My Authors
Read all threads
Inaweza tokea katikati ya usingizi mtu hasa mtoto akawa na tabia ya kutembea,kuongea au kufanya vitendo vingin akiwa usingizini

Hii ni SLEEPWALKING

Hutokea zaid kwa watoto hasa wavulana,inahisiwa hutokea kwa sababu mfumo wa ubongo kudhibiti msawaziko wa kulala/kuamka haujakomaa
Tabia ya kutembea au kuongea usingizini ikianza kwa mtu mzima inahusishwa na msongo mkubwa wa mawazo muda mwingine aina ya kifafa

🔵Tatizo la kutembea usingizini hutembea katika familia; 45% ya watoto wanaotembea usingizini pia na wazazi wao walitembea usingizini
Inaweza tokea katikati ya usingizi mtoto akaamka anapiga kelele,akazubaa kama Dakika 10 bila kujua nini kinaendelea akarudi usingizini kama hakijatokea kitu. Kesho akiamka hajui nini kilitokea.

🔵Hii ni SLEEP TERROR ni tatizo ambalo  huambatana tatizo la kutembea usingizini
SLEEP TERROR haihusiani na kuota ndoto mbaya; mtu akiota ndoto mbaya hukumbuka lakini kwenye Sleep terror huendelea kulala hakumbuki kitu.

🔵 Inahisiwa kuwa sleep terror hutokana na kuhama kwa ghafla kutoka hatua moja ya usingizi kwenda nyingine.
SLEEP MEDICINE ni ubobezi wa tiba za matatizo mbalimbali ya usingizi.

Kwa wenzetu ipo, kwetu haipo
Kuna "extreme sleepwalkers" ambao hufanya vitu ambavyo vinaweza kuwa hatarishi kama kutoka na kutembea mtaani, wengine hujikuta wamefanya hata uhalifu, wengine ngono

Kuna kesi za kudondoka toka ghorofani wakiwa usingizini
Sleepwalking hutokea ndani ya theluthi ya kwanza ya usingizi, wakati ubongo upo hatua ya usingizi inayoitwa NREM, ambapo kunakuwa na mawimbi ya chini kwenye ubongo lakini mwili bado haujapoa. ie. ubongo ushapoa lakini mwili bado unaweza fanya matendo kama kutembea
Katika ubongo kuna kemikali inayoitwa GABA huwa ndio ina jukumu la kudhibiti vituo vinavyoongoza misuli katika ubongo.

Inahisiwa kwa watoto neuron zinazozalisha GABA zinakuwa hazijakomaa vizuri hivyo wakati wa usingizi udhibiti wa misuli unakuwa hafifu hivyo mtu huweza tembea
Kuna kesi moja HOUSE MD; Dada kaachana na mpenzi wake, kutokana na stress kubwa akaanza kutembea usingizini, kaenda hospitali na dalili za ujauzito. Kumbe usingizini alikuwa anatemeba na kufanya mapenzi EX wake aliyekuwa anakaa 2nd floor mwisho akapata ujauzito.
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Enjoying this thread?

Keep Current with Dr. Norman Jonas

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just three indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!