Ilikuwa kitambo nilipoanza masomo ya chuo kikuu,
nilikuwa mgumu, lakini ugumu wangu ulisababishwa na kusoma shule za wavulana ulionipelekea kupenda kujitenga na wasichana.
Ilikuwa siku ya kwanza kabisa chuoni orientation, twende sawa 😊
Baada ya kupita wanafunzi wengi sana mwishoni walibaki
Mda wa mimi kuondoka ulipofika nilipotaka kuondoka ndipo niliiona laini ya simu, nilihisi itakuwa ni ya yule dada niliiokota kama ingetokea ataitafuta nitampatia, nikasepa nayo.
"kaka mambo, sijui kama wanikumbuka siku ya orientation" kitanga hiko😂👆
Aliitikia huku akikwepesha macho akauliza uliiokota laini yangu siku ile?
Nilimwambia ndio Nikamkabizi.
Mwanaume nikaanza kumpenda yule mdada aise😍😍
Nilianza kumpenda Nadia.
Alitokea familia bora kiuchumi kuliko yangu lakini nilivokuwa najitolea utadhani mimi ni mtoto wa Aliko Dangote.
Haya mapezi 😩😩😩
Kila weekend nilikuwa namtafutia zawadi nzuri
Maneno ya wahuni vile yanachoma boychild nikawa navumilia. Manzi akawa hashtuki hadi nikawa najiuliza au ananitaka nini.
Maneno ya wahuni yalipozidi nikaamua kumtongoza nijaribu bahati.
Akanichomoa bila kunipa sababu.
Aisee haya mambo 😥😥
Wazee haya mambo😪😪
Nikawa namuambia tu niko busy kumbe moyoni najijua.
Akawa kila weekend ananilazimisha tutoke wote muhuni nakubali kishingo upande.
Nakumbuka siku moja ilinyesha mvua.
Ilikuwa tunasubiri daladala turudi chuo. Ilipita gari kwa kasi ikatumwagia maji machafu. Nikajifanya kupaniki nisionekane lofa kwa manzi.
Hii siku nilidundwa mbele za watu 😂😂😭😭 nacheka na inauma.
Nikamuundia mtego wa kizembe san.
Kunguru mjanja hunasa kwenye tundu bovu mazee😂😂
@Msumari9
