Uzi huu ni zaidi ya zawadi kwako..
.
[UZI WA Dkk 4 TU]..👇🏽
Siku ya Jumamosi mida ya jioni hivi tulikuwa tumekaa kwenye kijiwe fulani Hivi na washkaji tunapiga story huku tunakunywa Kahawa Maeneo ya moshono Arusha..
.
Wakati tunaendelea kupiga story akaja jamaa mmoja na kibegi mgongoni huku ameshika sabuni 2 mkononi👇🏽
Kama samples...
.
Baada ya kutupa Hi 👋 akaanza kuprisent sabuni zake, yaani sabuni inafanya kazi gani na ina faida gani kwetu...
.
Wakati anaongea kuhusu sabuni zake nikiwaangalia washkaji pembeni yangu wote wanachezea siku zao..💪🏻
Read 13 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(