📡Mass Surveillance Afrika na Duniani kote.

Huu ni uchunguzi ambao unajikita kufatilia umati mkubwa wa watu na mara nyingi huwa kwa kigezo cha kupunguza uharifu na kuzuia ugaidi.

Mass surveillance inasemakana kuanza miaka ya 3800 kabla ya kristo huko Babylon.

#HabariTech Image
📡Kwa vizazi vya sasa Mass Surveillance haikuonekana mpaka miaka ya mwisho ya 1940s baada ya UK na USA walikubaliana kubadilishana taarifa za intelejensia.

Baadae katika makubaliano haya ziliongezeka Canada, Australia na New Zealand na kufanya muunganiko huu kuitwa “Five Eyes”. Image
📡Muungano huu baadae mwaka 1971 ulileta kitu kilichoitwa “Global Surveillance Network” ambayo ilipewa jina la “ECHELON”.

ECHELON ni mtandao maalum wa uliofuatilia mawasiliano ya kijeshi na kidiplomati ya Soviet Union na washirika wake wa Mashariki kipindi cha Vita Baridi. Image
📡Kufikia mwisho wa karne ya 20 “ECHELON” ilitoka kufatilia mawasiliano ya kivita na diplomati mpaka kuanza fatilia mawasiliano binafsi ya mtu mmoja mmoja nay a kampuni.

Turuke mbele mpaka karne ya 21. Bilas haka umeshasikia neno NSA?
📡NSA ni shirika la juu kabisa la intelejensia la USA. Shirika hili lilianzishwa na Raisi Harry Truman mwaka1952, lakini liliendeshwa kwa siri mpaka mwaka 1975. Image
📡Huku kwetu wengi walilifahamu/kusikia kuhusu NSA mwaka 2013 Edward Snowden alipotoa siri kwamba NSA wanafanya Mass Surveillance ya Wamarekani na watu wote duniani bila idhini yetu.

Baada ya kujulikana NSA waliacha kufanya hivyo? Hapana, kazi iliendelea kama kawaida. Image
📡Marekani waliipa hii kitu jina la Mass Surveillance State kwa kigezo cha kwamba wanafanya hivyo ili kujilinda dhidi ya matukio ya kigaidi kama lile la 9/11.

Sio Marekani pekee wanaofanya hivyo. China pia wanahusika na Mass Surveillance.
📡China mwaka 2005 walianzisha mtandao wa Camera za kufanya mass surveillance ulioitwa Skynet.

Serikali ya China ilikuja kuweka wazi kuhusiana na mtandao huu mwaka 2013 baada ya kufunga CCTV cameras 20 million ndani ya China. Image
📡Hizo ni zile tu zinazomilikiwa na serikali ya China bila kujumuisha za Kampuni na Watu binafsi.

Kufikia June mwaka huu serikali ya China ndiyo inayoongoza kumiliki camera za CCTV zinazofanya kazi ya kufatilia watu wake.
📡Dunia nzima kuna CCTV camera 770 million, kati ya hizo China inamiliki CCTV 415.8 Million (54% ya zilizopo).

Serikali hizi zikiulizwa maoni yao ni kwamba camera hizi zinawasaidia kupunguza uhaifu, Usalama barabarani na kufatilia uendashaji wa viwanda. Image
📡Wasichotuambia ni namna zinatumika kuchunguza maisha ya watu. CCTV za kisasa zinaweza kufanya mpaka facial recognition, kufanya video streaming remotely.

Hivi ni vitu ambavyo huko mbeleni vitaingilia privacy ya mtu.
📡Kwa namna moja zinasaida mfano Polisi wa New Delhi india walipoamua kutumia CCTV zenye facial recognition. Ndani ya siku 4 ziliwasaidia kuwapata watoto 3000 walioripotiwa kupotea.

Huko china CCTV za hivi zina historia mbaya kwa kiasi kikubwa.
📡Mara kadhaa zimekuwa zikiwatambua watu wenye ndevu nyingi na wanatumia milango ya nyuma kutoka majumbani mwao kama magaidi.

Na kuna baadhi mpaka sasa wapo chini ya ulinzi baada ya kukutwa na app ya Whatsapp kwa sababu imezuiliwa nchini China.
📡Baadhi ya nchi za Afrika zimeanza kuingia katika mfumo huu polepole kwenye baadhi ya miji yao.

Miji kama Nairobi (Kenya), Johannesburg (South Africa), Addis Ababa(Ethiopia) na Kampala (Uganda).
📡Africa inatumia teknolojia tofauti tofauti kutoka mataifa ya nje kufanya mass surveillance.

Teknolojia kutoka Israel, Germany na China ndizo zinatumika kwa wingi zaidi. Kutoka Israel teknolojia za kutfatilia mawasiliano wa watu ndizo zinatumika zaidi Afrika. Image
📡Nchi za Afrika zilizoonekana kutumia hizi teknolijia zaidi ni Botswana, Nigeria na Zimbabwe.

Katika nchi 13 za Afrika zinazofanya Mass Surveillance ikiwemo Tanzania kulingana na taarifa ya “Africa Center” zote bado zinashida kubwa ya demokrasia.
📡Serikali za nchi hizi zinafanya uhalifu wa kufatilia mawasialiano ya wanachi wao kinyume na sharia za mitandao.

Na mbaya zaidi ni kwamba katika nchi hizi hakuna hata moja yenye sharia za ulinzi wa data za kimtandao na kama inazo basi bado zina mianya mingi.
📡Utumiaji wa bidhaa za ufuatiliaji Africa unahiska zaidi na project ya Huawei ya Safe cities. Kulingana na Huawei wamesema kwa Kenya imesadia kupunguza uhalifu kwa kiasi kikubwa.

Lakini polisi wa kenya walisema ni kinyume cha hivyo. Image
📡Afrika kwa sasa ipo katika mabadiliko ya kidijitali. Kuna haja ya kuwa na uelewa wa haki zetu za kidijitali, lakini pia kujua namna tunaweza kulinda haki zetu mtandaoni. Image

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with HabariTech

HabariTech Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @HabariTech

15 Oct
📡A.I inajifunza kujitengeneza Yenyewe

Hofu kubwa ya watu duniani ni kuona AI ikiiteka dunia na binadamu tukawa ni watumwa wa AI.

Wenye hofu wengi ni watazamaji wa filamu kama Terminator, iRobot, Transcendence na Matrix.

#HabariTech Image
📡Lakini wengine ni wale wenye hofu ya kupoteza kazi zao, hasa madereva.

Hakuna wa kumlaumu mtu anayeiogopa AI kwa sababu ni kitu ambacho hata baadhi ya watu wa teknolojia wanashindwa kuelewa vizuri. Image
📡Miaka 2 iliyopita ungeniuliza iwapo kuna siku AI itaiteka dunia, ningejibu hiv, “Inawezekana iwapo tu tutafikia uwezo wa watu kama Tony Stark wa Iron Man.

Leo baada ya kuelewa AI kidogo nitajibu hivi, “Chochote kinawezekana na haina maana tuache kuboresha kwa sababu ya uoga.”
Read 17 tweets
11 Oct
📡Hakuna Tesla iliyotengenezwa China kuingia nchini India.

Hivi karibuni waziri wa usafiri wa barabara nchini India amesem, aliongea na Elon Musk na kumuomba kwamba Tesla kwa za india zitengenezwe nchini India.

Maalumu kabisa hakutaka Tesla za China kuwepo India.

#HabariTech
📡Akongea katika "India Today Conclave 2021", waziri huyo alisema kwamba, Gari za umeme zilizoundwa na Tata Mottors zina ubora unaokaribiana na zile za Tesla.

Hivyo Tesla za kuuzwa India inabidi zitengenezwa ndani ya India na sio China na kuuzwa kutoka India kwenda nchi jirani.
📡Sambamba na hilo alisisitiza kuwa, Tesla watapata sapoti yoyote wanayohitaji kutoka serikali ya India.

Tesla waliomba kupata punguzo la ushuru wa kuingiza gari za umeme India. Mpaka sasa hawajafikia muafaka na serikali ya India kuhusiana na maombi haya yote.
Read 5 tweets
8 Oct
📡Zima hizi settings za windows 10 haraka sana

5 Oct Microsoft waliachia windows 11, lakini hatutegemei watumiaji wake watakuwa wengi kwa sababu ya vigezo vinavyohitajika kuweza tumia Windows 11.

Kuna zaidi ya PC 1 billion zinazotumia windows 10 mpaka sasa duniani.

#HabariTech Image
📡Kati ya watumiaji hawa kuna wengi wasiofahamu baadhi ya settings ambazo zinakusanya taarufa zao, zinawafanya waone matangazo mengi au kufanya PC zao ziwe pole pole.

Ukiacha madhaifu ubora wa Win10 ukilinganisha na zile za nyuma, bado ina madhaifu mengi unakutana nayo kila siku Image
📡Kati ya hayo ni pamoja na kutokuwa na uhuru wa usiri (Privacy) wako, spidi ya OS na urahisi wa kutumia.

Leo tuchambue baadhi ya settings ambazo ni vyema ukaziweka off ili uendelee kutumia Win10 yako kwa raha.
Read 21 tweets
28 Sep
Unaijua simu isiyo na tundu la chaji wa earphone?

Ni kama uhalifu vile namna kampuni za simu zinaleta mabadiliko mapya kila kukicha.

Apple alianza kwa ondoa headphone jack kwenye iPhone 7 na matoleo yaliyofuata na baadae Samsung akafuata.

Kuna cha zaidi? Ndiyo 🧵

#HabariTech
📡Watazamaji wa Sci-Fi movies mtakuwa mmewahi kutana na zile simu ambazo ni kioo tu lakini zinafanya kila kitu.

Huenda huko ni mbali sana kufika labda 2050 huko. Twende mpaka 2030 ambapo nadhani huenda tutakuwa na simu zisizo na button yoyote, headphone jack wala tundu la chaji.
📡Unakumbuka iPhone X ilikuja na notch 2017? ikawa mwanzo wa kubadili muundo wa display za simu. Hapo tayari iPhone hazikuwa na port ya earphone

Oppo F9 ikawa simu ya kwanza kuja na teardrop screen na kumpa mtumiaji nafasi ya kutumia screen nzima.

Na sasa kuna Hole Punch.
Read 17 tweets
18 Sep
Njia rahisi kutunza UZI za twitter uweze zisoma kwa muda wako.

Twitter ni social media pendwa ambayo uhusiano wa watu unaendeshwa kwa mazungumzo ya tweets. Tweets zimekaa kwenye muundo rahisi mtu kusoma.

Bahati mbaya ni rahisi pia tweet kukupotea kama hukuitunza.

🧵#HabariTech
Ushakutana na uzi za @JemsiMunisi au @TOTTechs ?

Unakuta ni uzi flani hivi zina flow matata. Unajiuliza sasa zikipotea hizi nazipata vipi tena?

Usipate tabu tena. Leo nitakupa njia 5 ambazo zinaweza kukusaidia kutunza tweets/uzi unazokutana nazo hapa twitter.

Kana flow eeh!
1. Twitter Bookmark

Hii feature watumiaji wengi wa twitter huwa hawazingatii au hawaijui. Kwa wanaoijua ukifungua bookmark zao utakuta madini ya kutosha huko.

Kuiweka tweet kwenye Bookmark

Gusa "Share" kwenye hiyo tweet unataka save kisha chagua "Add tweet to Bookmark".
Read 11 tweets
15 Sep
Whatsapp itapokea update mpya.

Whatsapp ni mtandao wenye watumiaji takribani 2 billion dunia nzima. Mtandao huu umekuwa maarufu kwa sababu umerahisisha sana mawasiliano kwa njia ya Internet.

Hivi karibuni huenda Whatsapp web ikabaki kujitemea bila uhitaji wa Mobile version. Image
Whatsapp Web ni version ya Whatsapp ambayo hutumika kwenye browser za computer au kwenye app ya Whatsapp ya Windows au MacOS.

Whatsapp web inabeba text, zile zile ambazo unazion kwenye simu yako. Kwa maana hiyo inatumia akaunti yako ile ile. Image
Ili utumie Whatsapp Web ilikuwa ni lazima ile ya kwenye simu iwepo online na ya PC pia iwepo online.

Hili litabadilika hivi karibuni baada ya Whatsapp kuanza fanyia kazi version ambayo haitahitaji zote mbili kuweo online.
Read 7 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(