Whatsapp itapokea update mpya.

Whatsapp ni mtandao wenye watumiaji takribani 2 billion dunia nzima. Mtandao huu umekuwa maarufu kwa sababu umerahisisha sana mawasiliano kwa njia ya Internet.

Hivi karibuni huenda Whatsapp web ikabaki kujitemea bila uhitaji wa Mobile version. Image
Whatsapp Web ni version ya Whatsapp ambayo hutumika kwenye browser za computer au kwenye app ya Whatsapp ya Windows au MacOS.

Whatsapp web inabeba text, zile zile ambazo unazion kwenye simu yako. Kwa maana hiyo inatumia akaunti yako ile ile. Image
Ili utumie Whatsapp Web ilikuwa ni lazima ile ya kwenye simu iwepo online na ya PC pia iwepo online.

Hili litabadilika hivi karibuni baada ya Whatsapp kuanza fanyia kazi version ambayo haitahitaji zote mbili kuweo online.
Version hii mpya itakuruhusu kuweza login kwa account yako kwa vifaa vizivyozidi 4. Maana ake unaweza kuwepo online katika vifaa vinavyojitegemea visivyozidi 4.

Katika tweet yao @WABetaInfo wanasema update hii itwahusu watumiaji wa Windows & MacOS.
Ili kuweza tumia Whatsapp Web, Ingia google kwenye PC yako na search "Whatsapp Web" chagua result ya kwanza, kisha kwenye simu yako gusa dot 3 kwenye whatsapp yako juu pale kisha chagua "Linked Devices". Image
Pale chagua "Link a Device" ambayo itafungua camera yako uweze scan QR code ambayo utapewa kule kwenye PC yako.

Baada ya kuscan ile QR code utakuwa logged in tayari kwa kuanza tumia whatsapp yako kwenye PC. Image
Njia tofauti ni kudownload whatsapp application ya desktop ikae moja kwa moja kwenye PC yako.

Kwa wale watakao kuwepo au wanaotaka kuwepo kwenye Beta program ujumbe wenu kutoka whatsapp wa wa vitu unaweza fanya ni huu. Image

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with HabariTech

HabariTech Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @HabariTech

18 Sep
Njia rahisi kutunza UZI za twitter uweze zisoma kwa muda wako.

Twitter ni social media pendwa ambayo uhusiano wa watu unaendeshwa kwa mazungumzo ya tweets. Tweets zimekaa kwenye muundo rahisi mtu kusoma.

Bahati mbaya ni rahisi pia tweet kukupotea kama hukuitunza.

🧵#HabariTech Image
Ushakutana na uzi za @JemsiMunisi au @TOTTechs ?

Unakuta ni uzi flani hivi zina flow matata. Unajiuliza sasa zikipotea hizi nazipata vipi tena?

Usipate tabu tena. Leo nitakupa njia 5 ambazo zinaweza kukusaidia kutunza tweets/uzi unazokutana nazo hapa twitter.

Kana flow eeh! Image
1. Twitter Bookmark

Hii feature watumiaji wengi wa twitter huwa hawazingatii au hawaijui. Kwa wanaoijua ukifungua bookmark zao utakuta madini ya kutosha huko.

Kuiweka tweet kwenye Bookmark

Gusa "Share" kwenye hiyo tweet unataka save kisha chagua "Add tweet to Bookmark". Image
Read 8 tweets
8 Sep
Websites zilizojificha kwenye 60,000,000,000 TB za data kwenye internet.

Internet ni kijiji kimoja kikubwa sana kinachozidi kukua kila sekunde. Kama unavyojua maisha yetu kijijini ni ujamaa.

Kuna hizi website kadhaa ni muhimu sana zinaweza boresha uwepo wako mtandaoni.

🧵
1. Soap2Day

Huwa una bando la kutosha na unaweza vumilia matangazo yasiyo na mpangilio? Tumia hii website ya soap2day kuangalia movies mtandaoni.

Hapa hauna haja ya kumiliki akaunti ya netflix ni mwendo wa ski ads na press and play.

wvw.ssoap2day.to
2. Temp Mail

Kuna huduma unahitaji kujaribu kama inakufaa, lakini hutaki kutumia email yako ya kila siku?

Tempmail ipo kukupa email utakayo tumia kwa muda mfupi kukamilisha zoezi hilo.

Ukiingia kwenye page hii utakuta email ipo tayari kwa ajili yako.

temp-mail.org/en/
Read 6 tweets
1 Sep
Afrika Bila Internet kwa muda usiojulikana.

African Network Information Centre (AFRINIC) taasisi ambayo toka mwaka 2005 ilipewa mamlaka ya kusambaza anawani za kimtandao (IP addresses) barani Afrika ipo hatarini kushindwa kuendelea kufanya kazi.

UZI 🧵
#habarinews
Kila kifaa kinachotumia mtandao kina anwani iitwayo IP Address. Anwani hii inakutambulisha wewe mtandaoni.

Anwani hizi ndizo ambazo zinatambulika mtandaoni na si jina la simu, website au PC unayotumia.
website kama ya @RednetCompany unaweza ifikia kwa kutafuta rednet.co.tz lakini computer yako inapoingia mtandaoni itatafuta 162.214.100.22.

Namba hii ni anwani ambayo mtandao inatambua kama ni miliki ya @RednetCompany
Read 20 tweets
1 Sep
Utakubali kuhudumiwa na Muuguzi Roboti Hospitalini?

UVIKO-19 umebadilisha sana mwenendo wa maisha yetu ndani ya miaka 2 iliyopita. Nani aliwaza kwamba leo hii kufanya kazi kutoka nyumbani ingekuwa ni kitu kinachopewa kipaumbele hivi?

🧵
Katika jitihada za kuokoa maisha ya watu wengi zaidi duniani, tumeona uundaji wa roboti ambao wanachukua nafasi za wauguzi katika hospitali.

Kampuni ya Hanson huko Hong Kong imekuja na roboti huyu mwenye muonekano wa kibinadamu.

Amepewa jina la "Grace".
Hanson robotics kwa wale msioifahamu, ni kampuni ile ile ambayo ilimtengeneza Sophia. Roboti mmoja maarufu sana duniani.

Sophia alipewa uraia wa Saudi Arabia. Na sasa Hanson robotics wanatuletea Grace.

Grace atahusika zaidi kutoa huduma kwa wagonjwa wa UVIKO-19 hospitalini.
Read 6 tweets
31 Aug
Kutaka kutupia PC ni ili kuboresha ufanisi wa kazi na kuongeza spidi ya kufanya kazi.

Bahari mbaya Windows huwa si rafiki kwetu siku zote katika hili. Unaweza hitaji kukamilisha kazi haraka, lakini windows ikakufedhehesha.

Somo la leo ni jinsi ya kuongeza spidi ya win10.

UZI Image
Windows 10 imeboreshwa sana ukilinganisha na matoleo ya nyuma ya Windows. Inafanya vizuri sana kwa PC ambazo zimekidhi vigezo, shida huwa kwa PC za kizamani.

PC hizi hazina uwezo mzuri kubeba hii OS, hivyo mara nyingi watumiaji wake huwa wakilalamika kuhusu ubora wa Win10. Image
Twende moja kwa moja kuangalia ni kwa namna gani tunaweza ongeza spidi ya Win10.

MUHIMU: Hacks hizi ni zile anazoweza fanya mtu yeyote.
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(